21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

mwenyewe. Watoto wa imani wangeongozwa kujifun<strong>za</strong> kwa bidii sana Neno, na<br />

kuchungu<strong>za</strong> kwa uangalifu <strong>za</strong>idi msingi wa imani yao, na kukataa kila kitu, hata<br />

kilikubaliwa sana na Wakristo wa kidunia, kile kisichokuwa na msingi kutika kwa<br />

Maandiko.<br />

Kile ambacho katika saa ya taabu kilionekana gi<strong>za</strong> baadaye kingewekwa wazi.<br />

Ijapokuwa taabu ilitokea kwa makosa yao, wangejifun<strong>za</strong> kwa maarifa ya mibaraka yao<br />

kwamba Bwana ni ” Mwenye rehema sana, mwenye huruma”, kwamba njia zote <strong>za</strong>ke ni ”<br />

huruma na kweli kwao wanaoshika agano lake na shuhuda wake.” Yakobo 5:11; Zaburi<br />

25:10. ” Hata mangaribi na asubui 2300: halafu Pahali patakatifu patasafishwa.”<br />

146

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!