21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Maelezo yasiyofahamika vizuri na ya kujiwazia tu juu ya Maandiko na maelezo yenye<br />

kupingana katika ulimwengu wa Kristo yanakuwa ni kazi ya adui wetu mkubwa kwa<br />

kuchafua akili. Ugomvi na fitina miongoni mwa makanisa vinatokana mara nyingi na<br />

kupinganisha Maandiko kwa kuunga mkono maelezo ya kupende<strong>za</strong>.<br />

Kwa kusimamia mafundisho ya uwongo, wengine wanashikilia juu ya maneno ya<br />

Maandiko wanayotenga kando kwa maneno mengine, kutumia maneno nusu ya fungu kama<br />

kuhakikisha msimamo wao, huku sehemu iliyobaki inapoonyesha maana kuwa kinyume<br />

kabisa. Kwa werevu wa nyoka wanajiingi<strong>za</strong> wenyewe nyuma ya maneno ya kutengwa<br />

yaliyofasiriwa kufurahisha tamaa <strong>za</strong> mwili. Wengine wanashikilia juu ya sura na mifano,<br />

wanayatafsiri kwa kupende<strong>za</strong> mawazo yao, pamoja na heshima kidogo kwa ushuhuda wa<br />

Maandiko kama mfasiri wake mwenyewe, halafu kuonyesha mambo ya upumbavu wao<br />

kama mafundisho ya Biblia.<br />

Biblia Yote ni Kiongozi<br />

Wakati ambapo kujifun<strong>za</strong> kwa Maandiko kunapoauzwa pasipo roho ya maombi na<br />

inayowe<strong>za</strong> kufundishwa, mafungu ya waziwazi kabisa yatakuwa ya kupotea maana yake ya<br />

kweli. Biblia yote inapashwa kutolewa kwa watu kama vile inavyosomwa.<br />

Mungu alitoa neno la haki la unabii; malaika na hata Yesu Mwenyewe alikuja kujulisha<br />

kwa Danieli na Yoane vitu ambavyo “vilivyopashwa kuwa upesi.” Ufunuo 1:1. Mambo ya<br />

maana inayohusu wokovu wetu hayakufunuliwa kwa namna ya kutati<strong>za</strong> na kuongo<strong>za</strong> vibaya<br />

mtafutaji mwaminifu wa kweli. Neno la Mungu ni wazi kwa wote wanaojifun<strong>za</strong> sana kwa<br />

moyo wenye kuomba.<br />

Kwa kilio, Ukarimu, watu ni vipofu kwa mashauri mpin<strong>za</strong>ni. Anafaulu kuondosha Biblia<br />

na kutumia mawazo mengi ya kibinadamu; sheria ya Mungu inawekwa pembeni; na<br />

makanisa yanakuwa chini ya utumwa wa <strong>za</strong>mbi yanapojitanga<strong>za</strong> kuwa huru.<br />

Mungu ameruhusu garika ya nuru kumiminwa ulimwenguni kwa mvumbuzi ya elimu ya<br />

ulimwengu wa vyumbe vyo (science). Lakini hata watu wa elimu <strong>za</strong>idi, kama hawaongozwi<br />

na Neno la Mungu, wanapotea katika kujaribu kuchungu<strong>za</strong> mahusiano ya maarifa (science)<br />

na ufunuo.<br />

Maarifa ya kibinadamu ni ya kipande na si kamili; kwa hiyo wengi hawawezi<br />

kupatanisha maoni yao ya maarifa (science) pamoja na Maandiko. Wengi wanakubali tu<br />

maelezo kama mambo ya ujuzi, na wanafikiri kwamba Neno la Mungu ni la kujaribiwa kwa<br />

“elimu inayoitwa elimu kwa uwongo.” 1 Timoteo 6:20. Kwa sababu hawawezi kuele<strong>za</strong><br />

Muumba na kazi <strong>za</strong>ke katika sheria <strong>za</strong> asili, historia ya Biblia ina<strong>za</strong>niwa kama isiowe<strong>za</strong><br />

kutumainiwau. Wale wanaokuwa na mashaka juu ya Agano la Kale na Agano Jipya kwa<br />

mara nyingi wanakwenda hatua mbali <strong>za</strong>idi na kutosadiki kuwako kwa Mungu.<br />

Walipoachilia nanga yao, wanagonga juu ya miamba ya kutokuwa waaminifu kwa Mungu.<br />

218

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!