21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Nikaona kimoja cha vichwa vyake, kama kimetiwa kidonda cha kufa; kidonda chake<br />

cha kufa kikapona; dunia yote ikastaajabia mnyama yule”. Ufunio 13:3. Kidonda cha kufa<br />

kinaonyesha kuanguka kwa kanisa la Roma (Papa) katika mwaka 1798. Baada ya hii, asema<br />

nabii, “kidonda chake cha kufa kikapona: na dunia yote ikastaajabia nyama yule”. Paulo<br />

akataja ya kwamba “mwana wa uharibifu” ataendelea na kazi yake ya madanganyo kwa<br />

mwisho kabisa wa wakati”. 2 Tesalonika 2:3-8. Na “watu wote wanaokaa juu ya dunia<br />

watamwabudu, wale, majina yao hayakuandikwa katika kitabu cha uzima”. Ufunuo 13:8.<br />

Katika Ulimwengu wa Zamani na mpya, kanisa la Papa litapokea heshima kwa heshima<br />

iliyotolewa kwa siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche).<br />

Tangu katikati ya karne ya kumi na tisa, wanafunzi wa unabii wameonyesha ushuhuda<br />

huu kwa ulimwengu. Sasa tunaona maendeleo ya upesi kwa utimilifu wa unabii. Kwa<br />

waalimu wa Waprotestanti kunakuwa na madai ya namna moja ya mamlaka ya Mungu kwa<br />

ajili ya kushika siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche), na ukosefu wa namna moja wa ushuhuda wa<br />

maandiko, kama kwa waongozi wa kanisa la Roma (Papa). Tangazo ya kwamba hukumu <strong>za</strong><br />

Mungu zinafikia watu kwa ajili ya kuvunja sabato ya siku ya kwan<strong>za</strong> (di-manche)<br />

litarudiliwa: tayari linaan<strong>za</strong> kulazimishwa.<br />

Ni ajabu kwa werevu, Kanisa la Roma. Linawe<strong>za</strong> kusoma kitu gani kinapaswa kuwa--ya<br />

kwamba makanisa ya Waprotestanti yanatoa heshima yake kwa Roma wanapokubali sabato<br />

ya uwongo na ya kwamba wanajitayarisha kuika<strong>za</strong> kwa namna kanisa lenyewe lilifanya<br />

katika siku zilizopita. Kwa upesi gani litapata usaada wa Waprotestanti katika kazi hii si<br />

vigumu kuelewa.<br />

Kanisa la Wakatoliki wa Roma linafanya muungano mkubwa chini ya mamlaka ya Papa,<br />

mamilioni ya washiriki wake katika kila inchi wanaagizwa utii kwa Papa, hata taifa lao liwe<br />

la namna gani wala serkali yao. Ijapo wanawe<strong>za</strong> kuapa kiapo kuahidi uaminifu kwa serikali,<br />

lakini kinyume cha hii kunakuwa kiapo wala naziri ya uaminifu kwa Roma.<br />

Historia inashuhudia juu ya nguvu ya uerevu wa Roma kujiingi<strong>za</strong> mwenyewe katika<br />

mambo ya mataifa, kuwe<strong>za</strong> kupata ustawi, kuendesha makusudi yake mwenyewe, hata kwa<br />

maangamizi ya watawala na watu.<br />

Ni majivuno ya Roma kwamba hawezi kubadili kamwe. Waprotestanti hawajui<br />

wanalolifanya wanapokusudia kukubali usaada wa Roma kwa kazi ya kutuku<strong>za</strong> siku ya<br />

kwan<strong>za</strong> (dimanche). Kwa namna wanavyoelekea kwa kusudi lao, Roma inakusudia<br />

kuimarisha mamlaka yake, kujipatia tena uwezo wake uliopotea. Acha kanuni kwan<strong>za</strong><br />

liimarishwe na kanisa liweze kutawala uwezo wa serikali; na desturi <strong>za</strong> dini ziweze<br />

kukazwa na sheria <strong>za</strong> dunia; kwa kifupi, ya kwamba mamlaka ya kanisa na ya serikali<br />

itatawala <strong>za</strong>mirina ushindi wa Roma umehakikishwa.<br />

Jamii ya Waprotestanti itajifun<strong>za</strong> namna gani makusudi ya Roma inavyokuwa, ila tu<br />

wakati unapokwisha kupita kwa kuepuka mtego. Linasitawi kwa utulivu katika mamlaka.<br />

241

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!