21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Ni kazi kubwa ya uongo wa Shetani kudumisha watu kubahatisha kwa mambo ambayo<br />

Mungu hakuyaulisha. Lusifero akawa bila kurizika kwa sababu siri zote <strong>za</strong> makusudi ya<br />

Mungu hazikufunuliwa kwake, na akakataa maneno yale yaliyofunuliwa. Sasa anatafuta<br />

kuja<strong>za</strong> watu kwa roho ya namna ileile na kuwaongo<strong>za</strong> pia kutojali amri wazi <strong>za</strong> Mungu.<br />

Wapungufu wa mafundisho ya kiroho yanayotolewa na moyo wa kujikana, kwa namna<br />

vinavyoelezwa, kukubaliwa na kupokelewa kwa bidii kubwa. Shetani anakuwa tayari kutoa<br />

kwa tamaa ya moyo, na anapoke<strong>za</strong> hila <strong>za</strong> udanganyifu badala pa Kweli. Ilikuwa kwa<br />

namna hii ambayo dini ya Roma (papa) ilipata mamlaka yake kwa roho <strong>za</strong> watu. Na katika<br />

kukataa kweli kwa sababu inahusikana na msalaba, Waprotestanti wanafuata njia ile ile.<br />

Wote wanaojifun<strong>za</strong> manufaa na mashauri, ili wasiweze kuwa na tofauti na ulimwengu,<br />

wataachwa kupata “uharibifu usiokawia” waki<strong>za</strong>nia ni kweli. 2 Petro 2:1. Yeye<br />

anayeta<strong>za</strong>ma kwa kuchukia udanganyifu moja atapokea mara hiyo mwingine. “Na kwa<br />

maneno haya Mungu anawaletea nguvu ya upotevu, hata waamini uwongo: ili wahukumiwe<br />

wote wasioamini kweli, lakini walifurahi katika u<strong>za</strong>limu.” 2 Watesalonika 2:11,12.<br />

Makosa ya Hatari<br />

Miongoni mwa vyombo vya ushindi <strong>za</strong>idi vya mdanganyi mkubwa ni maajabu ya<br />

uwongo ya imani ya roho <strong>za</strong> watu waliokufa (spiritisme). Kwa namna watu wanavyokataa<br />

kweli wanatekwa kwa udanganyifu.<br />

Kosa lingine ni mafundisho yanayokana Umungu wa Kristo, kudai kwamba hakuwako<br />

mbele ya kuja kwake kwa ulimwengu huu.<br />

Maelezo haya yanakausha maneno ya Mwokozi wetu juu ya uhusiano wake na Baba na<br />

kuwako kwake siku zote <strong>za</strong> mbele. Yanaharibu imani katika Biblia kama ufunuo kutoka<br />

kwa Mungu. Kama watu wanakana ushuhuda wa Maandiko juu ya Umungu wa Kristo, ni<br />

bure kubishana nao; hakuna mabishano, hakuna neno hata wazi la kuwe<strong>za</strong>, kuwasadikisha;<br />

Hakuna anayeshikilia kosa hili anayewe<strong>za</strong> kuwa na wazo la kweli la Kristo wala la mpango<br />

wa Mungu kwa ajili ya ukombozi wa mtu.<br />

Tena kosa lingine ni imani kwamba Shetani haishi kama kiumbe chenye nafsi, kwamba<br />

jina linalotumiwa katika Maandiko ni kufananisha tu mawazo mabaya ya watu na tamaa.<br />

Mafundisho kwamba kuja kwa mara ya pili kwa Kristo ni kuja kwake kwa kila mtu wakati<br />

wa mauti ni uongo kwa kupotosha akili kusahau kwa kuja kwake mwenyewe katika<br />

mawingu ya mbingu. Shetani basi amekuwa akisema, ‘’Ta<strong>za</strong>ma, yeye ni katika vyumba vya<br />

ndani” (Ta<strong>za</strong>ma Matayo 24:23-26), na wengi wamepotea katika kukubali udanganyifu huu.<br />

Tena watu wa maarifa wanadai kwamba hakuna jibu la kweli linawe<strong>za</strong> kuwako kwa<br />

kuomba; hii ingekuwa uvunjaji wa sheria-mwuji<strong>za</strong>, na miuji<strong>za</strong> haiwezi kuwako.<br />

Ulimwengu, wanasema, unatawaliwa katika sheria zisizobabilika, na Mungu Mwenyewe<br />

hafanye kitu kinyume kwa sheria hizi. Kwa hivi wanafananinisha Mungu kama<br />

219

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!