21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Hivi ndivyo itakavyofanywa mwisho wa <strong>za</strong>mbi. “Umeharibu waovu, Umefuta jina lao<br />

kwa milele na milele. Adui wamekoma, wameachwa ukiwa kwa milele.” Zaburi 9:5,6.<br />

Yoane katika Ufunuo anasikia wimbo wa furaha wa sifa usiochafuliwa na sauti hata moja ya<br />

kutopatana. Hakuna nafsi <strong>za</strong> watu zinazotukana Mungu wakati wanapojinyonga katika<br />

maumivu mabaya isiyokuwa na mwisho kamwe. Hakuna viumbe vya taabu katika jehanum<br />

watakaochanganyisha na yawe yao ya nguvu pamoja na nyimbo <strong>za</strong> waliookolewa.<br />

Juu ya kosa kuhusu maisha ya milele ya asili kunabaki mafundisho ya ufahamu katika<br />

mauti. Kulingana na maumivu mabaya ya milele, ni kinyume kwa Maandiko, kwa akili, na<br />

kwa mawazo yetu ya kibinadamu. Kufuatana na imani ya watu wengi, waliokombolewa<br />

katika mbingu wanafahamu yote yanayofanyika duniani. Lakini namna gani ingekuwa na<br />

furaha kwa wafu kujua mateso ya walio hai, kuwaona wakiendelea na huzuni, uchungu, na<br />

maumivu makuu ya maisha? Na ni chukizo la namna gani kuamini ya kama mara pumzi<br />

inapotoka mwilini nafsi ya roho isiyotubu inawekwa kwa ndimi <strong>za</strong> jehanum!<br />

Maandiko yanasema nini? Mtu hana ufahamu katika mauti: “Pumuzi yake inatoka,<br />

anarudia udongoni; siku ileile mafikiri yake yanapotea.” “Maana walio hai wanajua ya<br />

kwamba watakufa: lakini wafu hawajui kitu, ... Mapendo yao na kuchukia kwao na wivu<br />

wao umepotea; wala hawana sehemu tena milele katika neno lo lote linalofanyika chini ya<br />

jua.’‘ “Kwa kuwa Hadeze haiwezi kukusifu, wala kufa hakuwezi kukutuku<strong>za</strong>; wale wenye<br />

kushuka kwa shimo hawawezi kutarajia kweli yako. Mwenye uhai, mwenye uhai, ndiye<br />

atakayekusifu, kama mimi leo.” “Maana katika mauti hapana ukumbusho juu yako, Katika<br />

Hadeze nani atakayekupa asante?” Zaburi 146:4; Muhubiri 9:5,6; Isaya 38:18, 19 ; Zaburi<br />

6:5.<br />

Petro siku ya Pentekote akatanga<strong>za</strong> ya kwamba Dawidi “alikufa, akazikwa, na kaburi<br />

lake ni kwetu hata leo.” “Maana Dawidi hakupanda katika mbingu.” Matendo 2:29,34. Neno<br />

ya kwamba Dawidi akingali katika kaburi hata ufufuo linaonyesha kwamba wenye haki<br />

hawaende mbinguni wanapokufa.<br />

Akasema Paulo: “Maana kama wafu hawafufuliwi, basi Kristo hakufufuliwa: na kama<br />

Kristo hakufufuliwa, imani yenu ni bure; mungali katika <strong>za</strong>mbi zenu. Basi wao waliolala<br />

katika Kristo wamepotea.” 1 Wakorinto 15:16-18. Kama kwa miaka 4000 wenye haki<br />

walikwenda mara moja katika mbingu wakati wa kifo, namna gani Paulo amesema ya<br />

kwamba kama hakuna ufufuo, “na wao waliolala katika Kristo wamepotea”?<br />

Wakati alipokuwa karibu kuacha wanafunzi wake, Yesu hakuwambia ya kwamba<br />

wangekuja mara moja kwake: “Ninakwenda kuwatengenezea ninyi pahali,” Akasema “Na<br />

kama ninakwenda kuwatengenezea ninyi pahali, nitakuja tena, na nitawakaribisha ninyi<br />

kwangu.” Yoane 14:2,3. Paulo anatwambia <strong>za</strong>idi ya kwamba “Bwana mwenyewe atashuka<br />

toka mbinguni, na sauti kubwa, na sauti ya malaika mukubwa, na pamoja na baragumu ya<br />

Mungu: Nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwan<strong>za</strong>; kisha sisi tulio hai, tuliobaki,<br />

tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, kukutana na Bwana katika hewa, na hivi<br />

228

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!