21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Katika mwaka 1818 akafikia hakika maalum kwamba katika miaka makumi mawili na<br />

tano karibu Kristo angeonekana kwa ajili ya ukombozi wa watu wake. “Si hitaji kusema,”<br />

akasema Miller, “juu ya furaha ambayo inajaa moyoni mwangu kuhusu maoni ya<br />

mata<strong>za</strong>mio ya kupende<strong>za</strong> sana, wala ya uvumilivu wa bidii wa roho yangu kwa ajili ya<br />

ushirika katika furaha ya waliokombolewa... Aa, kweli ya mwanga na utukufu ya namna<br />

gani iliyotokea! ...<br />

“Swali likaja nyumbani kwangu kwa nguvu nyingi kuhusu habari ya kazi yangu kwa<br />

ulimwengu, katika maoni ya ushuhuda ambao ulihusu roho yangu mwenyewe.” Hakuwe<strong>za</strong><br />

lakini kufikiri kwamba ilikuwa wajibu wake kutoa kwa wengine nuru ambayo aliyoipata.<br />

Alita<strong>za</strong>mia upin<strong>za</strong>ni kwa wasiomcha Mungu, lakini alikuwa na tumaini kwamba Wakristo<br />

wote watafurahi katika tumaini la kukutana na Mwokozi. Alisita kufundisha juu ya wokovu<br />

wa utukufu, upesi` kutimilika, isiwe angekuwa katika kosa na kukosesha wengine. Kwa<br />

hiyo akaongozwa kukumbusha na kufikiri kwa uangalifu magumu yote ambayo ilionekana<br />

yenyewe kwa roho yake. Miaka tano ya kujifun<strong>za</strong> ikamletea kusadikishwa kwa usahihi wa<br />

musimamo wake.<br />

“Wende na Ulihubiri kwa Uiimwengu”<br />

“Wakati nilikuwa katika kazi <strong>za</strong>ngu,” akasema, “nikasikia sauti kukariri katika masikio<br />

yangu, `Wende na uambie ulimwengu hatari yao.’ Maneno haya yalikuwa yakitokea daima<br />

kwangu: `Wakati ninapomwambia mwovu; kama mwovu Ee mwovu, hakika utakufa, wala<br />

husemi kuonya mwovu aache njia yake; mwovu yule atakufa katika uovu wake, lakini damu<br />

yake nitaitaka mkononi mwako.’ Nikaona kama mwovu angewe<strong>za</strong> kuonywa, wengi<br />

miongoni mwao wangalitubu; na kama hawakuonywa, damu yao ingewe<strong>za</strong> kutakwa<br />

mkononi mwangu.” Maneno yalikuwa yakimrudia kwa akili yake: “Wende na ulihubiri kwa<br />

ulimwenguni; damu yao nitaitaka mkononi mwako.” Akangoja mda wa miaka tisa, mzigo<br />

ulizidi kulemea kwa roho yake, hata katika mwaka 1831 yeye kwa mara ya kwan<strong>za</strong> kwa<br />

wazi akatoa sababu <strong>za</strong> imani yake.<br />

Alikuwa sasa na miaka makumi tano, hakuzoea kusema mbele ya watu wengi, lakini<br />

kazi <strong>za</strong>ke zikabarikiwa. Mafundisho yake ya kwan<strong>za</strong> yakafuatwa na mwamusho wa dini.<br />

Jamaa kumi na tatu isipokuwa tofauti ya watu wawili,zilitubu. Alikuwa akilazimishwa<br />

kuhubiri kwa mahali pengine, na karibu pahali pote wenye <strong>za</strong>mbi walikuwa wakigeuka.<br />

Wakristo waliamshwa kwa utakaso mkubwa, na watu wenye imani ya kuwako kwa Mungu<br />

lakini hawakubali mambo ya dini na makafiri (wasioamini) wakaongozwa kwa maarifa ya<br />

ukweli wa Biblia. Mahubiri yake yakaamsha akili ya watu na kuzuia mambo ya anasa ya<br />

kidunia yaliyokuwa yakikua na ya kutamanisha maisha.<br />

Katika mahali pengi makanisa ya Kiprotestanti karibu aina zote wakamfungulia kwake,<br />

na mialiko mara kwa mara ikaja kutoka kwa wahuduma. Ilikuwa desturi yake ya kutotumika<br />

mahali wasipomwalika, lakini kwa upesi akajiona mwenyewe hawezi kutimi<strong>za</strong> hata kwa<br />

nusu ya mialiko iliyokuwa ikimfikia. Wengi wakasadikishwa kwa hakika na ukaribu wa<br />

137

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!