21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 6. Mashujaa Wawili<br />

Mwanzoni kwa karne ya tisa Biblia ilikuwa imekwisha kutafsiriwa na ibada ya watu<br />

wote ikafanyika katika lugha ya watu wa Bohemia. Lakini Gregoire VII alikusudia kuweka<br />

watu utumwani, na tangazo likatolewa kukata<strong>za</strong> ibada ya watu katika lugha ya Kibohemia.<br />

Papa akatanga<strong>za</strong> kwamba “ilikuwa ni furaha kwa Mwenye enzi yote kwamba ibada yake<br />

ifanyiwe katika lugha isiyojulikana.” Lakini Mungu anaweka tayari wajumbe kwa kulinda<br />

kanisa. Wavaudois wengi na Waalbigenses, walipofukuzwa kwa ajili ya mateso, wakaja<br />

Bohemia. Wakatumika kwa bidii katika siri. Kwa hiyo imani ya kweli ikalindwa.<br />

Mbele ya siku <strong>za</strong> Huss kulikuwa watu katika Bohemia waliohukumu machafu ndani ya<br />

kanisa. Vitisho vya serkali ya kanisa vikaamshwa, na mateso yakafunguliwa juu ya injili.<br />

Baada ya mda ikaamriwa kwamba wote waliotoka kwa ibada ya kanisa la Roma walipaswa<br />

kuchomwa. Lakini Wakristo, wakaendelea mbele kushinda kwa kusudi lao. Mmoja<br />

akatanga<strong>za</strong> alipokuwa akifa, “Kutainuka mmoja kutoka miongoni mwa watu, bila upanga<br />

wala mamlaka, na juu yake hawatawe<strong>za</strong> kumushinda.” Tayari mmoja alikuwa akipanda,<br />

ambaye ushuhuda wake wa kupinga Roma utashitusha mataifa.<br />

Yohana Huss alikuwa mnyenyekewa tangu ku<strong>za</strong>liwa na alikuwa ameachwa mapema<br />

yatima kwa ajili ya kifo cha baba yake. Mama yake mtawa, ku<strong>za</strong>nia elimu na kuogopa ya<br />

Mungu kama hesabu kuwa thamani ya vile tunavyo, akatafuta kulinda urithi huu kwa ajili<br />

ya kijana wake. Huss alijifun<strong>za</strong> kwa chuo cha jimbo, baadaye akaenda kwa chuo kikubwa<br />

(universite) kule Prague, kwa sababu ya umaskini wake akapokelewa kwa bure.<br />

Kwa chuo kikubwa, kwa upesi Huss akajitofutisha kwa ajili ya maendeleo yake ya upesi.<br />

Upole wake, alipokwisha kupata mwenendo (tabia) ukampatia heshima ya ulimwengu.<br />

Alikuwa mshiriki mwaminifu wa Kanisa la Roma na mwenye kutafuta na juhudi mibaraka<br />

ya kiroho. Kanisa la Roma linajidai kutoa. Baada ya kutimi<strong>za</strong> majifunzo yake ya college,<br />

akaingia katika ukasisi (upadri). Kwa haraka alipofikia cheo kikuu, akapelekwa kwa jumba<br />

la mfalme. Akafanywa pia mwalimu (fundi) wa chuo kikuu na baadaye mkuu wa chuo<br />

kikuu (recteur). Mwanafunzi mwema munyenyekevu akawa kiburi cha inchi yake, jina lake<br />

likajulikana po pote katika Ulaya.<br />

Jerome, ambaye baadaye alishirikiana na Huss, akaleta toka Uingere<strong>za</strong> maandiko ya<br />

Wycliffe. Malkia wa Uingere<strong>za</strong>, aliyegeuzwa na mafundisho ya maisha ya Wycliffe,<br />

alikuwa binti wa mfalme wa Bohemia. Kwa njia ya mvuto wake kazi <strong>za</strong> Mtengene<strong>za</strong>ji<br />

zikatangazwa sana katika inchi yake ya ku<strong>za</strong>liwa. Huss akainama na kukubali kwa heshima<br />

matengenezo yaliyoletwa. Tayari, ingawa hakuijua, akaingi kwa njia ambayo iliwe<strong>za</strong><br />

kumwongo<strong>za</strong> mbali sana ya Roma.<br />

Picha mbili Inamvuta Huss<br />

37

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!