21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Gi<strong>za</strong> ya kiroho inafika, si kwa sababu ya kuondolewa kwa neema ya kumungu kwa<br />

upande wa Mungu bila sababu, bali ni kwa upande wa binadamu aliyekataa nuru.<br />

Wayahudi, kwa kupenda dunia na kumsahau Mungu, walikuwa katika ujinga juu ya kuja<br />

kwa Masiya. Katika kutoamini kwao wakamkataa Mkombozi. Mungu hakukatia mbali taifa<br />

la Wayahudi kwa mibaraka ya wokovu. Wale waliokataa kweli waliweka “gi<strong>za</strong> kwa nuru,<br />

na nuru kwa gi<strong>za</strong>.” Isaya 5:20.<br />

Baada ya kukataa kwao kwa habari njema Wayahudi wakaendelea kushika kanuni <strong>za</strong>o <strong>za</strong><br />

<strong>za</strong>mani, wakati ambapo walikubali kwamba Mungu kakuwa tena kati yao. Unabii wa<br />

Danieli ulionyesha kwa wazi wakati wa kuja kwa Masiya na kutabiri vilevile kifo chake.<br />

Kwa hivyo walitia mashaka majifunzo yake, na mwishowe wa rabbis wakatanga<strong>za</strong> laana<br />

kwa wote wangejaribu kukadirisha wakati. Katika upofu na ugumu wa moyo Waisraeli<br />

wakati wa karne zilizofuatana wakasimama, bilakujali <strong>za</strong>wadi <strong>za</strong> neema ya wokovu, bila<br />

akili ya mibaraka ya habari njema, maonyo nzito na la kutisha kwa ajili ya hatari ya kukataa<br />

nuru kutoka mbinguni.<br />

Yeye anayezuia hakikisho lamapashwa yake kwa sababu yanapingana na tamaa <strong>za</strong>ke<br />

mwishowe atapote<strong>za</strong> uwezo wa kuchagua kati ya ukweli na kosa. Roho hutengana na<br />

Mungu. Mahali ukweli wa Mungu unakataliwa kwa <strong>za</strong>rau, kanisa litakuwa katika gi<strong>za</strong>,<br />

imani na upendo vitapunguka, na fitina huingia. Washiriki wa kanisa hutia nguvu <strong>za</strong>o katika<br />

mambo ya kidunia, na wenye <strong>za</strong>mbi hugeuka kuwa wagumu katika ugumu wa moyo wao.<br />

Ujumbe Wa Malaika wa Kwan<strong>za</strong><br />

Ujumbe wa malaika wa kwan<strong>za</strong> wa Ufunuo 14 ulitolewa kwa kutenga wale wanaojidai<br />

kuwa watu wa Mungu kutoka kwa mivuto mibaya. Katika ujumbe huu, Mungu alituma kwa<br />

kanisa onyo ambalo kama lingelikubaliwa, lingaliwe<strong>za</strong> kusahihisha maovu ambayo<br />

yalikuwa yakiwafunga mbali na yeye. Kama wangalikubali ujumbe, kushusha mioyo yao na<br />

kutafuta matayarisho kwa kusimama mbele yake, Roho wa Mungu angalionekana. Kanisa<br />

lingalifikia tena umoja ule, imani, na upendo wa siku <strong>za</strong> mitume, wakati waaminifu<br />

“walikuwa na moyo mmoja” na wakati “Bwana aliongezea kwa kanisa kila siku wale<br />

waliokuwa wakiokolewa.” Matendo 4:32; 2:47.<br />

Kama watu wa Mungu wangalipokea nuru kutoka kwa Neno lake, wangalifikia umoja<br />

ule ambao mtume anaele<strong>za</strong>, “umoja wa Roho katika kifungo cha salama”. Anasema, “Mwili<br />

ni mmoja, na Roho mmoja, kama vile mulivyoitwa katika tumaini moja la mwito wenu;<br />

Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja.” Waefeso 4:3-5.<br />

Wale waliokubali ujumbe wa kurudi kwa Yesu walikuja kutoka makanisa mbalimbali,<br />

na vizuizi vyao vya dini vikatupwa chini kwa nguvu. Kanuni <strong>za</strong> imani <strong>za</strong> mabishano<br />

zikavunjika kwa vipande vipande. Maoni ya uwongo juu ya kuja kwa mara ya pili<br />

yakasahihiswa. Makosa ya kanyoshwa, mioyo ikaungana katika upatano wakupende<strong>za</strong>.<br />

157

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!