21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Alipojazwa na furaha, anata<strong>za</strong>ma miti ambayo ilikuwa mara ya kwan<strong>za</strong> furaha yake,<br />

matunda yake yeye mwenyewe alikuwa akikusanya mbele ya kuwa na hatia. Ameona<br />

mi<strong>za</strong>bibu ambayo mikono yake mwenyewe ilikomalisha, maua aliyoyapenda <strong>za</strong>mani<br />

kulinda. Hii ni Edeni iliyorudishwa kweli!<br />

Mwokozi akamwongo<strong>za</strong> kwa mti wa uzima na akamwalika kula. Akata<strong>za</strong>ma mkutano<br />

wa jamaa yake waliokombolewa. Ndipo akatupa taji lake kwa miguu ya Yesu na<br />

kumkumbatia Mkombozi. Akagusa kinubi, na sehemu ya juu pa mbingu ikarudisha mwitiko<br />

wa sauti <strong>za</strong> wimbo wa ushindi: “Anastahili Mwana kondoo” aliyechinjwa”. Ufunuo 5:12.<br />

Jamaa ya Adamu inatupa taji <strong>za</strong>o kwa miguu ya Mwokozi wanapoinama wakiabudu.<br />

Malaika walilia kwa kuanguka kwa Adamu na wakafurahi wakati Yesu alipofungua kaburi<br />

kwa wote walioamini kwa jina lake. Sasa wanata<strong>za</strong>ma kazi ya ukombozi kutimizwa na<br />

kuunga sauti <strong>za</strong>o kwa kusifu.<br />

Kwa “bahari ya kioo iliyochanganyika na moto” wamekutanika kundi la watu ambao<br />

“waliomshinda yule mnyama na sanamu na alama yake, na hesabu ya jina lake”. Wale elfu<br />

mia moja na makumi ine na ine waliokombolewa katika watu, na wanaimba “wimbo mpya”<br />

wimbo wa Musa na wimbo wa Mwana-Kondoo. Ufunuo 15:2,3. Hakuna mtu bali wale elfu<br />

mia moja na makumi ine na ine watakaowe<strong>za</strong> kujifun<strong>za</strong> wimbo ule, kwa maana ni wimbo<br />

wa mambo ya maisha ambayo hakuna jamii ingine walikuwa nayo”. Hawa ndio wanaofuata<br />

Mwana-Kondoo kila pahali anapokwenda. “Hawa waliochukuliwa kutoka katikati ya wahai,<br />

ni “malimbuko ya kwan<strong>za</strong> kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo”. Ufunuo 14:4,5.<br />

Walipitia katika wakati wa mateso makubwa ambayo hayajakuwako tangu taifa<br />

lilikuwako; walivumilia maumivu makuu ya wakati wa taabu ya Yakobo; walisimama<br />

pasipo mwombezi katika kumiminwa kwa mwisho kwa hukumu <strong>za</strong> Mungu. “Wamefua<br />

mavazi yao na kuyafanya meupe katika damu ya Mwana-Kondoo”. “Na katika vinywa vyao<br />

haukuonekana uwongo; maana wao ni pasipo kilema” mbele ya Mungu. “Hawataona njaa<br />

tena, wala hawataona kiu tena, wala jua halitawapiga, wala joto lo lote. Kwani Mwana-<br />

Kondoo, aliye katikati ya kiti cha enzi atawachunga, naye atawaongo<strong>za</strong> hata chemchemi <strong>za</strong><br />

maji yenye uhai, na Mungu atapangusa machozi yote katika macho yao”. Ufunuo 7:14;<br />

14:5; 7:16,17.<br />

Waliokombolewa katika Utukufu<br />

Katika vi<strong>za</strong>zi vyote wateule wa Mwokozi wametembea katika njia nyembamba.<br />

Wametakaswa katika tanuru ya mateso. Kwa ajili ya Yesu wakavumilia uchuki, masingizio,<br />

kujinyima, na hasara <strong>za</strong> uchungu. Walijifun<strong>za</strong> ubaya wa <strong>za</strong>mbi, uwezo wake, kosa yake,<br />

msiba wake; wanaita<strong>za</strong>ma na machukio makuu. Maana ya kafara isiyokuwa na mwisho<br />

iliyofanywa kwa ajili ya dawa yake inawanyenyeke<strong>za</strong> na kuja<strong>za</strong> mioyo yao na shukrani.<br />

Wanapenda sana kwa sababu walisamehewa sana. Ta<strong>za</strong>ma Luka 7:47. Washiriki wa mateso<br />

ya Kristo, wanastahili kuwa washiriki wa utukufu wake.<br />

270

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!