21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Mimi nitamupa yeye mwenye kiu, ya chemchemi ya maji ya uzima, bure.” Ahadi hii ni<br />

ya wale tu wanaokuwa na kiu. “Yeye anayeshinda atariti maneno haya, nami nitakuwa<br />

Mungu wake, naye atakuwa mwana wangu.” Ufunuo 21:6,7. Mashairi yameelezwa. Kwa<br />

kuriti vitu vyote, inatupasa kushinda <strong>za</strong>mbi.<br />

“Lakini haitakuwa heri kwake mwovu.” Muhubiri 8:13. Mwenye <strong>za</strong>mbi anajiwekea<br />

mwenyewe “hasira kwa siku ya hasira na ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu, atakayelipa<br />

kila mutu kwa kadiri ya matendo yake;” “mateso na taabu juu ya kila nafsi ya mutu<br />

anayefanya uovu.” Waroma 2:5,6,9.<br />

“Hakuna mwasherati wala mutu muchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu,<br />

aliye uriti katika ufalme wa Kristo na Mungu.” “Heri wale wanaofula nguo <strong>za</strong>o, wawe na<br />

amri kwendea mti wa uzima, na kuingia katika muji kwa milango yake. Lakini inje ni<br />

imbwa, na wachawi, na wazini, na wauaji, na wanaoabudu sanamu, na kila mutu<br />

anayependa uwongo na kuufanya.” Waefeso 5:5, ARV; Ufunuo 22:14,15.<br />

Mungu amewatolea watu tangazo la kanuni ya matendo na <strong>za</strong>mbi. “Waovu wote<br />

atawaharibu.” ‘’Lakini wakosaji wataharibiwa pamoja; mwisho wa waovu utaharibiwa.”<br />

Zaburi 145:20; 37:38. Mamlaka ya serikali ya Mungu itaharibu maasi, lakini haki ya<br />

kulipi<strong>za</strong> kisasi itakuwa aminifu pamoja na tabia ya Mungu kama wa rehema, na wema.<br />

Mungu hashurutishe mapenzi. Hapendezwi na utii wa utumwa. Anataka ya kama viumbe<br />

vya mikono yake watampenda kwa sababu anastahili upendo. Angaliwatakia wamtii kwa<br />

sababu wanakuwa na shukrani ya akili kwa hekima yake, haki, na wema.<br />

Kanuni <strong>za</strong> serkali ya Mungu zinakuwa katika umoja pamoja na amri ya Mwokozi,<br />

“Pendeni adui zenu.” Matayo 5:44. Mungu anatimili<strong>za</strong> haki kwa waovu kwa ajili ya uzuri<br />

wa viumbe vyote na hata kwa ajili ya uzuri wa wale ambao hukumu <strong>za</strong>ke<br />

zitakapowata<strong>za</strong>ma. Angewafurahisha kama awe<strong>za</strong>vyo. Amewazunguusha na alama <strong>za</strong><br />

upendo wake na kuwafuatisha na matoleo <strong>za</strong> rehema; lakini wana<strong>za</strong>rau upendo wake,<br />

wanavunja sheria yake, na kukataa rehema yake. Kupokea daima <strong>za</strong>wadi <strong>za</strong>ke,<br />

wanampatisha haya Mtoaji. Bwana anavumilia ukaidi wao wakati mrefu; lakini je,<br />

atawafunga waasi hawa kwa upande wake, kuwalazimisha kufanya mapenzi yake?<br />

Hawakutayarishwa Kuingia Mbinguni<br />

Wale waliochagua Shetani kuwa kiongozi wao hawakutaya-rishwa kuingia machoni pa<br />

Mungu. Kiburi, uongo, uasherati, ukali, yamekazwa katika tabia <strong>za</strong>o. Je, wanawe<strong>za</strong> kuingia<br />

mbinguni kukaa milele pamoja na wale ambao waliwachukia duniani? Kweli haitawe<strong>za</strong><br />

kuwa ya kupende<strong>za</strong> kwa mwongo; upole hautawe<strong>za</strong> kutuli<strong>za</strong> kujisifu; usafi hauwezi<br />

kukubaliwa kwa mwovu; upendo usiotaka faida hauonekane wa kuvuta kwa mwenye choyo.<br />

Ni furaha gani mbingu ingewe<strong>za</strong> kutoa kwa wale wanaoshughulika sana katika faida <strong>za</strong><br />

kujipende<strong>za</strong> nafsi?<br />

226

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!