21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wanajifun<strong>za</strong> sasa ya kwamba Kristo anatambua faida <strong>za</strong>ke pamoja na watu wake<br />

wanaoteseka.<br />

Ulimwengu mzima wenye uovu unasimama kwakushitaki kwa ajili ya maasi makubwa<br />

juu ya kupinga serkali ya mbinguni. Hawana yeyote kwa kutetea maneno yao; hawana<br />

sababu yo yote; na hukumu ya mauti ya milele inatangazwa juu yao.<br />

Waovu wanaona kile walichopotewa kwa sababu ya uasi wao. “Yote hii”, nafsi<br />

iliyopotea inalia, “ningaliwe<strong>za</strong> kuwa nayo, Ee, upumbafu wa namna gani! nimebadili amani,<br />

furaha, na heshima kwa ajili ya ubaya, sifa mbaya, na kukata tamaa”. Wote wanaona ya<br />

kwamba kufukuzwa kwao mbinguni ni kwa haki. Katika maisha yao wametanga<strong>za</strong>:<br />

“Hatuwezi kuwa na mtu huyu (Yesu) kutawala juu yetu”.<br />

Shetani Ameshindwa<br />

Kama vile katika bumbuanzi waovu wanata<strong>za</strong>ma ibada ya kuvikwa kwa taji kwa Mwana<br />

wa Mungu. Wanaona mikononi mwake mbao <strong>za</strong> sheria ya Mungu walizozi<strong>za</strong>rau.<br />

Wanashuhudia nguvu ya ibada kutoka kwa waliookolewa; na kama wimbi la sauti <strong>za</strong><br />

nyimbo zinapoenea kwa makutano inje ya mji, wote wanapaa<strong>za</strong> sauti, “Haki na kweli ndizo<br />

njia <strong>za</strong>ko, wewe Mfalme wa watakatifu”. Ufunuo 15:3. Kwa kuanguka na kumusujudu,<br />

wakamuabudu mfalme wa uzima.<br />

Shetani anaonekana kama anahangaika. Mara kerubi wa kufunika, anakumbuka mahali<br />

gani ameanguka. Kutoka kwa bara<strong>za</strong> pahali alipoheshimiwa <strong>za</strong>mani ameondolewa milele.<br />

Anaona sasa mwingine anayesimama karibu ya Baba, malaika wa umbo lenye utukufu.<br />

Anajua ya kwamba cheo cha malaika huyu kingewe<strong>za</strong> kuwa chake.<br />

Ufahamu unakumbuka makao ya hali yake ya usafi, amani na kutoshelewa ilivyokuwa<br />

yake mpaka wakati wa uasi wake. Anakumbuka kazi yake miongoni mwa watu na matokeo<br />

yake--uadui wa mtu kwa watu wen<strong>za</strong>ke, maangamizi ya kutisha ya maisha, kupinduka kwa<br />

viti vya enzi, makelele, vita, na mapinduzi. Anakumbuka bidii <strong>za</strong>ke <strong>za</strong> daima kwa kupinga<br />

kazi ya Kristo. Anapoangalia matunda ya kazi yake anaona tu kushindwa. Mara kwa mara<br />

katika maedeleo ya vita kuu amekuwa akishindwa na kulazimishwa kuacha.<br />

Kusudi la muasi mkuu lilikuwa daima kuhakikisha kuwa serkali ya Mungu ndiyo<br />

msimamizi wa uasi. Ameongo<strong>za</strong> makundi mengi kukubali maelezo yake. Kwa maelfu ya<br />

miaka mkuu huyu wa mapatano ya kufanya mabaya ameficha uwongo kuwa haki. Lakini<br />

wakati umefika sasa wakati historia na tabia ya Shetani zitakapofunuliwa. Katika juhudi<br />

yake ya mwisho kwa kuondoa Kristo kwa kiti cha enzi, kuharibu watu Wake, na kukamata<br />

makao ya Mji wa Mungu, mshawishi mkubwa amekwisha kufunuliwa kabisa. Wale<br />

waliojiunga naye wanaona kushindwa kabisa kwa kazi yake.<br />

280

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!