21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

<strong>za</strong>ke. Kulikuwa kungali Wayahudi, wajinga ambao hawakujua tabia na kazi ya Kristo. Na<br />

watoto hawakufurahia nuru ambayo wa<strong>za</strong>zi wao waliikataa kwa <strong>za</strong>rau katika mahubiri ya<br />

mitume, Mungu aliwezesha nuru kuanga<strong>za</strong> juu yao. Waliona namna gani unabii ulitimia, si<br />

katika ku<strong>za</strong>liwa tu na maisha ya Kristo, bali katika kifo chake na ufufuo. Watoto<br />

hawakuhukumiwa kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> wa<strong>za</strong>zi; lakini wakati walipokataa nuru ingine<br />

waliopewa, wakawa washiriki wa <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> wa<strong>za</strong>zi na wakaja<strong>za</strong> kipimo cha uovu wao.<br />

Wayahudi katika ugumu wa mioyo yao wakakataa shauri la mwisho la rehema. Ndipo<br />

Mungu akaondoa ulinzi wake kwao. Taifa likaachwa kwa utawala wa mwongozi lililo<br />

mchagua. Shetani akaamsha tamaa kali sana na mbaya kuliko <strong>za</strong> roho. Watu wakakosa akili<br />

wakatawaliwa na nguvu na hasira ya upofu, ya shetani katika ukaidi wao. Marafiki na ndugu<br />

wakasalitiana wao kwa wao. Wa<strong>za</strong>zi wakaua watoto wao, na watoto wa<strong>za</strong>zi wao. Watawala<br />

hawakuwa na uwezo wa kujitawala wao wenyewe. Tamaa ikawafanya kuwa wajeuri.<br />

Wayahudi wakakubali ushuhuda wa uwongo kwa kuhukumu Mwana wa Mungu asiye na<br />

kosa. Sasa mashitaki ya uwongo yakafanya maisha yao kuwa si ya haki. Kuogopa Mungu<br />

hakukuwashitusha tena. Shetani alikuwa akiongo<strong>za</strong> taifa.<br />

Waongozi wa makundi ya upin<strong>za</strong>ni wakaanguka mmoja juu <strong>za</strong> mwingine na kuwa bila<br />

huruma. Hata utakatifu wa hekalu haukuwe<strong>za</strong> kuzuia ukali wao wa kutisha. Mahali<br />

patakatifu pakanajisiwa na miili ya waliouawa. Lakini washawishi wa kazi hii ya kishetani<br />

walitanga<strong>za</strong> kwamba hawakuwa na hofu yo yote kwamba Yerusalema ingeharibiwa!<br />

Ulikuwa mji wa Mungu. Hata wakati majeshi ya Waroma walipozunguka hekalu, makundi<br />

yalisimama imara kwa wazo kwamba Aliye juu angejitia kati kwa kushinda kwa maadui<br />

wao. Lakini Israeli alitupia mbali ulinzi wa Mungu, na sasa hakuwa na ulinzi.<br />

Alama <strong>za</strong> Musiba<br />

Unabii uliyotolewa na Kristo kwa ajili ya uharibifu wa Yerusalema yalitimia wazi wazi.<br />

Dalili na maajabu yalitokea. Kwa muda wa miaka saba mtu aliendelea kupanda na<br />

kutelemuka katika njia <strong>za</strong> Yerusalema, kutanga<strong>za</strong> misiba itakayokuja. Kiumbe hiki cha<br />

ajabu kilifungwa gere<strong>za</strong>ni na kuazibiwa, lakini kwa matusi mabaya hayo akajibu tu, “Ole,<br />

ole kwa Yerusalema”! Aliuawa katika mitego ya maadui aliyotabiri.<br />

“Hakuna Mkristo hata mmoja aliyeangamia katika uharibifu wa Yerusalema. Baada ya<br />

Waroma chini ya uongozi wa Cestius walipozunguka mji, kwa gafula wakaacha mazingiwa<br />

wakati kila kitu kilionekana kuwa cha kufaa kwa shambulio. Mkuu wa Roma akaondoa<br />

majeshi yake bila sababu ndogo wazi. Alama iliyoahidiwa ilitolewa kwa Wakristo<br />

waliokuwa wakingojea. Luka 21:20,21.<br />

Mambo yakafanyika kwa namna ambayo hata Wayahudi ama Waroma hawakupinga<br />

kukimbia kwa Wakristo. Katika kushindwa kwa Cestius, Wayahudi wakafuata, na wakati<br />

majeshi hayo mawili yalipokutana, Wakristo popote katika inchi waliwe<strong>za</strong> kufanya kimbilio<br />

lao bila kusumbuliwa mahali pa salama, kwa mji wa Pella.<br />

9

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!