21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wakahubiri habari iliyotolewa kwao, ingawa walikosa kufahamu maana yake. Wakati<br />

matangazo yao msingi wake ulikuwa katika Danieli 9:25, hawakuona katika shairi lililofuata<br />

kwamba Masiya alipashwa “kukatiliwa mbali.” Mioyo yao ilikuwa juu ya utukufu wa<br />

utawala wa kidunia; jambo hili likapofusha akili yao.<br />

Kwa wakati kabisa walipotumainia kuona Bwana wao kupanda kwa kiti enzi cha<br />

Dawidi, walimwona akikatwa, kupigwa, kuzihakiwa, na kuhukumiwa juu ya msalaba.<br />

Kukata tamaa kwa namna gani na uchungu yaliumi<strong>za</strong> mioyo ya wale wanafunzi!<br />

Kristo alikuja kwa wakati halisi uliotabiriwa. Maandiko yalitimia katika habari yote.<br />

Neno na Roho wa Mungu ilishuhudia agizo la Mwana wake. Lakini mafikara ya wanafunzi<br />

yalifunikwa na mashaka. Kama Yesu alikuwa Masiya wa kweli wangetumbukia katika<br />

sikitiko na uchungu? Hili ndilo swali lililotesa roho <strong>za</strong>o wakati wa saa <strong>za</strong> kukata tamaa <strong>za</strong><br />

Sabato ile iliyokuwa katikati ya kifo chake nakufufuka kwake.<br />

Lakini hawakuachwa. “Nikikaa katika gi<strong>za</strong>, Bwana atakuwa nuru kwangu... Atanileta<br />

inje kwa nuru na nitata<strong>za</strong>ma haki yake.” “Kwa wenye haki nuru inangaa gi<strong>za</strong>ni.” “Nitafanya<br />

gi<strong>za</strong> kuwa nuru mbele yao; na pahali pa kupotoka patanyoshwa. Maneno haya nitawafanyia,<br />

wala sitawaacha.” Mika 7:8, 9; Zaburi 112:4; Isaya 42:16.<br />

Matangazo yaliyofanywa na wanafunzi yalikuwa halisi “Wakati umetimia, ufalme wa<br />

Mungu ni karibu.” “Kwa mwisho wa wakati” majuma makumi sita na tisa ya Danieli 9<br />

ambayo yalipashwa kufikia kwa Masiya, “Mupakaliwa”--Kristo alipokea mafuta ya Roho<br />

baada ya ubatizo wake kwa Yoane. “Ufalme wa Mungu” haikuwa, kama walivyofundishwa<br />

kuamini, ufalme wa kidunia. Wala ule ujao, ufalme wa milele ambao “na wote wenye<br />

mamlaka watamutumikia na kumutii.” Danieli 7:27.<br />

Neno hili “Ufalme wa Mungu” linatumiwa kutaja mambo yote mawili ufalme wa neema<br />

na ufalme wa utukufu Mtume anasema: “Basi, tukaribie kiti cha neema pasipo woga,” ili<br />

tupate huruma na kuona neema. Waebrania 4:16. Kuwako kwa kiti cha ufalme kunaonyesha<br />

kuwako kwa ufalme. Kristo anatumia neno la “Ufalme wa mbinguni” kutaja kazi ya neema<br />

juu ya mioyo ya watu. Kwa hiyo kiti cha utukufu kinaonyesha ufalme wa utukufu. Matayo<br />

25:31, 32. Ufalme huu ukingali wa wakati ujao. Hautasimamishwa hata wakati wa kuja kwa<br />

Kristo mara ya pili.<br />

Wakati Mwokozi alipotoa maisha yake na akalia kwa sauti kubwa, “imekwisha,” ahadi<br />

ya wokovu iliyo fanywa kwa mme na mke wenye <strong>za</strong>mbi katika Edeni ikatimilika. Ufalme<br />

wa neema, ambao ulikuwako mbele kwa ahadi ya Mungu, ukaimarishwa.<br />

Kwa hiyo kifo cha Kristo jambo ambalo wanafunzi walita<strong>za</strong>mia kama maangamizi ya<br />

tumaini lao ilikuwa ni milele kwa kweli. Wakati ilileta uchungu mkali, ilikuwa ushahidi<br />

kwamba imani yao ilikuwa halisi. Jambo lililowatumbuki<strong>za</strong> katika kukata tamaa likafungua<br />

mlango wa tumaini kwa waaminifu wote wa Mungu katika vi<strong>za</strong>zi vyote.<br />

143

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!