21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 13. Katika Uholandi na Scandanavia<br />

Katika Uholandi ukali wa Papa ukaleta haraka upin<strong>za</strong>ni. Miaka mia saba kabla ya<br />

Luther, askofu wa Roma kwa uhodari akashitakiwa na maaskofu wawili, waliotumwa kuwa<br />

mabalozi huko Roma, wakajifun<strong>za</strong> tabia ya kweli ya “jambo takatifu la askofu”; “Unakaa<br />

mwenyewe ndani ya hekalu la Mungu; baada ya mchungaji unakuwa mbwa mwitu kwa<br />

kondoo, ... lakini ulipashwa kuwa mtumishi wa watumishi, kama upendavyo kujiita<br />

mwenyewe, unatumaini kuwa bwana wa mabwana. ... Unaleta haya kwa amri <strong>za</strong> Mungu.”<br />

Wengine wakatokea katika karne zote kukariri kukataa huku. Biblia ya Wavaudois<br />

ilitafsiriwa katika lugha ya Kijeremani. Wakatanga<strong>za</strong> “kwamba hapo kulikuwa faida ndani<br />

yake; hakuna mi<strong>za</strong>ha wala uongo, wala mambo ya michezo, wala udanganyifu, bali maneno<br />

ya kweli.” Ndivyo waliandika rafiki <strong>za</strong> imani ya <strong>za</strong>mani tangu karne ya kumi na mbili.<br />

Sasa wakati wa mateso ya kanisa la Roma ikaan<strong>za</strong>; lakini waaminifu wakaendelea<br />

kuongezeka, kutanga<strong>za</strong> kwamba Biblia ni mamlaka pekee ya haki katika dini na kwamba<br />

“hakuna mtu anayepashwa kushurutishwa kuamini, bali angepashwa kusadikishwa kwa njia<br />

ya mahubiri.”<br />

Mafundisho ya Luther yakapata katika Uholandi watu wa juhudi na waaminifu kwa<br />

kuhubiri injili. Menno Simons, mtu wa elimu mkatoliki na aliyetakaswa kwa upadri,<br />

alikuwa mjinga kabisa wa Biblia na hakuisoma kwa ajili ya hofu ya upin<strong>za</strong>ni wa ibada ya<br />

dini. Kwa ondoleo la <strong>za</strong>mbi akajitahidi kunyamazisha sauti ya <strong>za</strong>miri, lakini bila manufaa.<br />

Baada ya wakati akaongozwa kujifun<strong>za</strong> Agano Jipya; hili pamoja na maandiko ya Luther<br />

ikamletea kukubali imani ya matengenezo. Kwa mda kitambo akashuhudia mtu aliyeuawa<br />

kwa sababu alibatizwa mara ya pili. Jambo hili likamwongo<strong>za</strong> kujifun<strong>za</strong> Biblia kwa ajili ya<br />

ubatizo wa watoto wadogo. Aliona kwamba toba na imani vinahitajiwa kuwa sababu ya<br />

ubatizo.<br />

Menno akatoka kwa kanisa la Roma na akajitoa wakfu kwa kufundisha maneno ya<br />

ukweli aliyokubali. Katika Ujeremani na Uholandi kundi la washupavu likatokea, kuharibu<br />

kanuni na adabu, na kuendelea kufanya maasi. Menno kwa nguvu <strong>za</strong>ke zote akapinga<br />

mafundisho ya uongo na mashauri ya ushenzi ya washupavu. Kwa miaka makumi mbili na<br />

tano akapitia Uhollande na upande wa kaskazini ya Ujeremani, kutumia mvuto mkubwa<br />

sana, kufananisha katika maisha yake mwenyewe mafundisho aliyofundisha. Alikuwa mtu<br />

wa haki, mpole na mtulivu, mwaminifu na mwenye bidii. Hesabu kubwa ya watu<br />

wakageuka sababu ya kazi <strong>za</strong>ke.<br />

Katika Ujeremani Charles V alikomesha Matengenezo, lakini watawala wakasimama<br />

kama boma juu ya utawala wa ukaidi wake. Katika Uhollande mamlaka yake ilikuwa kubwa<br />

sana. Amri <strong>za</strong> mateso zikafuatana kwa upesi. Kwa kusoma Biblia, kuisikia ao kuihubiri,<br />

kumwomba Mungu kwa siri, kukataa kusujudu mbele ya sanamu ao kuimba Zaburi ilikuwa<br />

a<strong>za</strong>bu ya kifo. Maelfu waliangamia chini ya Charles na Philip II.<br />

95

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!