21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Shetani anashauriana pamoja na watu kuwa wakubwa. Wanatanga<strong>za</strong> ya kwamba jeshi<br />

ndani ya mji ni ndogo kwa kulinganisha na la kwao na linawe<strong>za</strong> kushindwa. Wafundi wa<br />

ujuzi wanafanya vyombo vya vita. Waongozi wa askari wanapanga watu wa vita katika<br />

makundi na sehemu.<br />

Mwishoni agizo la kuendelea mbele linatolewa, na jeshi lisilohesabika likaendelea, jeshi<br />

ambalo nguvu zenye kuunganika <strong>za</strong> vi<strong>za</strong>zi vyote hazikuwe<strong>za</strong> kamwe kuwa sawa. Shetani<br />

anakuwa mbele, wafalme na waaskari nao wanafuata. Kwa utaratibu wa kiaskari makundi<br />

katika mistari yakaendelea mbele ya uso wa dunia iliyovunjika hata kwa Mji wa Mungu.<br />

Kwa agizo la Yesu, milango ya Yerusalema Mpya ikafungwa, na majeshi ya Shetani<br />

yanajitayarisha kwa kushambulia.<br />

Sasa Kristo anatokea kuta<strong>za</strong>ma adui <strong>za</strong>ke. Mbali juu ya mji, juu ya msingi wa <strong>za</strong>habu<br />

yenye kungaa, ni kiti cha enzi. Juu ya kiti hiki cha enzi Mwana wa Mungu anakaa, na<br />

pembeni yake ni raia ya ufalme wake. Utukufu wa Baba wa Milele unamuzunguka Mwana<br />

wake. Kungaa kwa kuwako kwake kunatoka juu ya milango, kuja<strong>za</strong> dunia na mwanga<strong>za</strong>.<br />

Karibu sana na kiti cha enzi kunakuwa wale waliokuwa <strong>za</strong>mani na bidii katika kazi ya<br />

Shetani, lakini walipo ondoshwa kama vinga kutoka motoni, wakafuata Mwokozi wao kwa<br />

bidii sana. Wanaofuata ni wale waliokamilisha tabia katikati ya uwongo na uasi,<br />

walioheshimu sheria ya Mungu wakati walimwengu walipoitanga<strong>za</strong> kuwa iliondolewa, na<br />

mamilioni, wa vi<strong>za</strong>zi vyote, waliouawa kama wafia dini kwa ajili ya imani yao. Mbali <strong>za</strong>idi<br />

kunakuwa “makutano makubwa sana yasiyowe<strong>za</strong> mtu kuyahesabu, watu wa kila taifa, na<br />

kabila, na jamaa, na lugha, ... wamevikwa mavazi myeupe, na matawi ya mitende katika<br />

mikono yao”. Ufunuo 7:9 . Vita yao imemalizika, ushindi wao umepatikana. Tawi la ngazi<br />

linafananisha shangwe, nguo yeupe ni alama ya haki ya Kristo ambayo saa imekuwa yao.<br />

Katika msongano wote ule pale hakuna watu wa kuhesabia wokovu kwao wenyewe kwa<br />

wema wao wenyewe. Hakuna kitu kinachosemwa cha kile walichoteseka nacho; sauti ya<br />

msingi ya kila wimbo wa sifa ni, Wokovu kwa Mungu wetu na kwa Mwana-Kondoo.<br />

Hukumu Inatangazwa Juu ya Waasi<br />

Mbele ya wakaaji waliokusanyika wa dunia na wa mbinguni kwa mkutano na kuviikwa<br />

taji kwa Mwana wa Mungu. Na sasa, kuvikwa mamlaka makubwa na uwezo, Mfalme wa<br />

wafalme anatanga<strong>za</strong> hukumu juu ya waasi waliovunja sheria yake na kutesa watu wake.<br />

“Nikaona kiti cha enzi, kikubwa, cheupe, naye anayeketi juu yake, dunia na mbingu<br />

zikakimbia uso wake; na pahali pao hapakuonekana. Nikaona wafu, wakubwa na wadogo,<br />

wamesimama mbele ya Mungu, na vitabu vikafunuliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa,<br />

kilicho cha uzima; na wafu wakahukumiwa katika mambo haya yaliyoandikwa katika vile<br />

vitabu, sawasawa na matendo yao”. Ufunuo 20:11, 12.<br />

Wakati jicho la Yesu linapoangalia juu ya waovu, wanakuwa na ufahamu wa kila <strong>za</strong>mbi<br />

waliyoitenda. Wanaona pahali miguu yao ilipoacha njia ya utakatifu. Majaribu ya kuvuta<br />

278

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!