21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Atakaa na kutawala juu ya kiti chake cha enzi; naye atakuwa kuhani juu ya kiti chake<br />

cha ufalme”. Ufalme wa utukufu haujaingiliwa bado. Mpaka kazi yake kama mpatanishi<br />

imalizike, ndipo Mungu atamtolea ufalme ambao “hautakuwa na mwisho” Luka 1:33. Kama<br />

kuhani, Kristo anakaa sasa pamoja na Baba katika kiti chake cha enzi. Juu ya kiti kile cha<br />

ufalme kunakuwa yeye “aliyechukua taabu zetu; na kubeba huzuni zetu”, ambaye alikuwa<br />

“katika mambo yote alijaribiwa sawa sawa na sisi, lakini pasipo kufanya <strong>za</strong>mbi”, kusudi<br />

aweze kusaidia wale wanaojaribiwa”. Isaya 53:4; Waebrania 4:15; 2:18. Mikono<br />

iliyojeruhiwa, upande uliochomwa mukuki,nya yo ilioharibiwa, vinamtetea mwanadamu<br />

aliye anguka ambaye wokovu wake ulipatikana kwa bei sawa ile.<br />

“Na shauri la salama litakuwa katikati ya wale wawili”. Upendo wa Baba ni chemchemi<br />

ya wokovu kwa ukoo uliopotea. Yesu aliwaambia wafuasi wake, “Baba yeye mwenyewe<br />

anawapenda”. Mungu alikuwa “ndani ya Kristo akipatanisha ulimwengu naye mwenyewe”.<br />

“Mungu alipenda ulimwengu hata kutoa Mwana wake wa pekee”. Yoane 16:27; 2<br />

Wakorinto 5:19; Yoane 3:16.<br />

Siri ya Mahali Patakatifu Inaelezwa<br />

“Hema ya kweli” mbinguni ni Pahali patakatifu pa agano jipya. Wakati wa kifo cha<br />

Kristo, huduma ya kufananisha ilimalizika. Kwa sababu Danieli 8: 14 ilitimilika katika<br />

mgawo huu, Pahali patakatifu ambapo maneno haya yanaelekea ni Pahali patakatifu pa<br />

agano jipya. Hivyo, unabii, huu “Hata mangaribi na asubui ya siku elfu mbili mia tatu,<br />

halafu Pahali patakatifu patasafishwa” unaelekea Pahali patakatifu mbinguni. Lakini<br />

kusafishwa kwa pahali patakatifu maana yake ni nini? Mbinguni kunawe<strong>za</strong> kuwa kitu cha<br />

kusafishwa? Katika Waebrania 9 kusafishwa kwa Pahali patakatifu pa duniani na Pahali<br />

patakatifu pa mbinguni vinafundishwa wazi :<br />

Karibu vitu vyote vinasafishwa kwa damu, na pasipo kumwanga damu hakuna ondoleo.<br />

Basi, mifano ya mambo yaliyo mbinguni ilipashwa kusafishwa hivyo lakini vitu vya<br />

mbinguni yenyewe kwa <strong>za</strong>bihu nzuri <strong>za</strong>idi kuliko hizi” (Waebrania 9:22,33), kwa damu ya<br />

<strong>za</strong>mani ya Kristo.<br />

Kutakaswa kwa Pahali Patakatifu<br />

Kusafishwa katika huduma ya kweli kunapaswa kufanyika kwa damu ya Kristo. “Pasipo<br />

kumwanga damu hakuna ondoleo. Ondoleo, ao kuondoa Zambi, ndiyo kazi yenye<br />

kutimizwa.”<br />

Lakini inawezekana je, <strong>za</strong>mbi kuambatana na Pahali patakatifu mbinguni? Hii inawe<strong>za</strong><br />

kujifunzwa kwa kuangalia huduma ya mfano, kwa maana makuhani duniani walitumika<br />

“kwa mufano na kivuli cha mambo ya mbinguni.” Waebrania 8:5.<br />

Huduma ya patakatifu pa kidunia ilikuwa na sehemu mbili. Makuhani walikuwa<br />

wakihudumia kila siku katika Pahali patakatifu, lakini mara moja kwa mwaka kuhani mkuu<br />

174

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!