21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Ndivyo itakavyotimilika utimilizo kamili wa ahadi ya maagano mapya: “Maana<br />

nitasamehe uovu wao, wala <strong>za</strong>mbi yao sitakumbuka tena.” “Katika siku zile na wakati ule,<br />

anasema Bwana, uovu wa Israeli utatafutikana, wala uovu hapana; na <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> Yuda<br />

zitafutikana, wala hazitaonekana.” “Na itakuwa, yeye aliyeachwa katika Sayuni, na yeye<br />

aliyebaki ndani ya Yerusalema, ataitwa mtakatifu, kila mmoja aliyeandikwa katika wale<br />

walio hai ndani ya Yerusalema.” Yeremia 31:34; 50:20; Isaya 4:3.<br />

Kufutia Mbali kwa Zambi<br />

Kazi ya hukumu ya uchunguzi na kufutia mbali <strong>za</strong>mbi inapashwa kutimizwa mbele ya<br />

kuja kwa Bwana mara ya pili. Katika huduma ya mfano kuhani mkuu alitoka inje na<br />

kubariki makutano. Vivyo hivyo Kristo, kwa mwisho wa kazi yake kama mpatanishi,<br />

ataonekana” si tena kwa <strong>za</strong>mbi, lakini kwa wokovu.” Waebrania 9:28.<br />

Kuhani, katika kuondoa <strong>za</strong>mbi kutoka Pahali patakatifu, aliziungama juu ya kichwa<br />

mbuzi wa A<strong>za</strong>zeli. Kristo ataweka <strong>za</strong>mbi hizi zote juu ya Shetani, mshawishi wa <strong>za</strong>mbi.<br />

Mbuzi wa A<strong>za</strong>zeli akapelekwa mbali “katika inchi isiyo na watu.” Walawi 16:22. Shetani,<br />

katika kuchukua hatia <strong>za</strong> <strong>za</strong>mbi alizolazimisha watu wa Mungu kuzifanya, atafungwa miaka<br />

elfu katika inchi isiyokaliwa kama jangwa na mwishoni atateswa kwa a<strong>za</strong>bu ya moto<br />

utakaoangami<strong>za</strong> waovu. Kwa hivi mpango wa wokovu utafikia utimilifu wake katika<br />

kungoa kwa mwisho kwa <strong>za</strong>mbi.<br />

Kwa Wakati Uliotajwa<br />

Kwa wakati uliotajwa--mwisho wa siku 2300 katika 1844--kazi ya uchunguzi ikaan<strong>za</strong> na<br />

kufutiwa mbali kwa <strong>za</strong>mbi. Zambi zisizoungamwa na kuachwa hazitafutwa kutoka vitabu<br />

vya ukumbusho. Malaika wa Mungu wakashuhudia kila <strong>za</strong>mbi na kuiandika. Zambi<br />

inawe<strong>za</strong> kukanwa, kufichwa kwa Baba, mama, bibi, watoto, na kwa rafiki; lakini inawekwa<br />

wazi mbele ya mbingu. Mungu hadanganywe kwa matendo yanayoonekana. Hafanyi<br />

makosa. Watu wanawe<strong>za</strong> kudanganywa kwa wale wanaochafuka ndani ya moyo, lakini<br />

Mungu anasoma maisha ya ndani.<br />

Ni wazo la kutisha namna gani! Mshindi mkubwa kupita duniani hawezi kurudisha<br />

ukumbusho wa matendo ya siku hata moja. Matendo yetu, maneno yetu, hata makusudi yetu<br />

ya siri, ijapo tukiyasahau, yatatoa ushuhuda wake kwa kuhesabiwa haki wala kuhukumiwa.<br />

Katika hukumu matumizi ya kila kipaji yatachunguzwa. Namna gani tumetumia wakati<br />

wetu, kalamu yetu ya wino, sauti yetu, mali yetu, mvuto wetu? Tumefanya nini kwa Kristo<br />

katika nafsi ya maskini, wenye kuteswa, yatima, ao mjane? Tumefanya nini na nuru pia na<br />

kweli tuliyopewa? Ila tu upendo ulioonyeshwa kwa matendo unaohesabiwa kuwa wa kweli.<br />

Upendo peke yake mbele ya Mungu wa mbinguni haufanye tendo lo lote la damani.<br />

Choyo lliyofichwa Imefunuliwa<br />

204

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!