21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kwa jina la Mungu Farel akamsihi kwa heshima mhubiri kijana kudumu na kufanya kazi<br />

huko Calvin akarudi nyuma kuonyesha hatari. Akajitenga ili asipambane kwa ha tari na roho<br />

ya ukali ya watu wa Geneve. Alihitaji kupata mahali pa amani na ukimya kwa majifunzo, na<br />

pale kwa njia ya vitabu angewe<strong>za</strong> kufundisha na kujenga makanisa. Lakini hakujaribu<br />

kukataa. Ilionekana kwake “kwamba mkono wa Mungu ulishuka kutoka mbinguni, kwamba<br />

ukamushika, na ukamuka<strong>za</strong> bila kubadilika kubakia mahali alipokuwa na haraka ya kutoka.”<br />

Ngurumo ya Laana<br />

Laana <strong>za</strong> Papa zikanguruma juu ya Geneve. Namna gani mji huu mdogo ulishindana na<br />

mamlaka hodari ya kanisa ambalo lilitetemesha wafalme na watawala kutii? Kushinda kwa<br />

kwan<strong>za</strong> kwa Matengenezo kukapita, Roma ikakusanya nguvu mpya kwa kutimi<strong>za</strong><br />

maangamizi yake. Amri ya WaJesuite ikaanzishwa, kali <strong>za</strong>idi, ya tabia mbaya, na hodari<br />

kuliko washujaa wote wa Papa. Hawakujali upendo wa kibinadamu, na <strong>za</strong>miri yote<br />

ikanyamazishwa, hawakujali amri, upendo, lakini ile ya agizo lao. (Ta<strong>za</strong>ma mwisho wa<br />

kitabu.)<br />

Injili ya Kristo iliwezesha wafuasi wake kuvumilia mateso, bila kukatishwa tamaa na<br />

baridi, njaa, kazi ngumu na umaskini, kushindania kweli machoni pa mbao (zenye vyango)<br />

<strong>za</strong> kutundikia, gere<strong>za</strong>, na kigingi. Kijesuitisme kikatia wafuasi wake moyo mamlaka ya<br />

kweli silaha zote <strong>za</strong> udanganyifu. Hawakuogopa kufanya kosa kubwa ao kutumia uwongo<br />

wa haya, kwao kujigeu<strong>za</strong> sura kwa uwongo haikuwa taabu. Ilikuwa shabaha yao<br />

waliyojifun<strong>za</strong> kukomesha dini ya Kiprotestanti na kuimarisha utawala wa Papa.<br />

Walivaa vazi la utakatifu, wakizuru nyumba <strong>za</strong> gere<strong>za</strong> na mahospitali, kusaidia<br />

wagonjwa na maskini, na kuchukua jina takatifu la Yesu, aliyekwenda akifanya matendo<br />

mema. Lakini chini ya umbo la inje lisilo na kosa, makusudi mabaya na ya uuaji yalikuwa<br />

yakifichwa.<br />

Ilikuwa kanuni ya asili ya amri kwamba “mwisho huthibitisha njia. Uongo, wizi,<br />

ushuhuda wa uongo, mauaji ya siri, yaliruhusiwa yalipotumiwa kwa faida ya kanisa. Kwa<br />

siri Wajesuite walikuwa wakiingia ndani ya maofisi ya serkali nakupanda juu, kuwa<br />

washauri wa mfalme na kuongo<strong>za</strong> mashauri ya mataifa. Wakajifanya watumishi kwa<br />

kupelele<strong>za</strong> mabwana wao. Wakaanzisha vyuo vikubwa kwa ajili ya watoto wa watawala na<br />

watu wakuu, na vyuo kwa ajili ya watu wote. Watoto wa wa<strong>za</strong>zi wa Kiprotestanti kwa njia<br />

ya vyuo hivyo walikuwa wakivutwa kushika kanuni <strong>za</strong> kanisa la Papa. Kwa hivyo uhuru<br />

ambao mababa <strong>za</strong>o walikuwa wakishindania na kutoka damu ukasalitiwa na watoto wao. Po<br />

pote, Wajesuites walipokwenda, kukafuata mwamsho wa mafundisho ya kanisa la Papa.<br />

Kwa kuwapatia uwezo mwingi, tangazo la Papa likatolewa kwa kuimarisha<br />

(“Inquisition”) (Bara<strong>za</strong> kuu la kuhukumia wapinga ibada ya dini la Papa. Mahakama haya<br />

ya kutisha yakawekwa tena na wajumbe wa kanisa la Roma, na mambo mabaya ya kutisha<br />

kwa kuwe<strong>za</strong> kuonyeshwa mchana yakakaririwa ndani ya gere<strong>za</strong> <strong>za</strong> siri (cachots). Katika<br />

93

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!