21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Nawaagi<strong>za</strong> mbele ya Mungu na malaika wake wenye kubarikiwa kwamba munifuate si<br />

mbali kama nilivyomfuata Kristo. Kama Mungu angepashwa kufunua kitu cho chote kwenu<br />

kwa chombo kingine chake, muwe tayari kukikubali kwa furaha mliyokuwa nayo kukubali<br />

ukweli wa kazi yangu ya kuhubiri; kwa maana ninakuwa na tumaini kwamba Bwana<br />

anakuwa na ukweli <strong>za</strong>idi na nuru kuangazia ya neno lake takatifu.”<br />

“Kwa upande wangu mimi, siwezi kusikitikia ya kutosha hali ya makanisa ya<br />

matengenezo, ambayo ...haitaenda sasa mbali <strong>za</strong>idi kuliko wasimamizi wao wa<br />

matengenezo. Haiwezekani kuvuta watu wa dini ya Luther kufanya hatua moja <strong>za</strong>idi mbali<br />

kuliko Luther alivyoona; ... na watu wa imani ya Calvin, munawaona wanabakia pale<br />

ambapo mutu mkuu wa Mungu aliwaacha, ambaye hata hivyo hakuona mambo yote. ...<br />

Ijapo walikuwa taa <strong>za</strong> kuwaka na kuanga<strong>za</strong> katika wakati wao, lakini hawakujua shauri lote<br />

la Mungu, lakini kama wangaliishi leo, wangekubali nuru mpya <strong>za</strong>idi kama ile waliyokubali<br />

mara ya kwan<strong>za</strong>.”<br />

“Kumbukeni ahadi yenu na agano pamoja na Mungu na pamoja na mtu kwa mwen<strong>za</strong>ke,<br />

kukubali nuru yo yote na ukweli utakaojulishwa kwenu kutoka kwa neno lake lililoandikwa;<br />

lakini <strong>za</strong>idi, mjiha<strong>za</strong>ri, nawasihi, kuhusu mnayokubali kwa ajili ya kweli, na kuilinganisha<br />

na kupima uzito wake kwa maandiko mengine ya ukweli mbele ya kuikubali; kwani<br />

haiwezekani kwa dunia la Kikristo ambayo ilitoka gi<strong>za</strong> nzito kwa kuchelewa ifikie maarifa<br />

kamili mara moja.”<br />

Haja ya uhuru wa <strong>za</strong>miri ikaongo<strong>za</strong> Wasafiri kuvuka bahari, kuvumukia magumu ya<br />

jangwani, na kuweka msingi wa taifa kubwa. Lakini Wasafiri hawakufahamu bado kanuni<br />

ya uhuru wa dini. Uhuru ambao walijitolea kafara sana kwa ajili yao wenyewe, hawakuwa<br />

tayari kuutolea wengine. Mafundisho ambayo Mungu alitolea Kanisa haki ya kuongo<strong>za</strong><br />

<strong>za</strong>miri na kule<strong>za</strong> wazi na kuazibu uzushi ni mojawapo ya makosa makubwa ya Kanisa la<br />

Roma. Watengene<strong>za</strong>ji hawakuwa na uhuru kabisa kwa roho ya Roma ya kutovumilia. Gi<strong>za</strong><br />

kubwa sana ambayo Roma ilifunika Kanisa la Kikristo haikuondolewa kabisa.<br />

Kanisa la serkali lilitengenezwa na wagandamizi, waamuzi walioruhusiwa kukomesha<br />

uzushi. Kwa hiyo uwezo wa serkali ulikuwa mikononi mwa Kanisa. Mipango hii haikuleta<br />

matokeo mengine isipokuwa mateso.<br />

Roger Williams<br />

Kama vile Wasafiri wa kwan<strong>za</strong>, Roger Williams akaja kwa Dunia Mpya kufurahia uhuru<br />

wa dini. Lakini aliufahamu kwa namna ingine si kama Wasafiri, akaona mambo ambayo<br />

watu wachache tu waliona, kwamba uhuru huu ulipashwa kuwa haki kwa watu wote.<br />

Alikuwa mtafuti (atafutaye) wa bidii wa kweli. Williams alikuwa mtu wa kwan<strong>za</strong> katika<br />

Ukristo wa kisasa kwa kuanzisha serkali inayosimamia kwa mafundisho ya uhuru wa<br />

<strong>za</strong>miri.” “Watu ao waamuzi wanawe<strong>za</strong> kukata shauri,” akasema, “ni nini inastahili kati ya<br />

mtu na mtu; lakini wanapojaribu kufafanua wajibu wa mtu kwa Mungu, hapa wanaachana<br />

118

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!