21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Dani, ... wanaota<strong>za</strong>mia, pamoja na wana wa Rekabu, kufika kwa upesi kwa Masiya katika<br />

mawingu ya mbingu.”<br />

Imani ya namna moja ilipatikana kwa mjumbe mwengine katika Tartares. Padri mmoja<br />

wa Tartares akauii<strong>za</strong> wakati gani Kristo angekuja mara ya pili. Wakati mjumbe<br />

(missionaire) alijibu, kwamba hakujua kitu kwa jambo lile, padri akashangaa kwa ujinga wa<br />

namna ile kwa mwalimu wa Biblia, na akaele<strong>za</strong> habari ya imani yake mwenyewe, yeye<br />

msingi kwa unabii, kwamba Kristo angekuja karibu mwaka 1844.<br />

Ujumbe wa Waadventisti katika Uingere<strong>za</strong><br />

Mwanzoni wa mwaka 1826 ujumbe wa kuja kwa kristo ukaan<strong>za</strong> kuhubiriwa katika<br />

Uingere<strong>za</strong>. Kwa kawaida, tarehe kamili ya kurudi kwa Yesu haikufundishwa, lakini ukweli<br />

wa kuja kwa Kristo mwenye uwezo na utukufu ukatangazwa kwa watu wengi. Mwandishi<br />

mmoja wa Kingere<strong>za</strong> akasema kwamba karibu wahuduma 700 wa kanisa la Uingere<strong>za</strong><br />

walijitoa katika kuhubiri “habari njema hii ya ufalme.”<br />

Ujumbe ulioonyesha mwaka 1844 kuwa wakati wa kuja kwa Bwana ukatolewa vilevile<br />

katika Uingere<strong>za</strong>. Maandiko juu ya habari ya kurudi yakatangazwa sana kutoka America.<br />

Katika mwaka 1842 Robert Winter, Mwingere<strong>za</strong> aliyeamini kurudi kwa Yesu alipokuwa<br />

America, akarudi katika inchi yake na kutanga<strong>za</strong> habari ya kuja kwa Bwana. Watu wengi<br />

wakajiunga naye katika kazi ndani ya sehemu mbalimbali <strong>za</strong> Ungere<strong>za</strong>.<br />

Katika upande wa America ya kusini, Lacun<strong>za</strong>, “Jesuite” wa Espania, akakubali ukweli<br />

wa kristo kurudi upesi. Kutaka kuepuka karipio la Roma, akatanga<strong>za</strong> habari yake chini ya<br />

jina la kujitwalia la Rabbi-Ben-Ezra, akajionyesha mwenyewe kama Muyahudi aliyegeuka.<br />

Karibu ya mwaka 1825 kitabu chake kitatafsiriwa katika Kiingere<strong>za</strong>. Kilitumiwa kwa<br />

kuonge<strong>za</strong> usikizi uliokwisha kuamshwa katika Uingere<strong>za</strong>.<br />

Ufunuo Ukafunuliwa kwa Bengel<br />

Katika Ujeremani ujumbe huu ulifundishwa na Bengel, mhubiri wa kiLuther na<br />

mwalimu wa Biblia. Wakati alipokuwa akitayarisha mahubiri kutoka kwa Ufunuo 21, nuru<br />

ya kuja kwa Kristo mara ya pili ikaanga<strong>za</strong> katika mafikara yake. Unabii wa Ufunuo<br />

ukafunuliwa kwa ufahamu wake. Alipofunikwa kwa ukubwa na utukufu wa mambo<br />

yaliyoonyeshwa na nabii, akalazimishwa kuacha fundisho hilo kwa mda. Katika mimbara<br />

fundisho hilo likamjia tena kwa nguvu. Tangu wakati ule akajitoa mwenyewe kujifun<strong>za</strong><br />

mambo ya unabii na kwa upesi akafikia kwa imani kwamba kurudi kwa Kristo kulikuwa<br />

karibu. Tarehe ambayo aliyoiweka kama wakati wa kurudi kwa mara ya pili kulikuwa katika<br />

miaka michache karibu ya wakati ule ambao Miller alitanga<strong>za</strong> baadaye.<br />

Maandiko ya Bengel yakaenezwa katika jimbo lake mwenyewe la Wurtemberg na kwa<br />

sehemu zingine <strong>za</strong> Ujeremani. Ujumbe wa kurudi ukasikiwa katika Ujeremani, na kwa<br />

wakati uleule ujumbe huo ukavuta uangalifu katika inchi zingine. Huko Geneve, Gaussen<br />

150

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!