21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sababu yake ya Kweli<br />

Sura 15. Mapinduzi ya Ufaransa<br />

Mataifa mengine yalikaribisha Matengenezo kuwa ujumbe wa mbinguni. Katika inchi<br />

zingine nuru ya maarifa ya Biblia ilikuwa karibu kufungwa kabisa. Katika inchi ingine<br />

kweli na uongo vikashindaniya uwezo kwa karne nyingi. Mwishowe ukweli wa mbinguni<br />

ukasongwa. Kiasi cha Roho ya Mungu kikaondolewa kwa watu wale walio<strong>za</strong>rau <strong>za</strong>wadi ya<br />

neema yake. Na ulimwengu wote ukaona matunda ya kukataa nuru kwa makusudi.<br />

Vita ya kupinga Biblia katika Ufransa ikatimilika wakati wa mapinduzi, ambayo ni<br />

matokeo halali kwa Roma kutosoma Maandiko. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo.) Ni onyesho la ajabu<br />

sana lililoshuhudia mwisho wa mafundisho ya kanisa la Roma. Ufunuo ulitanga<strong>za</strong> matokeo<br />

ya kutisha yaliyopaswa kuongezeka <strong>za</strong>idi kwa Ufransa kutoka kwa utawala wa “mtu wa<br />

<strong>za</strong>mbi”:<br />

“Na kiwanja kilicho inje ya hekalu la Mungu, uache inje, wala usipime kwa maana<br />

imetolewa kwa mataifa, nao watakanyaga mji mutakatifu miezi makumi ine na miwili.<br />

Nami nitawapa washuhuda wangu wawili nguvu, nao watatoa unabii siku elfu moja mia<br />

mbili makumi sita, wamevikwa mavazi ya gunia. ... Hata watakapomali<strong>za</strong> ushuhuda wao,<br />

yule nyama anayetoka katika shimo pasipo mwisho atafanya vita nao; naye atawashinda na<br />

kuwaua. Na maiti yao yatalala katika njia ya mji ule mkubwa, unaoitwa kwa kiroho Sodomo<br />

na Misri, ambapo tena Bwana wetu aliposulubiwa. ... Na wale wanaokaa juu ya dunia<br />

watafurahi juu yao na kuchekelea, watapelekeana <strong>za</strong>wadi wao kwa wao, kwa sababu<br />

manabii hawa wawili waliwatesa wao wanaokaa juu ya dunia. Na kiisha siku tatu na nusu,<br />

Roho ya uhai inayotoka kwa Mungu ikaingia ndani yao, wakasimama kwa miguu yao; na<br />

woga mkubwa ukawaangukia watu wote waliowaona.” Ufunuo 11:2-11.<br />

“Miezi makumi ine na miwili” na siku elfu moja mia mbili na makumi sita” ni sawa<br />

sawa, wakati ambao kanisa la Kristo lilipaswa kuteswa na magandamizo ya Roma. Miaka<br />

1260 ilian<strong>za</strong> katika mwaka 538 A.D. na ikamalizika kwa mwaka 1798 AD. (Ta<strong>za</strong>ma<br />

Nyongezo.) Kwa wakati ule majeshi ya Ufaransa likamfanya Papa kuwa mfungwa, na akafa<br />

mbali na kwao. Mamlaka ya Papa ikakosa uwezo wa kuimarisha utawala wake wa <strong>za</strong>mani.<br />

Mateso hayakudumu hata mwisho katika miaka 1260 yote. Katika huruma <strong>za</strong>ke kwa<br />

watu wake, Mungu akafupisha mda wa taabu yao kali kwa mvuto wa Matengenezo.<br />

“Washahidi wawili” ni mfano wa Maandiko ya Agano la Kale na Agano Jipya, washuhuda<br />

wakuu kwa mwanzo na umilele wa sheria <strong>za</strong> Mungu, na pia kwa mpango wa wokovu.<br />

“Nao watatoa unabii siku elfu moja mia mbili makumi sita, wamevikwa mavazi ya<br />

gunia.” Wakati Biblia ilipokatazwa, ushuhuda wake ukageuzwa vibaya; wakati wale<br />

walipojaribu kutanga<strong>za</strong> ukweli wake wakasalitiwa, kuteswa, kuuawa kama wafia dini kwa<br />

ajili ya imani yao ao kulazimishwa kukimbia--ndipo “washuhuda” waaminifu wakatabiri<br />

107

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!