21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 2. Ubatizo wa Moto<br />

Yesu alifunulia wanafunzi wake maarifa ya watu wake tangu wakati ambao alipaswa<br />

kuchukuliwa kutoka kwao, hata kurudi kwake katika uwezo na utukufu. Kuingia ndani sana<br />

ya wakati ujao, jicho lake likaona zoruba kali zilipaswa kupiga juu ya wafuasi wake kwa<br />

miaka iliyokuwa karibu ya mateso. Ta<strong>za</strong>ma Matayo 24:9,21,22. Wafuasi wa Kristo<br />

wanapaswa kupitia kwa njia ya namna moja ya laumu na mateso ambayo Bwana wao<br />

alipitia. Uadui juu ya Mkombozi wa ulimwengu ulipaswa kuonekana juu ya wote<br />

wanaopaswa kuamini jina lake.<br />

Upagani ulifahamu kwamba injili ikishinda, hekalu na ma<strong>za</strong>bahu <strong>za</strong>ke yalipaswa<br />

kuondolewa; kwa sababu hii mioto ya mateso ikawashwa. Wakristo walinyanganywa mali<br />

<strong>za</strong>o na kufukuzwa nyumbani mwao. Hesabu kubwa ya wenye cheo na watumwa, watajiri na<br />

masikini, wenye elimu na wajinga, waliuawa bila huruma.<br />

Ya kianzia chini ya utawala wa Nero, mateso yakaendelea kwa karne nyingi. Wakristo<br />

walitangazwa kwa uongo kuwa ni wao walioleta njaa, tauni, na matetemeko ya inchi.<br />

Wachongezi wakasimama tayari, kwa ajili ya faida tu, kwa kusaliti wasio na kosa kama<br />

waasi na tauni kwa jamii. Hesabu kubwa wakatupwa kwa nyama wa pori ama kuchomwa<br />

wahai katika viwanja vya michezo (amphitheatres). Wengine wakasulubiwa; wengine<br />

wakafunikwa na ngozi <strong>za</strong> nyama wa pori na kusukumwa kwa nguvu katika uwanja (arena)<br />

wa kuchezea ili kupasuliwa kwa waimbwa. Kwa siku kuu <strong>za</strong> wote makutano mengi sana<br />

yalikusanyika kwa kufurahisha macho na kusalimia walioumizwa kwa kifo na<br />

kuwachekeleya na kushangilia.<br />

Wafuasi wa Kristo walilazimishwa kutafuta maficho katika mahali pa ukiwa na pekee.<br />

Chini ya milima inje ya muji wa Roma, vyumba virefu vilifunuliwa katika inchi na miamba<br />

kwa maelfu ngambo ya pili ya kuta <strong>za</strong> mji. Ndani ya makimbilio haya ya chini ya udongo<br />

wafuasi wa Kristo wakazika wafu wao, na hapo pia walipaswa kukimbilia, walipo<strong>za</strong>niwa<br />

maovu na kugombezwa, walipata makao. Wengi wakakumbuka maneno ya Bwana wao,<br />

kwamba kama wakiteseka kwa ajili ya Kristo, inafaa wafurahi sana. Zawadi yao itakuwa<br />

kubwa mbinguni, kwa maana ndivyo walivyotesa manabii waliokuwa mbele yao. Ta<strong>za</strong>ma<br />

Matayo 5:11,12.<br />

Nyimbo <strong>za</strong> ushindi zikapanda katikati ya ndimi <strong>za</strong> moto zenye kutatarika. Kwa imani<br />

waliona Kristo na malaika wakiwata<strong>za</strong>ma pamoja na usikizi mwingi sana na kuta<strong>za</strong>ma<br />

kusimama imara kwao pamoja na kibali. Sauti ikaja kutoka kwa kiti cha enzi cha Mungu:<br />

“Uwe mwaminifu mpaka kufa, nami nitakupa taji ya uzima”. Ufunuo 2:10.<br />

Nguvu <strong>za</strong> Shetani kwa kuharibu kanisa la Kristo kwa mauaji zilikuwa bure. Watumishi<br />

wa Mungu waliuawa, lakini injili iliendelea kutawanyika na wafuasi wake kuongezeka.<br />

Mkristo mmoja akasema: “Tunazidi kuongezeka kwa hesabu namna munavyozidi kutuuwa,<br />

damu ya Wakristo ni mbegu”.<br />

13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!