21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

akapa<strong>za</strong> sauti, “tieni moto mbele ya uso wangu, Kama nilikuwa nikiogopa, singekuwa<br />

hapa.” Maneno yake ya mwisho yalikuwa ni maombi: “Bwana Baba Mwenyezi,<br />

unihurumie, na unirehemu <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ngu; kwa maana unajua kwamba nilikuwa nikipenda<br />

sikuzote <strong>Ukweli</strong>.” Majifu ya mfia dini yakakusanyiwa na, kama yale ya Huss, yakatupwa<br />

katika Rhine. Basi kwa namna hii wachukuzi wa nuru waaminifu wa Mungu<br />

waliangamizwa.<br />

Kuuawa kwa Huss kuliwasha moto wa hasira na hofu kuu katika Bohemia. Taifa lote<br />

likamtanga<strong>za</strong> kuwa mwalimu mwaminifu wa ukweli. Bara<strong>za</strong> likawekewa mzigo wa uuaji<br />

wa mtu kwa makusudi. Mafundisho yake yakaleta mvuto mkubwa kuliko mbele, na wengi<br />

wakaongozwa kukubali imani ya Matengenezo. Papa na mfalme wakaungana kuangami<strong>za</strong><br />

tendo hili la dini, na majeshi ya Sigismund yakatupwa juu ya Bohemia. Kwa kushambulia<br />

wenye imani ya matengenezo.<br />

Lakini Mwokozi akainuliwa juu. Ziska, mmojawapo wa wakuu wa waskari wa wakati<br />

wake, alikuwa mwongozi wa watu wa Bohemia. Tumaini katika usaada wa Mungu, watu<br />

wale wakashindana na majeshi ya nguvu yale yangaliwe<strong>za</strong> kuletwa juu yao. Mara nyingi<br />

mfalme alikashambulia Bohemia, ila tu kwa kufukuzwa. Wafuasi wa Huss wakainuliwa juu<br />

ya hofu ya mauti, na hakukuwa kitu cha. Mshujaa Ziska akafa, lakini pahali pake<br />

pakakombolewa na Procopius, kwa heshima fulani alikuwa mwongozi wa uwezo <strong>za</strong>idi.<br />

Papa akatanga<strong>za</strong> pigano juu ya maovu (crusade) juu ya wafuasi wa Huss. Majeshi mengi<br />

akatumbukia juu ya Bohemia, kwa kuteswa tu na maangamizi. Pigano lingine la maovu<br />

likatangazwa. Katika inchi zote <strong>za</strong> dini ya Roma katika Ulaya, mali na vyombo vya vita<br />

vikakusanywa. Watu wengi wakaja kwa bendera ya kanisa la Roma. Majeshi makubwa<br />

yakaingia Bohemia. Watu wakakusanyika tena kuwafuku<strong>za</strong>. Majeshi mawili wakakribiana<br />

hata mto tu ndio uliokuwa katikati yao. “Wapiga vita juu ya maovu (crusade) walikuwa<br />

katika jeshi bora kubwa na la nguvu, lakini badala ya kuharakisha ngambo ya kijito, na<br />

kumali<strong>za</strong> vita na wafuasi wa Huss, ambao walikuja toka mbali kukutana nao, wakasimama<br />

kuta<strong>za</strong>ma kwa kimya wale wapingaji.”<br />

Kwa gafula hofu kuu ya ajabu ikaangukia jeshi. Bila kupiga kishindo jeshi kubwa lile<br />

likatiishwa na likatawanyika kama kwamba lilifukuzwa na nguvu isiyoonekana. Wafuasi wa<br />

Huss wakawafuata wakimbizi, na mateka makubwa yakaanguka mikononi mwa washindi.<br />

Vita badala ya kuleta umaskini, ikawaletea wa Bohemia utajiri. Miaka michache baadaye,<br />

chini ya Papa mpya, pigano juu ya maovu lingine likawekwa. Jeshi kubwa likaingia<br />

Bohemia. Wafuasi wa Huss wakarudi nyuma mbele yao, kuvuta maadui ndani <strong>za</strong>idi ya<br />

inchi, kuwaongo<strong>za</strong> kuwa<strong>za</strong> ushindi ulikwisha kupatikana.<br />

Mwishowe jeshi la askari la Procopius likasogea kuwapiganisha vita. Namna sauti ya<br />

jeshi lililo karibia iliposikiwa, hata kabla wafuasi wa Huss kuonekana mbele ya macho, hofu<br />

kubwa tena ikaanguka iuu ya wapigani wa crusade. Wafalme, wakuu, na waaskari wa<br />

kawaida, wakatupa silaha <strong>za</strong>o, wakakimbia pande zote. Maangamizo yalikuwa kamili, na<br />

45

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!