21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 33. Kinacholala Ng’ambo ya Pili ya Kaburi<br />

Shetani aliyechochea uasi huko mbinguni, alitaka kushawishi wakaaji wa dunia<br />

kuungana katika vita yake ya kumpinga Mungu. Adamu na Hawa walikuwa na furaha<br />

kamili katika utii kwa sheria ya Mungu--ushuhuda wa daima wa kupinga madai ya Shetani<br />

ulioweka mbele katika mbingu ya kuwa sheria ya Mungu ilikuwa ya taabu. Shetani<br />

akakusudia kuanzisha maanguko yao, ili aweze kumiliki dunia na hapa kuimarisha ufalme<br />

wake kwa kupingana na Aliye Juu.<br />

Adamu na Hawa walikuwa wakionywa juu ya adui wa hatari huyu, lakini alikuwa<br />

akitumika katika gi<strong>za</strong>, kuficha kusudi lake. Kutumia nyoka kama chombo chake, ndipo<br />

kiumbe cha mfano wa kupende<strong>za</strong>, akamwambia Hawa: “Ndiyo, Mungu amesema: Msile ya<br />

miti yote ya shamba?” Hawa akajihatarisha (akasubutu) kusemana naye na akaanguka<br />

mateka kwa uongo wake: “Mwanamuke akamwambia nyoka: Matunda ya miti ya shamba<br />

tunawe<strong>za</strong> kula; lakini matunda ya mti ulio katikati ya shamba Mungu amesema: Musile<br />

matunda yake wala musiyaguse, musife. Na nyoka akamwambia mwanamuke; Hakika<br />

hamutakufa, kwani Mungu anajua ya kama siku mutakapokula matunda yake, macho yenu<br />

yatafunguliwa, na mutakuwa kama miungu, mukijua uzuri na ubaya.” Mwanzo 3:1-5.<br />

Hawa akakubali, na kwa mvuto wake (mwanamuke) Adamu akaongozwa katika <strong>za</strong>mbi.<br />

Wakakubali maneno ya nyoka; wakaonyesha kutotumaini Muumba wao na kuwa<strong>za</strong> ya kama<br />

alikuwa akizuia uhuru wao.<br />

Lakini ni kitu gani Adamu alichopata kujua kuwa maana ya maneno, “Kwa maana siku<br />

utakapokula, hakika utakufa”? Je, alipaswa kuongozwa katika maisha ya kujiinua <strong>za</strong>idi?<br />

Adamu hakuona jambo hili kuwa maana ya hukumu ya Mungu. Mungu alitanga<strong>za</strong> ile kama<br />

a<strong>za</strong>bu kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi yake, mtu alipashwa kurudi kwa mavumbi: “Kwa sababu mavumbi<br />

wewe, na utarudi kwa mavumbi.” Mwanzo 3:19. Maneno ya Shetani, “Macho yenu<br />

yatafunguliwa,” yalionekana kuwa ya kweli katika maana hii tu: macho yao yakafunguliwa<br />

kutambua ujinga wao. Wakajua ubaya na kuonja tunda la uchungu wa uasi.<br />

Mti wa uzima ulikuwa na uwezo wa kudumisha uzima. Adamu angeendelea kufurahia<br />

ruhusa ya uhuru wa kukaribia mti huu na kuishi milele, lakini wakati alipofanya <strong>za</strong>mbi<br />

akazuiwa kwa mti wa uzima na akastahili kifo. Kufa ikaondoa kutokufa. Pale<br />

hapangalikuwa na tumaini kwa u<strong>za</strong>o ulioanguka kama Mungu, kwa kafara ya Mwana wake,<br />

hangeleta kutokufa karibu nao. Na hivi ‘’kufa kulikuja juu ya watu wote, kwa sababu wote<br />

wamefanya <strong>za</strong>mbi,” Kristo “ameleta uzima na maisha yasiyokoma nuru ni kwa njia ya<br />

Habari Njema.” Katika Kristo tu kutokufa kunawe<strong>za</strong> kupatikana. “Anayeamini Mwana ana<br />

uzima wa milele; na asiyemwamini Mwana hataona uzima.” Waroma 5:12; 2 Timoteo 1:10;<br />

Yoane 3:36.<br />

Uwongo Mkubwa<br />

223

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!