21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 17. Ahadi <strong>za</strong> Kurudi kwa Kristo<br />

Ahadi ya kuja kwa Kristo mara ya pili ili kutimi<strong>za</strong> kazi kubwa ya ukombozi ni msingi<br />

wa Maandiko matakatifu. Tangu Edeni, watoto wa imani wamengojea kuja kwa Yule<br />

Aliyeahidiwa kwa kuwaleta tena kwa Paradiso iliyopotea.<br />

Enoki, mtu wa saba katika u<strong>za</strong>o kutoka kwa wale ambao waliokaa katika Edeni, ambaye<br />

kwa karne tatu alitembea pamoja na Mungu, akatanga<strong>za</strong>, “Angalia, Bwana anakuja na<br />

watakatifu wake, elfu kumi, ill afanye hukumu juu ya watu wote,” Yuda 14,15. Yobu katika<br />

usiku wa taabu akapaa<strong>za</strong> sauti, “Lakini ninajua ya kuwa Mkombozi wangu ni hai, Na ya<br />

kuwa katika siku <strong>za</strong> mwisho atasimama juu ya inchi:... pasipo mwili wangu nitamuona<br />

Mungu: Na mimi mwenyewe nitamuona. Na macho yangu yatamuta<strong>za</strong>ma, wala si<br />

mwingine.” Yoba 19:25-27. Washairi (poets) na manabii wa Biblia waliele<strong>za</strong> sana juu ya<br />

kuja kwa Kristo katika maneno yenye mwanga<strong>za</strong> wa moto. “Mbingu zifurahi, na inchi<br />

ishangilie, ... Mbele ya Bwana, kwa maana anakuja; Kwa maana anakuja kuhukumu inchi.<br />

Atahukumu ulimwengu kwa haki, na mataifa kwa kweli yake.” Zaburi 96:11-13.<br />

Akasema Isaya: “Katika siku ile itasemwa, Ta<strong>za</strong>ma, huyu ndiye Mungu wetu,<br />

Tumemungoja, ... Tutashangilia na tutafurahi katika wokovu wake.” Isaya 25:9. Mwokozi<br />

akafariji wanafunzi wake na tumaini ya kuwa atakuja tena: “Katika nyumba ya Baba yangu<br />

ni makao mengi ... ninakwenda, kuwatengenezea ninyi makao. Na kama ninakwenda, ...<br />

nitakuja tena, na nitawakaribisha ninyi kwangu.” “Mwana wa watu atakapokuja katika<br />

utukufu wake, na malaika wote pamoja naye, halafu ataketi juu ya kiti cha utukufu wake; na<br />

mbele yake mataifa yote watakusanyika.” Yoane 14:2,3; Matayo 25:31,32.<br />

Malaika walikariri kwa wanafunzi ahadi ya kurudi kwake; “Huyu Yesu aliyechukuliwa<br />

toka kwenu kwenda juu mbinguni, atakuja namna hii sawasawa mulivyomwona akikwenda<br />

<strong>za</strong>ke mbinguni.” Matendo 1:11. Na Paulo akashuhudia: “Kwa sababu Bwana mwenyewe<br />

atashuka toka mbinguni, na sauti kubwa, na sauti ya malaika mkubwa, pamoja na baragumu<br />

ya Mungu.” 1 Watesalonika 4:16. Akasema nabii wa Patemo: “Ta<strong>za</strong>ma, anakuja na<br />

mawingu; na kila jicho litamwona.” Ufunuo 1:7.<br />

Halafu desturi ndefu iliyoendelea ya uovu itavunjika: “Ufalme wa dunia umekwisha<br />

kuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atatawala hata milele na milele.”<br />

Ufunuo 11:15. “Na kama shamba linalochipu<strong>za</strong> vitu vilivyopandwa ndani yake: ndivyo<br />

Bwana Mungu ataotesha haki na sifa mbele ya mataifa yote.” Isaya 61:11.<br />

Halafu ufalme wa amani wa Masiya utaimarishwa “Maana Bwana atafariji Sayuni;<br />

atafariji pahali pake pote pa pori; atafanya jangwa lake kuwa kama Edeni, na jangwa lake<br />

kama shamba la Bwana.” Isaya 51:3.<br />

Kuja kwa Bwana kumekuwa katika vi<strong>za</strong>zi vyote tumaini la wafuasi wake wa kweli. Kati<br />

ya taabu na mateso, “na kuonekana kwa utukufu wa Mungu mkubwa, Mwokozi wetu Yesu<br />

121

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!