21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

mabara<strong>za</strong>.” Wote wawili rafiki na maadui, mwishowe, wakasadikishwa kwamba juhudi<br />

<strong>za</strong>idi juu ya mapatano ingekuwa bure.<br />

Kama Mtengene<strong>za</strong>ji angelikubali jambo moja tu, Shetani na majeshi yake wangalipata<br />

ushindi. Lakini msimamo wake imara usiotikisika ulikuwa njia ya kuweka kanisa kwa<br />

uhuru. Mvuto wa mtu mmoja huyu aliyesubutu kufikiri na kutenda kwa ajili yake<br />

mwenyewe ulipashwa kwa kugeu<strong>za</strong> kanisa na ulimwengu, si kwa wakati wake mwenyewe<br />

tu, bali kwa vi<strong>za</strong>zi vyote vya baadaye. Luther aliagizwa upesi na mfalme kurudi nyumbani<br />

mwake. Tangazo hili lingefuata kwa upesi na hukumu yake. Mawingu ya kutisha<br />

yakafunika njia yake, lakini kama alivyotoka Worms, moyo wake ukajaa na furaha na sifa.<br />

Baada ya kuondoka kwake, ili musimamo wake imara usi<strong>za</strong>niye kuwa uasi, Luther<br />

akaandika kwa mfalme: “Ninakuwa tayari kwa kutii kwa moyo kabisa kwa utukufu wako,<br />

katika heshima wala katika <strong>za</strong>rau, katika maisha ao katika mauti, na kuto kukubali kitu<br />

kingine cho chote isipokuwa Neno la Mungu ambalo mtu huishi kwa ajili yake. ... Wakati<br />

faida ya milele,inahusika mapenzi ya Mungu si mtu anapashwa kujiweka chini ya mtu.<br />

Kwani kujitoa kwa namna ile katika mambo ya kiroho ni kuabudu kwa kweli, na kunapaswa<br />

kutolewa kwa Muumba peke yake.”<br />

Kwa safari kutoka Worms, watawala wa kanisa wakakaribisha kama mfalme mtawa<br />

aliyetengwa kwa kanisa, na watawala wa serkali wakamheshimu mtu aliyelaumiwa na<br />

mfalme. Akalazimishwa kuhubiri, na bila kujali makatazo ya mfalme, akaingia tena kwa<br />

mimbara. “Siku ahidi kamwe mimi mwenyewe kufunga neno la Mungu kwa mnyororo,”<br />

akasema, “ama sitalifunga.”<br />

Mda kidogo baada ya kutoka Worms, wasimamizi wa Papa wakamshawishi mfalme<br />

kutoa amri juu yake. Luther alitangazwa kama “Shetani mwenyewe chini ya umbo la mtu<br />

anayevaa kanzu ya watawa.” Mara ruhusa yake ya kupita inapomalizika, mipango ilipaswa<br />

kukamatwa kwa ajili ya kukata<strong>za</strong> kumkaribisha, kumupa chakula wala kinywaji, ao kwa<br />

neno ao tendo, msaada wala kushirikiana naye. Alipashwa kutolewa mikononi mwa<br />

watawala, wafuasi wake pia kufungwa na mali yao kunyanganywa. Maandiko yake<br />

yalipashwa kuharibiwa, na mwishowe, wote wangesubutu kutenda kinyume cha agizo hili<br />

walihusika katika hukumu yake. Mchaguzi wa Saxe na watawala wote, waliokuwa rafiki<br />

sana wa Mtengene<strong>za</strong>ji, walipotoka Worms baada kidogo ya kutoka kwake, na agizo la<br />

mfalme likapokea ukubali wa bara<strong>za</strong>. Waroma walishangilia. Wakaamini mwicho wa<br />

Mtengene<strong>za</strong>ji kutiwa mhuri kabisa.<br />

Mungu Anatumia Frederic wa Saxe<br />

Jicho la uangalifu lilifuata mwendo wa Luther, na moyo wa kweli na bora ulikusudia<br />

kwa kumwokoa. Mungu ukamtolea Frederic wa Saxe mpango kwa ajili ya ulinzi wa<br />

Mtengene<strong>za</strong>ji. Kwa safari ya kurudi nyumbani Luther akatengana na wafuasi wake na kwa<br />

haraka akapelekwa kwa njia ya mwitu kwa jumba la Wartburg, ngome ya ukiwa juu ya<br />

67

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!