21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 41. Dunia katika Uharibifu<br />

Wakati sauti ya Mungu inapogeu<strong>za</strong> utumwa wa watu wake, pale panakuwa na muamko<br />

wa kutisha wa wale waliopote<strong>za</strong> vyote katika vita kubwa ya maisha. Kupofushwa na<br />

madanganyo ya Shetani watajiri wakajisifu wenyewe kwa ukuu wao kwa wale<br />

wasiofanikiwa sana. Lakini hawakujali kulisha wenye njaa, kuvika wale waliokuwa unchi,<br />

kufanya kwa haki, na kupenda rehema. Sasa wameondolewa vyote vilivyowafanya kuwa<br />

wakubwa na wameachwa ukiwa (maskini). Wanata<strong>za</strong>ma kwa hofu juu ya kuangamia kwa<br />

sanamu <strong>za</strong>o. Wameuzisha nafsi <strong>za</strong>o kwa ajili ya anasa ya dunia na hawakuwa watajiri kwa<br />

Mungu. Maisha yao ni ya kushindwa, anasa <strong>za</strong>o zimegeuka kuwa uchungu. Faida ya maisha<br />

yao yote imepotea kwa wakati moja. Watajiri wanalilia kuangamia kwa nyumba <strong>za</strong>o kubwa,<br />

kutawanyika kwa <strong>za</strong>habu yao na fe<strong>za</strong>, na hofu ya kwamba wao wenyewe wanapashwa<br />

kuangamia pamoja na sanamu <strong>za</strong>o. Waovu wanaombole<strong>za</strong> ya kwamba matokeo ni vile<br />

inavyokuwa, lakini hawatubu kwa maovu yao.<br />

Mhubiri aliyefanya ukweli kwa kafara makusudi ya kupata upendeleo wa watu sasa<br />

anatambua mvuto wa mafundisho yake. Kila mustari ulioandikwa, kila neno lililotamkwa<br />

lililoongo<strong>za</strong> watu kudumu katika kimbilio la uwongo limetawanya mbegu: na sasa<br />

anata<strong>za</strong>ma mavuno. Bwana anasema: “Ole wao wachungaji, wanaoharibu na kutawanya<br />

kondoo <strong>za</strong> malisho yangu! ... Angalieni, nitaleta juu yenu uovu wa matendo yenu”. “kwa<br />

uwongo mumehuzunisha moyo wao walio haki, nisiowahuzunisha; nakutia nguvu mikono<br />

ya mwovu, hata asigeuke toka njia yake ya uovu, na kuponyeshwa hai”. Yeremia 23:1,2;<br />

Ezekieli 13:22.<br />

Wahubiri na watu wanaona ya kuwa wameasi juu ya Muumba wa sheria yote ya haki.<br />

Kuweka pembeni maagizo ya Mungu kulitoa mwinuko kwa maelfu ya nguvu <strong>za</strong> uovu, hata<br />

dunia ikawa mfereji moja mkubwa wa <strong>za</strong>mbi. Hakuna lugha inayowe<strong>za</strong> kuele<strong>za</strong> tamaa ya<br />

wasiowaaminifu wanapota<strong>za</strong>ma wale walivyopote<strong>za</strong> milele--uzima wa milele.<br />

Watu wanashitakiana wao kwa wao kwa ajili ya kuwaongo<strong>za</strong> kwa uharibifu, lakini wote<br />

wanaunganika kwa kukusanya hukumu yao ya uchungu mkubwa juu ya wachungaji<br />

wasiokuwa waaminifu waliotabiri “maneno ya laini” (Isaya 30:10), walioongo<strong>za</strong><br />

wasikili<strong>za</strong>ji wao kufanya ukiwa sheria ya Mungu na kutesa wale wangeishika kama takatifu.<br />

“Tumepotea”! wameombole<strong>za</strong>, “na ninyi ndio munaokuwa sababu yenyewe”. Mikono<br />

iliyowatawa<strong>za</strong> <strong>za</strong>mani kwa heshima itanyanyuliwa kwa ajili ya uharibifu wao. Po pote<br />

kunakuwa vita na umwangaji wa damu.<br />

Mwana wa Mungu na wajumbe wa mbinguni wamekuwa katika vita pamoja na muovu,<br />

kwa kuonya, kuangazia, na kuokoa wana wa watu. Sasa wote wamefanya mipango<br />

(makusudi) yao; waovu wameungana kabisa na Shetani katika vita kupigana na Mungu.<br />

Mabishano si ya Shetani peke yake, lakini pamoja na watu. “Bwana ana mashindano na<br />

mataifa”. Yeremia 25:31.<br />

273

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!