21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

ambayo waliimarisha kwa anasa katika <strong>za</strong>mbi, wajumbe wa Mungu walio<strong>za</strong>rauliwa,<br />

maonyo yaliyokataliwa, mawimbi ya rehema yaliyorudishwa kwa ukaidi, moyo usiotubu--<br />

yote inaonekana kama yameandikwa kwa maandiko ya moto.<br />

Juu ya kiti cha enzi kunafunuliwa msalaba. Kwa maoni kamili kukatokea mambo ya<br />

kuanguka kwa Adamu na hatua <strong>za</strong> kufuatana katika shauri la wokovu. Ku<strong>za</strong>liwa kwa<br />

unyenyekevu kwa Mwokozi; maisha yake ya kawaida; ubatizo wake katika Yorodani;<br />

kufunga na majaribu katika jangwa; huduma yake kufunua kwa watu mibaraka ya<br />

mbinguni; siku zilizojaa na matendo ya rehema, usiku wa kukesha katika maombi kule<br />

milimani; mashauri ya hila ya tamaa na uovu ambayo yalilipa faida <strong>za</strong>ke; maumivu makali<br />

ya siri katika Getesemane chini ya uzito wa <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> ulimwengu; usaliti wake kwa kundi la<br />

wauaji, matukio ya usiku ule wa kitisho kikuu-mfungwa asiyeshindana aliyeachwa na<br />

wanafunzi wake, aliyeshitakiwa katika jumba la kuhani mkuu, katika chumba kikubwa cha<br />

hukumu cha Pilato, mbele ya Herode mwenye hofu, aliyechekelewa, kutukanwa, kuteswa,<br />

na kuhukumiwa kufa--yote yanaelezwa kwa wazi.<br />

Na sasa mbele ya makutano yaliyowayawaya maoni ya mwisho yanafunuliwa; Mteswaji<br />

mvumulivu akakanyanga njia ya Kalvari; Mfalme wa mbinguni kutundikwa msalabani;<br />

makuhani na walimu wakachekelea maumivu makali ya kukata roho yake; gi<strong>za</strong> kubwa sana<br />

kuonyesha wakati wakati Mkombozi wa ulimwengu alipotoa maisha yake.<br />

Ajabu ya kutisha inaonekana kama tu ilivyokuwa. Shetani na watu wake hawana uwezo<br />

wa kugeu<strong>za</strong> na kutoka kwa picha. Yeyote aliyehusika kwa kufanya tendo anakumbuka<br />

sehemu aliyoifanya. Herode, aliyewaua watoto wasiokuwa na kosa wa Betelehemu; chanzo<br />

Herodias, ambaye juu ya nafsi yake kunadumu damu ya Yoane Mtabi<strong>za</strong>ji; m<strong>za</strong>ifu, Pilato<br />

mwenye kulinda wakati; askari wenye kuchekelea; msongano wa watu wenye wazimu<br />

waliopaa<strong>za</strong> sauti, “damu yake na iwe juu yetu, na juu ya watoto wetu”! --kutafuta namna<br />

yote bila kuwe<strong>za</strong> kujificha kutoka kwa utukufu wa uso wake Mungu, wakati<br />

waliokombolewa wanapotupa taji <strong>za</strong>o kwa miguu ya Mwokozi, kuapaa<strong>za</strong> sauti, “Alikufa<br />

kwa ajili yangu”!<br />

Hapo kuna Neno, mkatili mkali na muovu, kuta<strong>za</strong>ma utukufu wa wale aliowatesa na kwa<br />

maumuvu yao akapata furaha ya kishetani. Mama yake anashuhudia kazi yake mwenyewe,<br />

namna gani tamaa alizoendelesha na mvuto wake na mfano zime<strong>za</strong>a matunda katika mauaji<br />

yaliyoletea dunia kutetemeka.<br />

Hapo kunakuwa mapadri wa Papa na maaskofu waliojidai kuwa mabalozi wa Kristo,<br />

huku walipokuwa wakitumia mbao zenye vyango vya kutundikia watu, gere<strong>za</strong>, na kigingi<br />

kwa kutawala watu Wake. Hapo panakuwa maaskofu wenye kiburi waliojiinua wenyewe<br />

juu ya Mungu na wakasubutu kugeu<strong>za</strong> sheria ya Mungu Aliye juu. Wale waliojidai kuwa<br />

wababa wanakuwa na hesabu ya kutoa kwa Mungu. Kwa mda kitambo unapopita<br />

wamefanywa kuona ya kwamba Mwenye Kujua yote anakuwa na wivu wa sheria yake.<br />

279

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!