21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kunapashwa kuwa na uchunguzi mwingi, wa imani ya moyoni. Roho hafifu iliyopendelewa<br />

na wengi inapashwa kuachwa. Hapo kunakuwa vita ya nguvu mbele ya wale wote<br />

wanaoshinda mivuto mbaya inayoshindana kwa ajili ya utawala. Kila mtu anapashwa<br />

kukutwa pasipo awaa ao kikunjo wala kitu cho chote kama hivi.” Waefeso 5:27.<br />

Kwa wakati huu juu ya vitu vyote vingine inafaa kila nafsi kusikia onyo la upole la<br />

Mwokozi: “Ta<strong>za</strong>meni, ombeni, maana hamujui wakati ule.” Marko 13:33.<br />

Mwisho wa Wote Umekatwa<br />

Rehema imeisha kwa wakati mfupi kabla ya kuonekana kwa Bwana katika mawingu ya<br />

mbinguni. Kristo akita<strong>za</strong>ma wakati ule, anasema: “Yeye aliye m<strong>za</strong>limu azidi kuwa<br />

m<strong>za</strong>limu; na mwenye uchafu azidi kuwa mchafu; na mwenye haki azidi kufanya haki; na<br />

mtakatifu azidi kutakaswa. Ta<strong>za</strong>ma, ninakuja upesi na mshahara wangu ni pamoja nami,<br />

kulipa kila mtu kama ilivyo kazi yake.” Ufunuo 22:11,12.<br />

Watu watakuwa wakipanda na kujenga, kula na kunywa, wote pasipokufahamu ya kuwa<br />

hukumu ya mwisho imetangazwa katika Pahali patakatifu mbinguni. Mbele ya Garika,<br />

baada ya Noa kuingia katika safina, Mungu akamfungia ndani na kufungia waovu inje;<br />

lakini kwa siku saba watu wakaendelea na maisha yao ya kupenda anasa na wakachekelea<br />

maonyo ya hukumu. “Ndivyo” asema Mwokozi, “kutakavyokuwa kuja kwa Mwana wa<br />

watu.” Kwa kimya, bila kuonwa kama mwizi usiku wa manane, saa itakuja ambayo<br />

inaonyesha kukata shauri la mwisho wa kila mtu. “Basi angalieni: ... asije na kuwasitusha<br />

ninyi gafula, akawakuta mumelala.” Matayo 24:39; Marko 13:35,36.<br />

Hali ni yenye hatari ya wale ambao, huendelea kuchoka kwa kukesha kwao, wanageuka<br />

kwa mivuto ya dunia. Wakati mtu wa biashara anaposhughulika katika kufuata faida, wakati<br />

mwenye kupenda anasa anapotafuta anasa, wakati binti wa desturi ya kuvaa nguo<br />

anapotengene<strong>za</strong> mapambo yake--inawe<strong>za</strong> kuwa katika saa ile Mwamzi wa dunia yote<br />

atatanga<strong>za</strong> hukumu, “Umepimwa katika mi<strong>za</strong>ni, nawe umeonekana kuwa umepunguka.”<br />

Danieli 5:27.<br />

Sura 29. Asili ya Uovu<br />

Wengi wanaona kazi ya uovu, na msiba wake na ukiwa, na wanauli<strong>za</strong> namna gani hii<br />

inawe<strong>za</strong> kuwa chini ya utawala wa Huyu Mmoja asiyekuwa na mwisho katika hekima,<br />

uwezo na upendo. Wale wanaotaka kuwa na mashaka wanashikamana na jambo hili na<br />

kutafuta sababu ya kukataa manene ya Maandiko matakatifu. Desturi ya asili na mafahamu<br />

mabaya ya maandiko yameficha mafundisho ya Biblia kuhusu tabia ya Mungu, asili ya<br />

mamlaka yake, na kanuni <strong>za</strong>ke kuhusu <strong>za</strong>mbi.<br />

Haiwezekani kuele<strong>za</strong> mwanzo wa <strong>za</strong>mbi vilevile kama kutoa sababu kwa ajili ya<br />

kuwako kwake (<strong>za</strong>mbi). Kwani kuna mambo mengi ya kutosha inayowe<strong>za</strong> kufahamiwa juu<br />

ya mwanzo na hali ya mwisho ya <strong>za</strong>mbi kufanya onyesho kamili haki na wema wa Mungu.<br />

206

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!