21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 42. Vita Imemalizika<br />

Kwa mwisho wa miaka 1000, Kristo anarudi duniani akisindikizwa na waliokombolewa<br />

na jamii ya malaika. Anaagi<strong>za</strong> wafu waovu watoke kupokea maangamizi yao. Wanatoka,<br />

wengi sana kama mchanga wa bahari, wanapokuwa na alama <strong>za</strong> ugonjwa na mauti. Tofauti<br />

namna gani kwa wale waliofufuka katika ufufuko wa kwan<strong>za</strong>!<br />

Macho yote inageuka kuta<strong>za</strong>ma utukufu wa Mwana wa Mungu. Kwa sauti moja majeshi<br />

ya waovu wanapa<strong>za</strong> sauti: “Amebarikiwa anayekuja kwa jina la Bwana”! Matayo 23:39. Si<br />

mapendo yanayoongo<strong>za</strong> maneno haya. Nguvu ya kweli inalazimisha maneno kutoka kwa<br />

midomo isiyotaka. Kama vile waovu walivyokwenda katika makaburi, ndivyo hivyo<br />

wanafufuka pamoja na uadui wa namna moja kwa Kristo na roho ya namna ileile ya uasi.<br />

Hawatapewa wakati wa rehema mpya kwa kuponyesha maisha yao ya wakati uliopita.<br />

Nabii anasema: “Na miguu yake itasimama siku ile juu ya mlima wa Mzeituni, ... na<br />

Mlima wa Mzeituni utapasuka katikati yake”. Zakaria 14:4. Wakati Yerusalema mpya<br />

unaposhuka toka mbinguni, utapumzika kwa pahali palipotayarishwa, na Kristo, pamoja na<br />

watu wake na malaika, wanaingia kwa mji mtakatifu.<br />

Wakati alipokatwa kazi yake ya kudanganya, mtawala wa uovu alikuwa maskini na<br />

mwenye huzuni, lakini kwa namna wafu waovu wanapofufuka na anapoona makutano<br />

makubwa kwa upande wake, matumaini yake yanarudi. Anakusudia si kutokuacha vita<br />

kubwa. Atapanga wapotevu chini ya bendera yake. Kwa kukana Kristo wamekubali amri ya<br />

mwongozi mwasi, tayari kufanya mapenzi yake. Lakini, kweli kwa werevu wake wa<br />

kwan<strong>za</strong>, hakubali yeye mwenyewe kuwa Shetani. Anadai kuwa mwenyewe wadunia wa<br />

haki ambaye alinyanganywa uriti bila sheria.<br />

Anajionyesha mwenyewe kama mkombozi, kuhakikisha watu wake waliodanganyiwa ya<br />

kwamba uwezo wake umewaleta kutoka kwa makaburi yao. Shetani anawafanya wa<strong>za</strong>ifu<br />

kuwa wenye nguvu, na kuwasukuma wote kwa nguvu <strong>za</strong>ke mwenyewe kuwaongo<strong>za</strong><br />

kukamata makao ya mji wa Mungu. Akata<strong>za</strong>ma kwa mamilioni yasiyohesabika ya<br />

waliofufuliwa kutoka kwa wafu, na akatanga<strong>za</strong> ya kwamba kama muongozi wao anawe<strong>za</strong><br />

kupata tena kiti chake chaenzi na ufalme.<br />

Katika makutano makubwa haya kunakuwa na taifa lenye maisha marefu lile lililoishi<br />

mbele ya garika, watu wa kimo kirefu sana na wa akili nyingi; watu ambao kazi <strong>za</strong>o <strong>za</strong><br />

ajabu zikaongo<strong>za</strong> ulimwengu kuabudu akili <strong>za</strong>o, lakini mambo ya uvumbuzi wa ukali na<br />

uovu wao ikafanya Mungu kuwaharibu kutoka kwa viumbe vyake. Pale kunakuwa wafalme<br />

na wajemadari wasioshindwa kamwe kwa vita. Katika mauti hawa hawakupata badiliko.<br />

Wanapotoka kwa kaburi, wanaendeshwa kwa tamaa ya namna ileile ya kushinda wale<br />

waliowatawala wakati walishindwa.<br />

Shambulio la Mwisho la Kumpinga Mungu<br />

277

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!