21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kidogo. Katika fito <strong>za</strong> chuma <strong>za</strong> chumba chake kidogo Tausen akazungum<strong>za</strong> na wen<strong>za</strong>ke<br />

maarifa ya kweli. Kama mababa wema wale wa Danois wangalipatana katika shauri la<br />

kanisa juu ya uzushi, sauti ya Tausen haingalisikiwa tena kamwe; lakini badala ya kumzika<br />

hai kwa gere<strong>za</strong> la chini ya udongo, wakafukuzwa kwa nyumba ya watawa.<br />

Amri ya mfalme, ikatangazwa, ikatolea ulinzi kwa elimu ya mafundisho mapya.<br />

Makanisa yakafunguliwa kwa ajili yake, na watu wakajaa tele kusikili<strong>za</strong>. Agano Jipya<br />

katika Kidanois kikaenezwa mahali pengi. Juhudi ya kuangusha kazi ikaishia kwa<br />

kuitawanya, na kwa hiyo Danemark ikatanga<strong>za</strong> ukubali wake wa imani ya matengenezo.<br />

Maendeleo katika Uswedi<br />

Katika Uswedi vilevile vijana kutoka Wittenberg wakachukua maji ya uzima kwa watu<br />

wa kwao. Waongozi wawili wa Matengenezo katika Swede, Olaf na Laurentius Petri,<br />

walijifun<strong>za</strong> chini ya Luther na Melanchton. Kama mtengene<strong>za</strong>ji mkuu, Olaf akaamsha watu<br />

kwa ufundi wake wa kusema, hivyo Laurentius, sawasawa na Melanchton, alikuwa na<br />

uangalifu na utulivu. Wote wawili walikuwa na uhodari imara. Mapadri wakikatoliki<br />

wakasukuma watu wajinga na wa ibada ya sanamu kwa nyakati nyingi. Olaf Petri kwa shida<br />

akaokoka na maisha yake. Watengene<strong>za</strong>ji hawa walikuwa, basi, wakilindwa na mfalme,<br />

aliyekusudia juu ya Matengenezo na akakaribisha hawa wasaidizi hodari katika vita ya<br />

kupinga Roma.<br />

Mbele ya mfalme na watu waliojifun<strong>za</strong> wa Swede, Olaf Petri kwa uwezo mkubwa<br />

akatetea imani ya matengenezo. Akatanga<strong>za</strong> kwamba mafundisho ya mababa yanapaswa<br />

kukubaliwa tu kama yakipatana na Maandiko; akatanga<strong>za</strong> kwamba mafundisho mhimu ya<br />

imani yanayofundishwa katika Biblia kwa hali ya wazi ili wote wawe<strong>za</strong> kuyafahamu.<br />

Shindano hili linaonyesha watu wa namna gani wanaokuwa katika jeshi la<br />

Watengene<strong>za</strong>ji. Hawakuwa wajinga, watu wa kujitenga, wenye mabishano wa fujo--mbali<br />

ya ile. Walikuwa watu waliojifun<strong>za</strong> Neno la Mungu na waliojua vizuri kutumia silaha<br />

walizozipata kwa gala ya silaha ya Biblia. (Walikuwa) wanafunzi na wanafunzi wa elimu ya<br />

tabia na sifa <strong>za</strong> Mungu na dini (Theologie), watu wakamilifu waliozoea mambo ya ukweli<br />

wa injili, na walioshinda kwa urahisi wenye kutumia maneno ya ovyo ya uongo wa vyuo na<br />

wakuu wa Roma.”<br />

Mfalme wa Swede akakubali imani ya Waprotestanti, na bara<strong>za</strong> la taifa likatanga<strong>za</strong><br />

ukubali wake. Kwa matakwa ya mfalme ndugu hawa wawili wakaan<strong>za</strong> utafsiri wa Biblia<br />

nzima. Ikaagizwa na bara<strong>za</strong> kwamba po pote katika ufalme, wachungaji walipashwa kuele<strong>za</strong><br />

Maandiko, na kwamba watoto katika vyuo walipashwa kufundishwa kusoma Biblia.<br />

Walipookoka na magandamizo ya Roma, watu wa taifa la Uswedi wakafikia hali ya<br />

nguvu na ukubwa wasiofikia mbele. Baada ya karne moja, taifa hili ndogo na <strong>za</strong>ifu likawa la<br />

kwan<strong>za</strong> katika Ulaya lililosubutu kutoa mkono wa usaada--kwa ukombozi wa Ujermani mda<br />

wa shindano ndefu la Vita ya miaka makumi tatu. Ulaya yote ya Kaskazini ilionekana kuwa<br />

97

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!