21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wakati msingi wa kanisa la Roma linaimarishwa juu ya madanganyo, si la ushenzi na<br />

ujiinga. Huduma ya dini ya Kanisa la Roma kawaida ni ya kuvuta sana. Maonyesho yake<br />

mazuri sana mengi na kanuni kubwa <strong>za</strong> dini zinavuta watu na kunyamazisha sauti ya akili<br />

na <strong>za</strong>miri. Jicho linavutwa kwa uzuri. Makanisa mazuri kabisa, maandamano makubwa ya<br />

ajabu, ma<strong>za</strong>bahu ya <strong>za</strong>habu, sanduku <strong>za</strong> kuwekea vitu vitakatifu <strong>za</strong> johari, mapicha mazuri,<br />

na muchoro bora vinavuta wenye kupenda uzuri. Muziki ni waajabu. Nukta <strong>za</strong> muziki nzuri<br />

<strong>za</strong> kutoka kwa sauti kubwa <strong>za</strong> kinanda zinachanganyika na nyimbo tamu sana <strong>za</strong> sauti<br />

nyingi kama inavyoonge<strong>za</strong> katika madari ya nyumba ya juu sana na sehemu ndefu ya nguzo<br />

ya majengo makubwa ya kanisa yake, yanavuta akili ya uchai na heshima.<br />

Utukufu huu wa inje na ibada vinacheka tamaa <strong>za</strong> nafsi yenye kugonjwa ya <strong>za</strong>mbi. Dini<br />

ya Kristo haihitaji mivuto ya namna hiyo. Nuru inayongaa kutoka kwa msalaba inaonekana<br />

safi na ya kupende<strong>za</strong> na hakuna mapambo ya inje yanayowe<strong>za</strong> kuonge<strong>za</strong> damani yake ya<br />

kweli. Mawazo ya juu ya ufundi, malezi ya kupende<strong>za</strong> tamaa, mara kwa mara yanatumiwa<br />

na Shetani kuongo<strong>za</strong> watu kusahau mahitaji ya nafsi na kuishi kwa ajili ya ulimwengu huu<br />

tu.<br />

Fahari na sherehe ya kuabudu kwa Kikatoliki kunakuwa na uwezo wa kuvuta<br />

(kushawishi) kufanya mabaya, nzuri wakupote<strong>za</strong> akili, na hiyo, wengi wamedanganyika.<br />

Wanajipatia uhakikisho juu ya Kanisa la Roma kuwa mlango wa mbinguni. Hakuna hata<br />

mmoja ila tu wale wanaoweka miguu yao kwa msingi wa kweli, ambao mioyo yao<br />

hufanywa upya kwa Roho ya Mungu, wanakuwa salama juu ya mvuto wake. Mfano wa<br />

utawa pasipo uwezo ni kitu kile wengi wanatamani.<br />

Madai ya Kanisa kwa haki kwa ya kusamehe <strong>za</strong>mbi yanaongo<strong>za</strong> wafuasi wa Roma<br />

kujisikia huru kwa <strong>za</strong>mbi, na agizo la maungamo linaelekea vile vile kutoa ruhusa kwa<br />

uovu. Yeye anayepiga magoti mbele ya mtu aliyeanguka na anafungua katika maungamo<br />

mawazo ya siri ya moyo wake anapote<strong>za</strong> cheo cha nafsi yake. Katika kufunua <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong><br />

maisha yake kwa padri--mwenye kufa wa kosa-cheo cha tabia yake ni chini, na anakuwa<br />

mchafu kwa hiyo. Mawazo yake juu ya Mungu ni ya kushusha cheo katika mfano wa<br />

mwanadamu aliyeanguka, kwa sababu kuhani anasimama kama mjumbe wa Mungu.<br />

Ungamo hili la haya la mtu kwa mtu ni chemchemi ya siri ambamo kumebubujika uwingi<br />

wa uovu unaochafua ulimwengu. Kwani kwa yeye anayependa anasa, ni kupende<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi<br />

kuungama kwa mtu wa mauti kuliko kufungua roho kwa Mungu. Ni jambo la kupende<strong>za</strong><br />

<strong>za</strong>idi kwa kiumbe mwanadamu kutubu kuliko kuacha <strong>za</strong>mbi; ni rahisi kuhuzunisha wala<br />

kutesa mwili kwa nguo ya gunia kuliko kusulubisha tamaa <strong>za</strong> mwili.<br />

Mfano Wa Kushanga<strong>za</strong><br />

Wakati walipo<strong>za</strong>rau kwa siri kuja kwa mara ya kwan<strong>za</strong> kwa Kristo juu ya sheria ya<br />

Mungu, walikuwa wa kali kwa inje katika kushika amri <strong>za</strong>ke, kuzileme<strong>za</strong> kwa masharti<br />

yanayofanya utii kuwa mzito. Kama vile Wayuda walivyojidai kuheshimu sheria, vivyo<br />

hivyo watu wa kanisa la Roma wanajidai kwa heshima ya msalaba.<br />

236

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!