21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 31. Pepo Wachafu<br />

Malaika wa Bwana na pepo wachafu wanaonyeshwa wazi katika Maandiko na<br />

wanaingia katika historia ya wanadamu. Malaika watakatifu wale “wanaotumikia<br />

watakaoriti wokovu” (Waebrania 1:14) wana<strong>za</strong>niwa kwa wengi kama pepo <strong>za</strong> waliokufa.<br />

Lakini Maandiko inaonyesha hakika kwamba hawa si pepo inayoachana na mwili wa<br />

waliokufa.<br />

Mbele ya kuumbwa kwa mtu, malaika walikuwa wakiishi, kwani wakati misingi ya<br />

dunia ilipowekwa, ‘’nyota <strong>za</strong> asubui waliimba pamoja, na wana wote wa Mungu walipiga<br />

kelele kwa furaha.” Yobu 38:7. Nyuma ya kuanguka kwa mtu, malaika walitumwa kulinda<br />

mti wa uzima mbele ya mwanadamu kufa. Malaika wanakuwa wakubwa kwa cheo kuliko<br />

watu, kwa kuwa mtu aliumba “chini kidogo kupita malaika “. Zaburi 8:5.<br />

Nabii anasema, “Nikasikia sauti ya malaika wengi pande zote <strong>za</strong> kile kiti cha enzi.”<br />

Mbele ya Mufalme wa wafalme wanangojea-“ninyi watumishi wake, munaofanya mapenzi<br />

yake,” “mukisikili<strong>za</strong> sauti ya neno lake,” “majeshi ya malaika elfu nyingi.” Ufunuo 5:11;<br />

Zaburi 103:20,21; Waebrania 12:22. Kama wajumbe wa Mungu wanatoka, kama<br />

“kuonekana, kwa kumulika kwa umeme,” mruko wao mwepesi sana. Malaika aliyetokea<br />

kwa kaburi la Mwokozi, sura yake “kama umeme,” ikawaletea walinzi kwa ajili ya hofu<br />

kutetemeka, na “wakawa kama wafu.” Wakati Saniaribu alipomtukana Mungu na<br />

kuogopesha Waisraeli, “malaika wa Bwana alitoka, akapiga katika kambi ya Waasuria watu<br />

elfu mia moja makumi mnane na tano.” Ezekieli 1:14; Matayo 28:3,4; 2 Wafalme 19:35.<br />

Malaika wanatumwa kwa kazi ya rehema kwa wana wa Mungu. Kwa Abrahamu, kwa<br />

ahadi <strong>za</strong> baraka; kwa Sodomo, kuokoa Loti kwa maangamizo; kwa Elia, karibu<br />

kuangamizwa katika jangwa; kwa Elisa, kwa magari ya farasi ya moto alipofungiwa ndani<br />

na adui <strong>za</strong>ke; kwa Danieli, wakati alipoachwa kuwa mawindo ya simba; kwa Petro,<br />

alipohukumiwa kifo katika gere<strong>za</strong> ya Herode; kwa wafungwa kule Filipi; kwa Paulo katika<br />

usiku wa zoruba juu ya bahari; kwa kufungua akili ya Kornelio kwa kukubali habari njema;<br />

kwa kutuma Petro pamoja na habari njema ya wokovu kwa mgeni wa Kimataifa--kwa hivi<br />

malaika watakatifu walitumikia watu wa Mungu.<br />

Malaika Walinzi<br />

Malaika mlinzi amewekwa kwa kila mfuasi wa Kristo. “Malaika ya Bwana anapiga<br />

kambi kuzunguka wale wanaomwogopa, na anawaokoa.” Akasema Mwokozi, juu ya wale<br />

wanaomwamini: “Mbinguni malaika <strong>za</strong>o wanata<strong>za</strong>ma siku zote uso wa Baba yangu.” Zaburi<br />

34:7; Matayo 18:10. Watu wa Mungu, walihatarishwa kwa uovu usiolala wa mfalme wa<br />

gi<strong>za</strong>, wanaahidiwa na ulinzi usiokoma wa malaika. Matumaini ya namna hiyo yanatolewa<br />

kwa sababu kunakuwa na nguvu kubwa <strong>za</strong> uovu <strong>za</strong> kukutana nazo--nguvu zisizohesabika,<br />

imara na zisizochoka.<br />

214

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!