21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

ajali ya mitetemo ya gere<strong>za</strong> na mateso ya mashaka na wasi wasi, kutengana na marafiki, na<br />

kuhofishwa kwa ajili ya kifo cha Huss, nguvu <strong>za</strong> Jerome zikafifia. Akakubali imani ya<br />

kikatolika na uamuzi wa bara<strong>za</strong> uliohukumu wycliffe na Huss, lakini akasimamia “kweli<br />

takatifu” walizofundisha.<br />

Lakini katika upekee wa gere<strong>za</strong> lake aliona wazi jambo alilofanya. Aliwa<strong>za</strong> juu ya<br />

uhodari na uaminifu wa Huss na akafikiri kukana kwake mwenyewe kwa ukweli. Akafikiri<br />

habari ya Bwana Mungu ambaye kwa ajili yake mwenyewe alivumilia msalaba. Kabla ya<br />

kukana kwake alipata usaada ndani ya mateso katika hakikisho la wapenzi wa Mungu, lakini<br />

sasa majuto na mashaka yakatesa roho yake. Alijua kwamba mambo ya kujikana kwingine<br />

yalipaswa kufanywa kabla ya yeye kuwe<strong>za</strong> kuwa na amani pamoja na Roma. Njia ambayo<br />

aliingia ilipaswa kuishia tu katika ukufuru kamili.<br />

Jerome Anapata Toba na Uhodari Mpya<br />

Upesi akapelekwa tena mbele ya bara<strong>za</strong>. Waamzi hawakutoshelewa na kujitaa kwake.<br />

Ila tu kwa kukataa wazi wazi kwa ukweli ndipo Jerome angaliwe<strong>za</strong> kuokoa maisha yake.<br />

Lakini alikusudia kukubali imani yake na kufuata ndugu yake mfia dini kwa miako ya moto.<br />

Alikataa kujikania kwake kwa kwan<strong>za</strong> na, kama mtu mwenye kufa, akadai kwa heshima<br />

apewe bahati ajitetee. Maaskofu wakashikilia kwamba angekubali tu ao kukana mashitaka<br />

yaliyoletwa juu yake. Jerome akakataa juu ya udanganyifu kama ule. “Mumenishika bila<br />

kusema siku mia tatu na makumi ine katika gere<strong>za</strong> la kutiisha,” akasema; “Munanileta basi<br />

mbele yenu, na kutoa sikio lenu kwa adui <strong>za</strong>ngu <strong>za</strong> kibinadamu, munakataa kunisikia. ...<br />

Mujiha<strong>za</strong>ri kuto kufanya <strong>za</strong>mbi juu ya haki. Lakini mimi, niko binadamu <strong>za</strong>ifu; maisha<br />

yangu ni ya maana kidogo; na ninapo waonya si kwa kutoa hukumu isiyo kuwa ya haki,<br />

nasema machache kwa ajili yangu mwenyewe kuliko kwa ajili yenu.”<br />

Maombi yake mwishowe yakakubaliwa. Mbele ya waamzi wake, Jerome akapiga magoti<br />

na akaomba kwamba Roho ya Mungu ipate kutawala mawazo yake, ili asiweze kusema kitu<br />

cho chote kinacho kuwa kinyume cha ukweli ao kisichofaa kwa Bwana wake. Kwake siku<br />

ile ahadi ikatimia “Wakati wanapowapeleka ninyi, musisumbuke namna gani ao neno gani<br />

mutakalolisema; kwa sababu mutapewa saa ile neno mutakalosema. Kwa maana si ninyi<br />

munaosema, lakini Roho ya Baba yenu anayesema ndani yenu.” Matayo 10:19, 20.<br />

Kwa mwaka wote mzima Jerome alikuwa katika gere<strong>za</strong>, bila kuwe<strong>za</strong> kusoma ao hata<br />

kuona. Kwani maneno yake yalitolewa kwa hali ya kuwa na mwanga<strong>za</strong> sana na uwezo kama<br />

kwamba hakusumbuliwa wakati kwa kujifun<strong>za</strong>. Akaonyesha wasikilizi wake mstari mrefu<br />

wa watu watakatifu waliohukumiwa na waamzi wasiohaki. Karibu kila ki<strong>za</strong>zi wale<br />

waliokuwa wakitafuta kuinua watu wa wakati wao wakafukuzwa. Kristo mwenyewe<br />

alihukumiwa kama mfanya maovu kwa bara<strong>za</strong> la hukumu lisiyo haki.<br />

Jerome sasa akatanga<strong>za</strong> toba yake na kutoa ushuhuda kwamba Huss hana kosa na<br />

kwamba ni mtakatifu. “Nilimjua tokea utoto wake,” akasema. “Alikuwa mtu bora <strong>za</strong>idi,<br />

43

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!