21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

watu wote. Kwa upesi akawa rafiki mwaminifu sana wa Luther--upole wake, uangalifu, na<br />

usahihi ikawazidisho la bidii na nguvu <strong>za</strong> Luther.<br />

Augsburg palitajwa kuwa mahali pa hukumu, na Mtengene<strong>za</strong>ji (Reformateur) akaenda<br />

huko kwa miguu. Vitisho vilifanywa kwamba angeuawa njiani, na rafiki <strong>za</strong>ke wakamuomba<br />

asijihatarishe. Lakini maneno yake yalikuwa, “Ninakuwa kama Yeremia, mtu wa ushindano,<br />

na ugomvi; lakini kwa namna matisho yao yalizidi, ndipo furaha yangu iliongezeka...<br />

Wamekwisha kuharibu heshima (sifa) yangu na mwenendo wangu. ... Kuhusu roho yangu,<br />

hawawezi kuikamata. Yeye anayetaka kutanga<strong>za</strong> neno la Kristo ulimwenguni, inampasa<br />

kuta<strong>za</strong>mia kifo wakati wowote.”<br />

Akari ya kufika kwa Luther huko Augsburg kukaleta kushelewa kukubwa kwa mjumbe<br />

wa Papa. Mpinga mafundisho ya dini anayeamsha ulimwengu akaonekana sasa kuwa chini<br />

ya uwezo wa Roma; hakupaswa kuponyoka. Mjumbe alikusudia kulazimisha Luther<br />

kukana, ao isipowezekana alazimishe kwenda Roma kufuata nyayo ya Huss na Jerome.<br />

Mjumbe wa Papa akatuma watu wake kumwambia Lutter afike bila ahadi ya ulinzi salama<br />

wa mfalme na matumaini yake mwenyewe wema wake. Kwa hiyo mtengene<strong>za</strong>ji akakataa.<br />

Hata wakati alipopata ahadi ya ulinzi wa mfalme mkuu ndipo akakubali kuonekana mbele<br />

ya mjumbe wa Papa. Kama mpango wa busara, watu wa Roma wakakusudia kumpata<br />

Luther kwa njia ya kujioyesha kama wapole.<br />

Mjumbe akajionyesha kawa rafiki mkubwaa, lakini akaomba kwamba Luther ajitoe<br />

kabisa kwa kanisa na kukubali kila kitu bila mabishano wala swali. Luther, kwa kujibu,<br />

akaonyesha heshima yake kwa ajili ya kanisa, mapenzi yake kwa ajili ya ukweli, kuwa<br />

tayari kwa kujibu makatazo yote kuhusu yale aliyoyafundishwa, na kuweka mafundisho<br />

yake chini ya uamuzi wa vyuo vikubwa (universites). Lakini alikataa juu ya mwendo wa<br />

askofu katika kummulazimisha kukana bila kuonyesha na kuhakikisha kosa lake.<br />

Jibu moja tu lilikuwa, “uKane, ukane”! Mtengene<strong>za</strong>ji akaonyesha kwamba msiimamo<br />

wake unakubaliwa na Maandiko. Hakuwe<strong>za</strong> kukana ukweli. Mjumbe, aliposhindwa kujibu<br />

kwa mabishano ya Luther, akamuleme<strong>za</strong> na zoruba ya laumu, <strong>za</strong>rau, sifa ya uongo maneno<br />

kutoka kwa kiasili (traditions), na me<strong>za</strong>li (maneno) ya Wababa, akikatalia Mtengene<strong>za</strong>ji<br />

nafasi ya kusema. Luther mwishowe, bila kupenda, akamupa ruhusa ya kutoa jibu lake kwa<br />

maandiko.<br />

Akasema,akiandika kwa rafiki, “Mambo yaliyoandikwa ingewe<strong>za</strong> kutolewa kwa<br />

mawazo ya wengine; na jambo la pili, mtu anakuwa na bahati nzuri sana ya kutumika kwa<br />

hofu nyingi, kama si kwa <strong>za</strong>miri, ya bwana wa kiburi na wa kusema ovyo ovyo ambaye njia<br />

ingine angeshinda kwa kutumia maneno yake makali.” Kwa mkutano uliofuata, Luther<br />

akaonyesha maelezo mafupi na ya nguvu ya mawazo yake, yanayoshuhudiwa na Maandiko.<br />

Kartasi hii, baada ya kusoma kwa sauti nguvu, akaitoa kwa askofu, naye akaitupa kando<br />

kwa <strong>za</strong>rau, kuitanga<strong>za</strong> kuwa mchanganyiko wa maneno ya bure na mateuzi yasiyofaa. Sasa<br />

53

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!