21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 7. Mapinduzi Yanaan<strong>za</strong><br />

Wakwan<strong>za</strong> miongoni mwa wale walioitwa kuongo<strong>za</strong> kanisa kutoka gi<strong>za</strong>ni mwa<br />

mafundisho ya Kanisa la Roma kwa nuru ya imani safi <strong>za</strong>idi kukasimama Martin Luther.<br />

Hakuogopa kitu chochote bali Mungu, na kukubali msingi wowote kwa ajili ya imani bali<br />

Maandiko matakatifu. Luther alikuwa mtu anayefaa kwa wakati wake.<br />

Miaka ya kwan<strong>za</strong> ya Luther ilitumiwa katika nyumba masikini ya mlimaji wa<br />

Ujeremani. Baba yake alimukusudia kuwa mwana sheria (mwombezi), lakini Mungu<br />

akakusudia kumufanya kuwa mwenye mjengaji katika hekalu kubwa ambalo lilikuwa<br />

likiinuka pole pole katika karne nyingi. Taabu, kukatazwa, na maongozi magumu yalikuwa<br />

ni masomo ambamo Hekima lsiyo na mwisho ilimtayarisha Luther kwa ajili ya kazi ya<br />

maisha yake.<br />

Baba wa Luther alikuwa mtu wa akili ya kutenda. Akili yake safi ikamwongo<strong>za</strong><br />

kuta<strong>za</strong>ma utaratibu wa utawa na mashaka. Hakupendezwa wakati Luther, bila ukubali wake,<br />

akuingia katika nyumba ya watawa (monastere). Ilichunkua miaka miwili ili baba apatane<br />

na mtoto wake, na hata hivyo maoni yake yakibaki yale yale. Wa<strong>za</strong>zi wa Luther<br />

wakajitahidi kulea watoto wao katika kumjua Mungu. Bidii <strong>za</strong>o zilikuwa <strong>za</strong> haki na<br />

kuvumilia kutayarisha watoto wao kwa maisha ya mafaa. <strong>Nyakati</strong> zingine walitumia ukali<br />

sana, lakini Mtengene<strong>za</strong>ji mwenyewe aliona katika maongozi yao mengi ya kukubali kuliko<br />

ya kuhukumu.<br />

Katika masomo Luther alitendewa kwa ukali na hata mapigano. Akiteswa na njaa mara<br />

kwa mara. Mawazo ya gi<strong>za</strong>, na juu ya mambo ya ibada ya sanamu ya dini iliodumu wakati<br />

ule ikamuogopesha. Akilala usiku na moyo wa huzuni, katika hofu ya daima kwa kufikiria<br />

Mungu kama sultani mkali, <strong>za</strong>idi kuliko Baba mwema wa mbinguni.<br />

Wakati alipoingia kwa chuo kikubwa (universite) cha Erfurt, mata<strong>za</strong>mio yake yalikuwa<br />

mazuri sana kuliko katika miaka yake ya kwan<strong>za</strong>. Wa<strong>za</strong>zi wake, kwa akili walioipata kwa<br />

njia ya matumizi mazuri ya pesa na bidii, waliwe<strong>za</strong> kumusaidia kwa mahitaji yote. Na rafiki<br />

<strong>za</strong>ke wenye akili sana wakapungu<strong>za</strong> matokeo ya gi<strong>za</strong> ya mafundisho yake ya kwan<strong>za</strong>. Kwa<br />

mivuto ya kufaa, akili yake ikaendelea upesi. Matumizi ya bidii upesi ikamutia katika cheo<br />

kikuu miongoni mwa wen<strong>za</strong>ke.<br />

Luther hakukosa kuan<strong>za</strong> kila siku na maombi, moyo wake kila mara ukipumuamaombi<br />

ya uongozi. “Kuomba vizuri, “akisema kila mara, “ni nusu bora ya kujifun<strong>za</strong>.” Siku moja<br />

katika chumba cha vitabu (librairie) cha chuo kikubwa akavumbua Biblia ya Kilatini<br />

(Latin), kitabu ambacho hakukiona kamwe. Alikuwa akisikia sehemu <strong>za</strong> Injili na Nyaraka<br />

(Barua), ambazo ali<strong>za</strong>nia kuwa Biblia kamili. Sasa, kwa mara ya kwan<strong>za</strong>, akata<strong>za</strong>ma, juu ya<br />

Neno la Mungu kamili. Kwa hofu na kushangaa akageu<strong>za</strong> kurasa takatifu na akasoma yeye<br />

mwenyewe maneno ya uzima, kusimama kidogo kwa mshangao, “O”, kama Mungu<br />

angenipa kitabu cha namna hii kwangu mwenyewe!” Malaika walikuwa kando yake.<br />

47

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!