21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wakati Wakristo walipokubali kujiunga pamoja na wale waliogeuka kwa nusu tu kutoka<br />

katika ushenzi, Shetani akashangilia. Ndipo akawatia moyo kutesa wale waliodumu kuwa<br />

waaminifu kwa Mungu. Wakristo hawa wakufuru (waasi), walipoungana na wen<strong>za</strong>o nusu<br />

wapagani wakaeleke<strong>za</strong> vita yao juu ya mambo ya kanuni (<strong>za</strong>idi) ya mafundisho ya Kristo.<br />

Ilitakiwa shindano kali sana kusimama imara juu ya madanganyo na machukizo<br />

yaliyoingizwa kanisani. Biblia haikukubaliwa kuwa msingi wa imani. Mafundisho ya uhuru<br />

wa dini yakaitwa uwongo, na watetezi wake wakaondolewa.<br />

Baada ya mapigano marefu, waaminifu waliona kwamba mutengano ulikuwa wa lazima<br />

kabisa. Hawakusubutu kuvumilia wakati mrefu <strong>za</strong>idi makosa yaliyokuwa hatari kwa roho<br />

<strong>za</strong>o, na kufanya mfano mbaya ungaliwe<strong>za</strong> kuhatarisha imani ya watoto wao na watoto wa<br />

watoto wao. Waliona kwamba amani ingepatikana kwa bei kali sana kwa kafara ya kanuni.<br />

Kama umoja ungalifanyiwa tu kwa kuvunja ukweli, heri tofauti iwepo, na hata vita.<br />

Wakristo wa kwan<strong>za</strong> walikuwa kweli watu wa kipekee. Wachache katika hesabu, bila<br />

utajiri, cheo, wala majina ya heshima, walikuwa wakichukiwa na waovu, hata kama vile<br />

Abeli alivyochukiwa na Kaini. Ta<strong>za</strong>ma Mwanzo 4:1-10. Tangu siku <strong>za</strong> Kristo hata sasa,<br />

wanafunzi wake waaminifu wameamsha chuki na upin<strong>za</strong>ni wa wale wanaopenda <strong>za</strong>mbi.<br />

Namna gani, basi, injili inawe<strong>za</strong> kuitwa habari ya amani? Malaika waliimba kwa uwanja<br />

wa Betelehemu: “Utukufu kwa Mungu aliye juu, na salama duniani, katika watu<br />

wanaomupende<strong>za</strong>”. Luka 2:14. Kwa inje hapo kuna kinyume kati ya maneno ya unabii huu<br />

na maneno ya Kristo: “Sikuja kuleta salama lakini upanga”. Matayo 10:34. Lakini<br />

yanafahamika vizuri, maneno haya mawili yanapatana vizuri kabisa. Injili ni ujumbe wa<br />

amani. Dini ya Kristo, ikikubaliwa na kutii, ingeene<strong>za</strong> amani na furaha duniani pote.<br />

Ilikuwa kazi ya Yesu kupatanisha watu kwa Mungu, na kwa mtu kwa mwen<strong>za</strong>ke. Lakini<br />

ulimwengu wote unakuwa katika utawala wa Shetani, adui mkali wa Kristo. Injili<br />

huonyesha kanuni <strong>za</strong> maisha kuwa zinazokuwa kinyume cha tabia na mapenzi yao, nazo<br />

zinapinga injili yake. Huchukia usafi unaofunua na kuhukumu <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o, na hutesa na<br />

kuangami<strong>za</strong> wale wanaotanga<strong>za</strong> haki na utakatifu. Ni kwa maana hii kwamba injili huitwa<br />

upanga. Ta<strong>za</strong>ma Matayo 10:34.<br />

Wengi wanaokuwa wa<strong>za</strong>ifu katika imani wanakuwa tayari kuacha tumaini lao katika<br />

Mungu kwa sababu anakubali watu waovu kusitawi, wakati watu wema na safi<br />

wanapoteseka na uwezo wa ukali wao. Swali, namna gani, Mungu mwenye haki na rehema,<br />

ambaye uwezo wake hauna mwisho, anawe<strong>za</strong> kukubali u<strong>za</strong>limu na mateso ya namna hiyo?<br />

Mungu ametupa ushuhuda wa kutosha wa upendo wake. Hatuwezi kuwa na mashaka juu ya<br />

wema wake kwani hatuwezi kufahamu maongozi yake. Mwokozi alisema, “Kumbukeni<br />

neno nililowaambia ninyi: Mtumwa si mkubwa kuliko Bwana yake. Kama walinitesa mimi,<br />

watawatesa ninyi vile vile”. Yoane 15:20. Wale wanaoitwa kwa kuvumilia mateso na mauti<br />

ya wafia dini wanapaswa kutembea kwa nyayo <strong>za</strong> Mwana mpendwa wa Mungu.<br />

15

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!