21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Hakuna mmoja anayeteseka na hasira ya Mungu mpaka kweli inapokwisha kuletwa<br />

nyumbani kwa moyo wake na <strong>za</strong>miri na inapokataliwa. Wengi hawakupata kamwe bahati ya<br />

kusikia mambo ya ukweli wa kipekee kwa wakati huu. Yeye anayesoma kila moyo hataacha<br />

mmoja anayetamani kweli kudanganywa kama matokeo ya mashindano. Kila mmoja<br />

anapashwa kuwa na nuru ya kutosha kufanya mpango wake kwa akili.<br />

Jaribu Kubwa la Uaminifu<br />

Sabato, jaribu kubwa la uaminifu, ni ukweli hasa unaopingwa. Huku kushika sabato ya<br />

uwongo kutakuwa neno la kukiri la utii kwa mamlaka yanayo mpinga Mungu, kushika kwa<br />

Sabato ya kweli ni ushahidi wa uaminifu kwa Muumba. Wakati kundi moja linapopokea<br />

alama ya nyama, lingine hupokea muhuri wa Mungu.<br />

Maonyo ya kwamba kukosa uvumulivu wa dini kungepata utawala, ya kama kanisa na<br />

serkali wangetesa wale wanaoshika amri <strong>za</strong> Mungu, yangetangazwa pasipo sababu na kwa<br />

upuzi. Lakini kwa namna kushika kwa siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche) kunatikiswa mahali<br />

pengi sana, jambo lililokuwa halikusadikiwa kwa wakati mrefu linaonekana kuwa karibu, na<br />

ujumbe utaleta tukio ambalo lisingaliwe<strong>za</strong> kuwako mbele.<br />

Katika kila ki<strong>za</strong>zi Mungu ametuma watumishi wake kukemea <strong>za</strong>mbi ulimwenguni na<br />

katika kanisa. Watengene<strong>za</strong>ji (réformateurs) wengi, kwa kuingia kwa kazi yao, wakakusudia<br />

kutumia busara nyingi katika kushambulia <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> kanisa na <strong>za</strong> taifa. Wakatumainia, kwa<br />

mfano wa maisha safi ya Kikristo, kuongo<strong>za</strong> watu kurudi kwa Biblia. Lakini Roho wa<br />

Mungu akaja juu yao; pasipo hofu ya matokeo, hawakuwe<strong>za</strong> kuzuia kuhubiri mafundisho<br />

<strong>za</strong>hiri ya Biblia.<br />

Kwa hivyo ujumbe utatangazwa. Bwana atatumika kwa njia ya vyombo vinyenyekevu<br />

vinavyojitia wakuf wenyewe kwa kazi yake. Watumukaji watastahilishwa <strong>za</strong>idi kwa<br />

kupakwa mafuta ya roho Mtakatifu kuliko kwa mafundisho ya vyama vya vitabu. Watu<br />

watalazimishwa kuendelea mbele na juhudi takatifu , kutanga<strong>za</strong> maneno ambayo Mungu<br />

anayotoa. Zambi <strong>za</strong> Babeli zitafunuliwa. Watu watashitushwa. Maelfu hawajasikia kamwe<br />

maneno kama haya. Babeli ni kanisa, lililoanguka kwa sababu ya <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ke, kwa sababu<br />

ya kukataa kwake kwa ukweli. Jinsi vile watu wanavyo kwenda kwa walimu wao na<br />

maswali “je, mambo haya ni hivyo”? Wahubiri wanaonyesha mifano kwa kutuli<strong>za</strong> <strong>za</strong>miri<br />

iliyoamshwa. Lakini kwa namna wengi wanapouli<strong>za</strong> <strong>za</strong>hiri “Bwana anasema hivi”, kazi ya<br />

mapadri ya watu wengi itaamsha makutano yanayopenda <strong>za</strong>mbi kwa kutukana na kutesa<br />

wale wanao tanga<strong>za</strong>.<br />

Mapadri watatumia juhudi <strong>za</strong>idi <strong>za</strong> kupita uwezo wa kibinada-mu kwa kufungia mbali<br />

nuru, kwa kuzuia mabishano ya maswali haya ya maana sana. Kanisa linaomba kwa mkono<br />

hodari wa mamlaka ya serikali, na katika kazi hii, wafuasi wa kanisa la kiroma na<br />

waprotestanti huungana. Kwa namna mwenendo wa mkazo wa siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche)<br />

unapokuwa wa nguvu <strong>za</strong>idi, washikaji wa amri watatishwa kwa kulipa fe<strong>za</strong> na kifungo.<br />

253

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!