21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Makutano yakaja pamoja kwa mahali ... pengi. Maneno kwa hotuba zisizo <strong>za</strong> kawaida<br />

kwan<strong>za</strong> zilikuwa zile zisizogeuka <strong>za</strong> kuonyesha kwamba gi<strong>za</strong> ililingana na unabii wa<br />

Maandiko... Gi<strong>za</strong> ilikuwa nyingi <strong>za</strong>idi kwa upesi baada ya saa tano.”<br />

“Kwa sehemu nyingi <strong>za</strong> inchi ilikuwa kubwa sana katika nyakati <strong>za</strong> mchana, ambaye<br />

watu hawakuwe<strong>za</strong> kutaja saa wala kwa saa ndogo ao kubwa, wala kula chakula, ao kufanya<br />

kazi <strong>za</strong>o <strong>za</strong> nyumbani, bila nuru ya mishumaa.”<br />

Mwezi kama Damu<br />

“Gi<strong>za</strong> ya usiku haikukosa kuwa ya ajabu na ya kutisha kama ile ya mchana; ingawa<br />

mwezi ulikuwa karibu kuwa mzima, hakuna kitu kilikuwa cha kutambulikana ila tu kwa<br />

msaada wa nuru isiyokuwa ya asili, ambayo, kama ikionekana kwa nyumba <strong>za</strong> jirani na<br />

mahali pengine kwa mbali ilionekana kama katika ile gi<strong>za</strong> ya Misri ambayo ilionekana<br />

karibu kama isiyopenyeka kwa miale.” “Kama kila kitu chenye kung’aa katika ulimwengu<br />

kilifunikwa katika gi<strong>za</strong> isiyopenyeka, ao kingeondolewa, gi<strong>za</strong> haingalikuwa kamili kabisa.”<br />

Baada ya usiku wa manane gi<strong>za</strong> ikatoweka, na mwezi, wakati ulionekana mara ya kwan<strong>za</strong>,<br />

ulikuwa na rangi ya damu.<br />

Tarehe 19 ya Mai 1780, inakuwa katika historia kama “Siku ya Gi<strong>za</strong>.” Tangu wakati wa<br />

Musa hakuna gi<strong>za</strong> ya namna ile nzito, kubwa, na yakuendelea iliyoandikwa. Maelezo<br />

yaliyotolewa kwa washuhuda waliojionea ni jibu la maneno yaliyoandikwa na Yoeli miaka<br />

2500 mbele: “Jua litageuka kuwa gi<strong>za</strong>, na mwezi kuwa damu mbele ya kutimia kwake ile<br />

siku kubwa ya Bwana yenye kuogopesha.” Yoeli 2:31.<br />

“Wakati maneno haya yanapoan<strong>za</strong> kuja,” akasema Kristo, “ta<strong>za</strong>meni juu, munyanyue<br />

vichwa vyenu kwa sababu ukombozi wenu umekaribia.” Alitolea wafuasi wake mfano wa<br />

mti uliochipuka wakati ya mwaka ya kukua ao kuota kwa mimea: “Wakati inapochipuka,<br />

munaona na kutambua ninyi wenyewe ya kwamba mavuno yamekwisha kuwa karibu. Vile<br />

nanyi, wakati munapoona maneno haya yanapotokea jueni ya kwamba ufalme wa Mungu ni<br />

karibu.” Luka 21:28, 30, 31.<br />

Lakini katika kanisa upendo kwa ajili ya Kristo na imani katika kuja kwake vilipoa.<br />

Waliojidai kuwa watu wa Mungu walipofushwa kwa mafundisho ya Mwokozi juu ya ishara<br />

<strong>za</strong> kuonekana kwake. Mafundisho ya kuja kwa mara ya pili yali<strong>za</strong>rauliwa, hata ikiwa kwa,<br />

eneo kubwa, haikujaliwa na ikasahauliwa, hasa <strong>za</strong>idi kule Amerika. Tamaa ya mali,<br />

kupigania sifa na uwezo, vikaongo<strong>za</strong> watu kuweka mbali kwa wakati ujao siku ile kubwa<br />

ambapo mambo yote ya sasa yatapaswa kupita.<br />

Mwokozi alitabiri hali ya kukufuru ilipashwa kuwako mbele ya kuja kwake kwa mara ya<br />

pili. Kwa wale wanaoishi kwa wakati huu, onyo la Kristo ni: “Mujiangalie, mioyo yenu<br />

isipate kulemewa na ulafi na ulevi, na masumbuko ya maisha haya, siku ile isije kwenu<br />

gafula kama mutego.” “Lakini ta<strong>za</strong>meni kila wakati, mukiomba mupate nguvu ya kukimbia<br />

124

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!