21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kinyume cha Papa.” Lakini ibada ya watakatifu, kuabudu mbele ya ma<strong>za</strong>bahu, na<br />

kupambwa na <strong>za</strong>wadi <strong>za</strong> mahali patakatifu hakukuwe<strong>za</strong> kuleta amani ya roho. Kusadikishwa<br />

kwa <strong>za</strong>mbi kukaimarishwa juu yake, ambako matendo yote ya toba yalishindwa kumupa<br />

uhuru. Akasikili<strong>za</strong> maneno ya Lefévre: “Wokovu ni kwa neema.” “Ni msalaba wa Kristo tu<br />

unaofungua milango ya mbinguni, na kufunga milango ya kuzimu.”<br />

Kwa kutubu kama kule kwa Paulo, Farel akageuka kutoka kwa utumwa wa asili hata<br />

kwa uhuru wa wana wa Mungu. “Baada ya moyo wa uuaji wa mbwa mwitu mkali,” akarudi<br />

akasema, “kwa kimya kama mwana kondoo mwema na mpole, moyo wake wote<br />

umeondolewa kwa Papa, na ukatolewa kwa Yesu Kristo.”<br />

Wakati Lefévre alipokuwa akitawanya nuru miongoni mwa wanafunzi, Farel akaendelea<br />

kutanga<strong>za</strong> kweli wazi wazi. Mkuu mmoja wa kanisa, askofu wa Meaux, akajiunga mara<br />

kwao. Waalimu wengine wakaungana katika kutanga<strong>za</strong> injili, na ikavuta wafuasi kutoka<br />

kwa makao ya wafundi na wakulima hata kwa jumba la mfalme. Dada wa Francis I<br />

akakubali imani ya Matengenezo. Kwa matumaini bora ya Watengene<strong>za</strong>ji walita<strong>za</strong>mia<br />

wakati ambapo Ufransa ulipaswa kuvutwa kwa injili.<br />

Agano Jipya la Kifransa<br />

Lakini matumaini yao hayakutimia. Majaribu na mateso ikangoja wanafunzi wa Kristo.<br />

Walakini, wakati wa amani ukafika, ambao wangewe<strong>za</strong> kupata nguvu kwa kukutana na<br />

tufani, na matengenezo yakafanya maendeleo ya upesi. Lefévre akaan<strong>za</strong> kutafsiri wa Agano<br />

Jipya; na kwa wakati uleule ambapo Biblia ya Jeremani ya Luther ilipomalizika kutoka kwa<br />

mtambo wa kupigia chapa katika Wittenberg, Agano Jipya la Kinfransa likachapwa huko<br />

Meaux. Kwa upesi wakulima wa Meaux wakapata Maandiko matakatifu. Watu wa kazi<br />

katika mashamba, wafundi katika kiwanda cha kufanyia kazi, wakafurahishwa na kazi yao<br />

ya kila siku kwa kuzungum<strong>za</strong> habari ya damani ya kweli ya Biblia. Ijapo walikuwa watu wa<br />

cheo cha chini kabisa, bila elimu na kazi ngumu ya ukulima, matengenezo, uwezo<br />

unaogeu<strong>za</strong>, wa neema ya Mungu ukaonekana katika maisha yao.<br />

Nuru iliyoanga<strong>za</strong> huko Meaux ikatoa nyali yake mbali. Kila siku hesabu ya waliogeuka<br />

ilikuwa ikiongezeka. Hasira kali ya serkali ya kanisa ikakomeshwa kwa mda kwa kizuio cha<br />

mfalme, lakini wafuasi wa Papa wakashinda mwishowe. Mti wakuchoma wa pinga dini<br />

kukawashwa. Wengi walioshuhudia juu ya ukweli wakawa katika miako ya moto.<br />

Ndani ya vyumba vikubwa vya majumba na majumba ya kifalme, kulikuwa roho <strong>za</strong><br />

kifalme ambamo ukweli ulikuwa wa damani kuliko utajiri ao cheo ao hata maisha. Louis de<br />

Berquin alikuwa m<strong>za</strong>liwa wa jamaa ya cheo kikubwa, aliyejitoa kwa majifunzo, mwenye<br />

kuadibishwa na tabia isiyolaumiwa. “Akakamilisha kila namna ya wema kwa kushika<br />

mafundisho ya Luther katika machukio makuu ya kipekee.” Lakini, kwa bahati njema<br />

akaongozwa kwa Biblia, akashangazwa kupata pale “si mafundisho ya Roma, bali<br />

mafundisho ya Luther.” Akajitoa mwenyewe kwa kazi ya injili.<br />

85

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!