21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Mungu kwa hekima yo yote hakuwa mwenye madaraka kwa <strong>za</strong>mbi; hapakuwa bila sababu<br />

kuondolewa kwa neema ya Mungu, hakuna upungufu katika mamlaka ya kimungu, iliyotoa<br />

nafasi kwa uasi. Zambi ni mpelelezi (mdukizi) ambaye kuwako kwake hakuna sababu<br />

inayowe<strong>za</strong> kutolewa. Kuisamehe ni kuitetea. Kama iliwe<strong>za</strong> kusamehewa ingekoma kuwa<br />

<strong>za</strong>mbi. Zambi ni onyesho la kanuni inayoleta kwa vita sheria ya upendo, inayokuwa msingi<br />

wa serkali ya Mungu.<br />

Mbele ya kuingia kwa <strong>za</strong>mbi amani na furaha ilikuwa katika viumbe vyote. Upendo kwa<br />

Mungu ulikuwa mkubwa, upendo kwa mtu na kwa mwingine ulikuwa wa bila ubaguzi.<br />

Kristo Mwana wa pekee wa Mungu alikuwa mmoja pamoja na Baba wa milele katika hali,<br />

katika tabia, na katika kusudi--ni yeye peke yake ambaye aliwe<strong>za</strong> kuingia katika mashauri<br />

yote na makusudi ya Mungu. ‘’Katika yeye vitu vyote viliumbwa vilivyo mbinguni, ... ikiwa<br />

ni viti vya wafalme ao usultani ao falme ao mamlaka.” Wakolosayi 1:16.<br />

Sheria ya upendo ilikuwa msingi wa utawala wa Mungu, furaha ya viumbe vyote<br />

vilivyoumbwa ilitegemea kwa upatano pamoja na kanuni <strong>za</strong>ke <strong>za</strong> haki. Mungu hapendezwi<br />

na utii wa kulazimishwa, na kwa wote anatoa uhuru wa mapenzi, kwamba wanawe<strong>za</strong><br />

kumfanyia kazi bila kulazimishwa).<br />

Lakini kulikuwa na mmoja aliyechagua kuharibu vibaya uhuru huo. Zambi ilianzia<br />

kwake, yeye aliyekuwa, baada ya Kristo, aliheshimiwa sana kwa Mungu. Mbele ya<br />

kuanguka kwake, Lusifero alikuwa wa kwan<strong>za</strong> kwa wakerubi wa kufunika, mtakatifu na<br />

mwenye usafi. “Bwana Mungu anasema hivi: Ulikuwa muhuri wa ukamilifu, mwenye kujaa<br />

na hekima na ukamilifu wa uzuri. Wewe ulikuwa katika Edeni, shamba la Mungu; kila jiwe<br />

la damani lilkuwa kifunuko chako. ... Wewe ulikuwa kerubi wa kufunika mwenye kutiwa<br />

mafuta; nami nilikuweka juu ya mlima mtakatifu wa Mungu; umetembea huko na huko<br />

katikati ya mawe ya moto. Ulikuwa mkamilifu kwa njia <strong>za</strong>ko tangu siku ulipoumbwa, hata<br />

uovu ulipoonekana ndani yako. ... Moyo wako umenyanyuliwa kwa sababu ya uzuri wako,<br />

umeharibu hekima yako kwa sababu ya kungaa kwako.” “Nawe ulisema moyoni mwako ...<br />

Nitanyanyua kiti changu cha enzi juu kupita nyota <strong>za</strong> Mungu, Na nitakaa juu ya mlima wa<br />

makutano. ... Nitapanda juu kupita vimo vya mawingu, Nitafanana naaliye juu Sana.”<br />

Ezekieli 28:12-17; 28:6; Isaya 14:13,14.<br />

Kutamani heshima ambayo Baba aliweka juu ya Mwana wake, mtawala huyu wa<br />

malaika akatamani kwa uwezo ambao ulikuwa ni mamlaka ya Kristo peke yake kutawala.<br />

Sauti isiyopatana sasa ikaharibu mapatano ya mbinguni. Kujiinua kwa nafsi kukaamsha<br />

visirani vya uovu katika mioyo ambayo utukufu wa Mungu ulikuwa mkubwa. Bara<strong>za</strong> <strong>za</strong><br />

mbinguni zikatetea pamoja na Lusifero. Mwana wa Mungu akaonyesha mbele yake wema<br />

na haki ya Muumba na tabia takatifu ya sheria yake. Kwa kuiacha, Lusifero ange<strong>za</strong>rau<br />

Muumba wake na kujiletea uharibifu juu yake mwenyewe. Lakini onyo peke likaamsha<br />

msimamo. Lusifero akaruhusu wivu wa Kristo kushinda.<br />

207

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!