21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

vyake na akatanga<strong>za</strong> kwamba wakati Muumba alipolazimisha wote kujikana mwenyewe,<br />

Yeye mwenyewe hakutumia kujikana mwenyewe na hakutoa kafara yo yote. Sasa<br />

ilionekana kwamba Mtawala wa ulimwengu alitoa kafara kubwa sana ambayo upendo<br />

uliwe<strong>za</strong> kufanya, “maana, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akipatanisha ulimwengu naye<br />

mwenyewe.” 2 Wakorinto 5:19. Kusudi aharibu <strong>za</strong>mbi Kristo akajinyenyekea mwenyewe na<br />

kuwa mtiifu hata mauti.<br />

Mabishano kwa Ajiii ya Mtu<br />

Mbingu yote ikaona haki ya Mungu kufunuliwa. Lusifero alidai kwamba wanadamu wa<br />

<strong>za</strong>mbi wangekuwa mbali ya ukombozi. Lakini a<strong>za</strong>bu ya sheria ikaanguka juu yake<br />

aliyekuwa sawa na Mungu, na mtu akawa huru kukubali haki ya Kristo na kwa njia ya toba<br />

na kujishusha kwa kushinda nguvu <strong>za</strong> Shetani.<br />

Lakini Kristo hakuja duniani kufa kwa ajili ya kukomboa mtu tu. Alikuja kuonyesha kwa<br />

dunia zote kwamba sheria ya Mungu ni sheria isiyobadilika. Mauti ya Kristo inaihakikisha<br />

kuwa isiyogeuka na inaonyesha kwamba haki na rehema ndiyo msingi wa utawala wa<br />

Mungu. Katika hukumu ya mwisho itaonekana kwamba hapana sababu kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi<br />

kuwako. Wakati Mwamzi wa dunia yote atakapo muuli<strong>za</strong> Shetani, “Sababu gani uliasi juu<br />

yangu?” Mwanzishaji wa <strong>za</strong>mbi hatawe<strong>za</strong> kutoa sababu.<br />

Katika kupa<strong>za</strong> sauti kwa Mwokozi, “Imekwisha, “tarumbeta ya mauti ya Shetani ililia.<br />

Vita kuu ikakusudiwa, kungoa kwa mwisho kwa uovu kukahakikishwa. Kwa maana “siku<br />

inakuja, inawaka kama tanuru; na wenye kiburi wote, na wote wanaotumika uovu watakuwa<br />

kama makapi makavu; na siku itakayokuja itawatekete<strong>za</strong>, Bwana wa majeshi anasema; hata<br />

haitawaachia, wala shina wala tawi.” Malaki 4:1. Uovu hautaonekana tena kamwe. Sheria<br />

ya Mungu itaheshimiwa kama sheria ya uhuru. Viumbe vyote vilivyojaribiwa na<br />

kuhakikishwa havitageuka kamwe kwa kumtii yeye ambaye tabia yake imeonekana kama<br />

upendo usiopimika na hekima isiyo na mwisho.<br />

211

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!