21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Mfalme akaketi kitini, anapozungu kwa na watu wa cheo wenye sifa katika ufalme.<br />

Martin Luther sasa alipashwa kujibu kwa ajili ya imani yake. “Kuonekana huku kulikuwa<br />

kwenyewe ishara (alama) ya ushindi juu ya cheo cha Papa. Papa alimhukumu mtu huyu, na<br />

mtu huyu alisimama mbele ya bara<strong>za</strong> ya hukumu iliyowekwa juu ya Papa. Papa alimweka<br />

chini ya makatazo, akakatiwa mbali ya chama cha kibinadamu, na huku akaalikwa katika<br />

manemo ya heshima, na kupokelewa mbele ya mkutano wa heshima sana katika ulimwengu.<br />

... Roma ilikuwa ikishuka kutoka kitini chake, nailikuwa ni sauti la mtawa lililomushusha.”<br />

M<strong>za</strong>liwa mnyenyekevu Mtengene<strong>za</strong>ji akaonekanamwenye kutishwa na kufa<strong>za</strong>ika.<br />

Wafalme wengi, wakamkaribia, na mmoja akamnongone<strong>za</strong> “Musiwaogope wanaoua mwili<br />

lakini hawawezi kuua nafsi.” Mwengine akasema: “Na mutakapopelekwa mbele ya<br />

watawala na wafalme kwa ajili yangu, mtapewa kwa njia ya roho wa baba yenu lile mtakalo<br />

lisema.” Ta<strong>za</strong>ma Matayo 10:28, 18, 19.<br />

Ukimya mwingi ukawa juu ya mkutano uliosongana. Ndipo afisa mmoja wa mfalme<br />

akasimama na, kushota kwa maandiko ya Luther, akauli<strong>za</strong> kwamba Mtengene<strong>za</strong>ji ajibu<br />

maswali mawili-ao atayakubali kwamba ni yake, na ao atakusudia kukana mashauri<br />

yanayoandikwa humo. Vichwa vya vitabu vilipokwisha kusomwa, Luther, kwa swali la<br />

kwan<strong>za</strong>, akakubali vitabu kuwa vyake. “Kwa swali la pili,” akasema, ningetenda bila busara<br />

kama ningejibu bila kufikiri. Ningehakikisha kidogo kuliko hali ya mambo inavyotaka, ao<br />

<strong>za</strong>idi kuliko kweli inavyotaka. Kwa sababu hiyo ninaomba mfalme mtukufu, kwa<br />

unyenyekevu wote, unitolee wakati, ili nipate kujibu bila kukosa juu ya neno la Mungu.”<br />

Luther akasadikisha makutano kwamba hakutenda kwa hasira ao bila kufikiri. Utulivu<br />

huu, na kujitawala, isiyota<strong>za</strong>miwa kwa mtu aliyejionyesha kuwa mgumu na asiyebadili<br />

shauri yakamwezesha baadaye kujibu kwa busara na heshima ikashanga<strong>za</strong> maadui <strong>za</strong>ke na<br />

kukemea kiburi chao.<br />

Kesho yake alipashwa kutoa jibu lake la mwisho. Kwa mda moyo wake ukadidimia.<br />

Maadui <strong>za</strong>ke walionekana kwamba wangeshinda. Mawingu yakakusanyika kando yake na<br />

yakaonekana kumtenga na Mungu. Katika maumivu ya roho akatoa malalamiko yale ya<br />

kuhuzunisha sana, ambayo Mungu tu anawe<strong>za</strong> kuyafahamu kabisa.<br />

“Ee Mwenyezi Mungu wa milele!” akapa<strong>za</strong> sauti; “kama ni kwa nguvu <strong>za</strong> ulimwengu<br />

huu tu ambapo napashwa kutia tumaini langu, yote imekwisha. ... Saa yangu ya mwisho<br />

imefika, hukumu yangu imekwisha kutangazwa. ... Ee Mungu, unisaidie juu ya hekima yote<br />

ya ulimwengu. ... Mwanzo ni wako, ... na ni mwanzo wa haki na wa milele. Ee Bwana,<br />

unisaidie! Mungu mwaminifu na asiyebadilika, mimi si mtumainie mtu ye yote. ...<br />

Umenichagua kwa kazi hii. ... Simama kwa upande wangu, kwa ajili ya jina la mpendwa<br />

wako Yesu Kristo, anayekuwa mkingaji wangu, ngao yangu, na mnara wangu wa nguvu.”<br />

Lakini haikuwa hofu ya mateso, maumivu, wala mauti yake mwenyewe ambayo<br />

ilimlemea na hofu kuu. Alijisika upungufu wake. Katika u<strong>za</strong>ifu wake madai ya ukweli<br />

62

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!