21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

akajibu, “ijapo wangewasha moto njiani mote toka Worms hata Wittenberg, ... ningetembea<br />

kati kati yake kwa jina la Bwana; ningeonekana mbele yao, ... kushuhudia Bwana Yesu<br />

Kristo.”<br />

Kukaribia kwake huko Worms kukafanya msukosuko mkubwa. Rafiki wakatetemeka<br />

kwa ajili ya usalama wake; maadui wakaogopa kwa ajili ya maneno yao. Kwa ushawishi wa<br />

wapadri akalazimishwa kwenda kwa ngome ya mwenye cheo mwema, mahali, ilitangazwa,<br />

magumu yote yangewe<strong>za</strong> kutengenezwa kwa kirafiki. Warafiki wakaonyesha hatari<br />

zilizomngoja. Luther, bila kutikisika, akatanga<strong>za</strong>: “Hata kukiwa mashetani wengi ndani ya<br />

mji wa Worms kama vigae juu ya nyumba, lazima nitaingia.”<br />

Alipofika Worms, makundi ya watu wengi sana yakakusanyika kwa milango ya mji kwa<br />

kumukaribisha. Kulikuwa wasiwasi nyingi sana. “Mungu atakuwa mkingaji wangu,”<br />

akasema Luther alipokuwa akishuka kwa gari lake. Kufika kwake kulija<strong>za</strong> wapadri hofu<br />

kuu. Mfalme akawaita washauri wake. Ni upande gani unaopashwa kufuatwa? Padri mmoja<br />

mkali akatanga<strong>za</strong>: “Tumeshauriana mda mrefu juu ya jambo hili. Mfalme mtukufu<br />

uondoshe mbio mtu huyu. Upesi, Sigismund hakuwezesha John Huss kuchomwa?<br />

Hatulazimishwe kutoa cheti cha mpinga imani ya dini wala kuliheshimu.m “Hapana,”<br />

akasema mfalme, “tunapashwa kushika ahadi yetu.” Tulipatana kwamba Mtengene<strong>za</strong>ji<br />

angepashwa kusikiwa.<br />

Mji wote ulitamani kuona mtu huyu wa ajabu. Luther, mwenye kuchoka sababu ya<br />

safari, alihitaji ukimya na pumziko. Lakini alifurahia pumziko ya saa chache wakati watu<br />

wa cheo kikuu, wenye cheo, wapadri, na wanainchi walimuzunguka kabisa. Kati ya watu<br />

hawa walikuwa wenye cheo walioomba na juhudi kwa mfalme matengenezo ya matumizi<br />

mabaya ya kanisa. Maadui pamoja na rafiki walifika kumta<strong>za</strong>ma mwa shujaa. Kuvumulia<br />

kwake kulikuwa imara na kwa uhodari. Uso wake mdogo wakufifia, ulikuwa uso wa upole<br />

na hata wa furaha. Juhudi nyingi ya maneno yake ikatoa uwezo ambao hata maadui <strong>za</strong>ke<br />

hawakuwe<strong>za</strong> kusimama kabisa. Wengine walisadikishwa kwamba mvuto wa Mungu<br />

ulikuwa naye; wengine wakatanga<strong>za</strong>, kama walivyofanya wafarisayo juu ya Kristo: “Ana<br />

pepo.” Yoane 10:20.<br />

Kwa siku iliyofuata afisa mmoja wa mfalme akaagizwa kumpeleka Luther kwa chumba<br />

kikubwa cha wasikili<strong>za</strong>ji. Kila njia ilijaa na washahidi wenye shauku ya kuta<strong>za</strong>ma juu ya<br />

mtawa aliyesubutu kushindana na Papa. Jemadari mzee mmoja, aliyeshinda vita nyingi,<br />

akamwambia kwa upole: “Maskini mtawa, unataka sasa kwenda kufanya vita kubwa kuliko<br />

vita mimi ao kapiteni wengine waliofanya katika mapigano ya damu nyingi. Lakini, ikiwa<br />

kama madai yako ni ya haki, ...endelea katika jina la Mungu,na usiogope kitu chochote.<br />

Mungu hatakuacha.”<br />

Luther Anasimama Mbele ya Bara<strong>za</strong><br />

61

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!