21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

yameenea po pote ulimwenguni kutoka kwa mafundisho ya mimbara yamefanya mamilioni<br />

ya watu wenye mashaka na wasiokuwa waaminifu.<br />

Maumivu mabaya ya milele ni mojawapo ya mafundisho ya uwongo, mvinyo wa ga<strong>za</strong>bu<br />

yake (Ufunuo 14:8; 17:21), ambayo Babeli inafanya wote kunywa. Wahuduma wa Kristo<br />

walipokea ujushi huu kwa Roma kama walivyokubali sabato ya uwongo. Kama tukiacha<br />

Neno la Mungu na kukubali mafundisho ya uwongo kwa sababu wababa zetu<br />

waliyafundisha, tunaanguka chini ya hukumu iliyotangazwa kwa Babeli; tunakunywa<br />

mvinyo wa ga<strong>za</strong>bu yake.<br />

Kundi kubwa linaongozwa kwa kosa la upande mwingine. Wanaona Maandiko<br />

yanayoonyesha Mungu kama mwenye upendo na huruma na hawawezi kuamini kwamba<br />

atatupa viumbe kwa jehanum inayowaka milele. Kushikilia kwamba nafsi kwa kawaida ni<br />

ya milele, wakaishia kwamba watu wote wataokolewa. Kwa hivyo mwenye <strong>za</strong>mbi anawe<strong>za</strong><br />

kuishi katika anasa ya kupende<strong>za</strong> nafsi, kutojali matakwa ya Mungu, na kukubaliwa na<br />

Mungu. Mafundisho ya namna hiyo, yanategemea kwa rehema ya Mungu lakini bila kujali<br />

haki yake, yanafurahisha moyo wa tamaa <strong>za</strong> mwili.<br />

Wokovu wa Watu Wote Si Fundisho la Biblia<br />

Wanaoamini katika wokovu wa watu wote wanageu<strong>za</strong> Maandiko. Mhubiri anayejulikana<br />

wa Kristo anakariri uwongo ulioenezwa na nyoka katika Edeni, “Hakika hamutakufa.”<br />

“Siku mutakayokula matunda yake, macho yenu yatafunguliwa, na mutakuwa kama<br />

miungu. ” Anatanga<strong>za</strong> ya kama mwovu <strong>za</strong>idi katika wenye <strong>za</strong>mbi--muuaji, mwizi, mzinzi--<br />

baada ya kifo ataingia katika hali ya furaha ya milele. Hadizi <strong>za</strong> kweli <strong>za</strong> kupende<strong>za</strong>,<br />

zinazofaa kwa kupende<strong>za</strong> moyo wa tamaa <strong>za</strong> mwili!<br />

Kama ingekuwa kweli kwamba watu wote wangepita mara moja mbinguni kwa saa ya<br />

mwisho ya mauti, tungewe<strong>za</strong> vema kutamani mauti kuliko uzima. Wengi wameongozwa<br />

katika imani hii kumali<strong>za</strong> wala kukomesha maisha yao. Kulemezwa na hatari na uchungu,<br />

inaonekana rahisi kuvunja mwendo wa maisha na kupanda upesi katika hali ya raha ya<br />

makao ya milele.<br />

Mungu ametoa katika Neno lake ushuhuda wazi ya kama ataazibu wavunjaji wa sheria<br />

yake. Je, yeye anakuwa mwenye rehema vilevile hata asitimize haki juu ya mwenye <strong>za</strong>mbi?<br />

Ta<strong>za</strong>ma kwa msalaba wa Kalvari. Mauti ya Mwana wa Mungu inashuhudia kwamba<br />

“mushahara wa <strong>za</strong>mbi ni mauti” (Waroma 6:23), kwamba kila uvunjaji wa sheria ya Mungu<br />

unapashwa kupata malipizi. Kristo asiyekuwa na <strong>za</strong>mbi akawa mwenye <strong>za</strong>mbi kwa ajili ya<br />

mtu. Akavumulia hatia <strong>za</strong> <strong>za</strong>mbi na maficho ya uso wa Baba yake hata moyo wake<br />

ukapasuka na maisha yake kuangamizwa--yote haya ili wenye <strong>za</strong>mbi waweze<br />

kukombolewa. Na kila nafsi ambayo inakataa kushirikiana na upatanisho uliotolewa kwa bei<br />

ya namna ile anapaswa kuchukua kwa nafsi yake mwenyewe hatia na a<strong>za</strong>bu ya <strong>za</strong>mbi.<br />

Masharti Yameelezwa<br />

225

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!