21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kwa kuendelea kwa kutengene<strong>za</strong> na kujenga Yerusalema hata Masiya Mfalme itakuwa<br />

majuma saba, na majuma makumi sita na mawili”majuma makumi sita na kenda, ao miaka<br />

483. Amri ya Artasasta ikatendeka katika wakati wa masika wa mwaka 457 B.C. Kutoka<br />

tarehe hii, miaka 483 ikafikia kwa wakati wa masika wa mwaka 27 A.D. Kwa wakati ule<br />

unabii huu ukatimilika. Katika wakati wa masika wa mwaka 27 A.D.Kristo akabatizwa na<br />

Yoane na akapakwa mafuta ya Roho. Baada ya ubatizo wake akaenda Galilaya, “akihubiri<br />

Habari njema ya ufalme wa Mungu akisema: Wakati umetimia.” Marko 1:14, 15.<br />

Habari Njema Imetolewa kwa Ulimwenguni<br />

“Naye ataimarisha na wengi muda wa juma moja” mwisho wa miaka saba ya mda<br />

uliogawanywa kwa Wayahudi. Kwa wakati huu, kutoka kwa mwaka 27 A.D. hata A.D. 34,<br />

Kristo na wanafunzi wake wakaene<strong>za</strong> mwaliko wa Habari Njema <strong>za</strong>idi kwa Wayahudi.<br />

Agizo la Mwokozi lilikuwa: “Musiende katika njia ya Mataifa, wala musiingie mji wo wote<br />

wa Wasamaria; lakini <strong>za</strong>idi kwendeni kwa kondoo wapotevu <strong>za</strong> nyumba ya Israeli.” Matayo<br />

10:5, 6.<br />

“Na kwa nusu ya juma atakomesha sadaka na toleo.” Katika mwaka A.D. 31,miaka tatu<br />

na nusu baada ya ubatizo wake, Bwana wetu alisulibishwa. Kwa kafara kubwa iliyotolewa<br />

kule Golgota, mfano ukakutana na kilicho asili ya mfano. Kafara zote na sadaka <strong>za</strong> kawaida<br />

<strong>za</strong> ibada zilipashwa kukomeshwa.<br />

Miaka 490 iliyogawanyiwa kwa Wayahudi ikamalizika katika mwaka A.D. 34. Kwa<br />

wakati ule, kwa njia ya tendo la Bara<strong>za</strong> (Sanhedrin) la Wayahudi, taifa likatia mhuri wa<br />

kukataa injili kwa kifo cha Stefano na mateso ya wafuasi wa Kristo. Ndipo ujumbe wa<br />

wokovu ukatolewa ulimwenguni. Wanafunzi wakalazimishwa na mateso kukimbia toka<br />

Yerusalema, “wakakwenda pahali po pote wakihubiri neno.” Matendo 8:4.<br />

Kwa hiyo maelezo yote ya mambo ya unabii yakatimia kwa ajabu sana. Mwanzo wa<br />

majuma makumi saba ukaimarishwa bila swali lo lote kwa mwaka 457 B.C., na kumalizika<br />

kwayo katika mwaka A.D. 34. Majuma makumi saba (siku 490) kukatwa kutoka kwa 2300,<br />

hapo kulikuwa siku 1810 zilizobakia. Baada ya mwisho wa siku 490, siku 1810 zilipashwa<br />

kutimia. Kutoka A.D. 34, miaka 1810 ikafika kwa mwaka 1844. Kwa hiyo siku 2300 <strong>za</strong><br />

Danieli 8:14 zikamalizika katika 1844. Kwa kumalizika kwa mda kubwa huu wa unabii,<br />

“Pahali patakatifu patasafishwa”--ambaye wafafanisi wengi <strong>za</strong>idi wanachanganya na kuja<br />

kwa mara ya pili--kukaimarishwa. (Ta<strong>za</strong>ma chart, p. 220.)<br />

Mwisho wa Kuhofisha<br />

Kwa mwanzo Miller hakuwa na matumaini hata kidogo ya kufikia mwisho ambao sasa<br />

alifikia. Yeye mwenyewe aliwe<strong>za</strong> kwa shida sana kusadiki matokeo ya uchunguzi wake.<br />

Lakini ushuhuda wa Maandiko ulikuwa wazi kabisa kwa kuwa pembeni.<br />

136

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!