21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

watu wa Bwana uamsho wa utawa wa <strong>za</strong>mani <strong>za</strong> mababu ambao haujashuhudiwa tangu<br />

nyakati <strong>za</strong> mitume. Roho ya Mungu itamwangiwa. Wengi watajitenga kwa makanisa hayo<br />

ambayo mapendo ya dunia hii yaliondoa upendo kwa Mungu na Neno lake. Wahubiri wengi<br />

na watu watakubali kwa furaha zile kweli kubwa ambazo zinatayarisha watu kwa kuja kwa<br />

Bwana mara ya pili.<br />

Adui wa roho anataka kuzuia kazi hii, na kabla ya kufika kwa mwenendo wa namna<br />

hiyo, atafanya nguvu kuuzuia kwa njia ya kuingi<strong>za</strong> mwigo. Katika makanisa yale ambayo<br />

anawe<strong>za</strong> kuleta chini ya mamlaka yake ataifanya kuonekana kwamba baraka ya kipekee ya<br />

Mungu imemwangwa juu yao. Makutano yatashangilia, “Mungu anatumika kwa ajabu,”<br />

wakati ile kazi ni ya roho ingine. Chini yamtindo wa dini, Shetani atatafuta kuene<strong>za</strong> mvuto<br />

wake kwa ulimwengu wa Wakristo. Hapo kunakuwa mwamsho wa maono, mchanganyiko<br />

wa kweli na uwongo, uliotengenezwa vizuri sana kwa kudanganya.<br />

Lakini katika nuru ya Neno la Mungu si vigumu kutambua tabia ya kazi hizi. Pahali pote<br />

watu wanapo<strong>za</strong>rau ushuhuda wa Biblia, kugeukia mbali na hizi zilizo <strong>za</strong>ili zinazo jaribu<br />

roho ambazo zinaomba kujikana mwenyewe na kukana dunia, hapo tunawe<strong>za</strong> kuwa na<br />

hakika kwamba baraka ya Mungu haikutolewa. Na kwa amri, “Mutawatambua kwa njia ya<br />

matunda yao,” (Matayo 7:16), ni ushuhuda kwamba kazi hizi si kazi ya Roho ya Mungu.<br />

<strong>Ukweli</strong> ya Neno la Mungu inakuwa ngao juu ya madanganyo ya Shetani. Ku<strong>za</strong>rau kweli<br />

hizi kulifungua mlango kwa maovu yanayoenea sasa katika ulimwengu. Umuhimu wa<br />

sheria ya Mungu umesahauliwa kwa eneo kubwa sana. Wazo mbaya juu ya sheria ya<br />

Mungu limeongo<strong>za</strong> kwa makosa katika toba na utakaso, kwa kushusha kipimo cha utawa.<br />

Hapa ndipo panapopatikana siri ya ukosefu wa Roho ya Mungu katika maamsho ya wakati<br />

wetu.<br />

Sheria ya Uhuru<br />

Waalimu wengi wa dini wanatetea kwamba Kristo kwa mauti yake aliondoa sheria.<br />

Wengine wanaionyesha kama kongwa mzito wa kuhuzunisha, na kwa kinyume “utumwa”<br />

wa sheria walioonyesha “uhuru” wa kufurahia chini ya habari njema.<br />

Lakini si vile manabii na mitume walivyofanya mbele ya sheria takatifu ya Mungu.<br />

Akasema Dawidi: “Na nitatembea huru kwa kuwa nimetafuta maagizo yako.” Zaburi<br />

119:45. Mtume Yakobo anatumia Amri kumi kama “sheria .kamili, ya uhuru.” Yakobo<br />

1:25. Mfumbuzi anatanga<strong>za</strong> baraka juu yao “wanaoshika amri <strong>za</strong>ke (wanaofua nguo <strong>za</strong>o),<br />

wawe na haki ya kula mti wa uzima, na kuingia katika mji kwa milango yake.” Ufunuo<br />

22:14.<br />

Kama ingewezekana kwa sheria kugeuzwa ao kuwekwa pembeni, Kristo hangehitaji<br />

kufa kwa kuokoa mtu kwa a<strong>za</strong>bu ya <strong>za</strong>mbi. Mwana wa Mungu alikuja “kutuku<strong>za</strong> sheria na<br />

kuifanyi<strong>za</strong> kuwa na heshima.” Isaya 42:21. Akasema: “Musi<strong>za</strong>nie nilikuja kuharibu torati”;<br />

“hata mbingu na inchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja haitaondoka, hata yote<br />

195

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!