21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

a<strong>za</strong>bu ya uzushi.” Ili Amerika ipate kufanya ‘’sanamu ya mnyama,” mamlaka ya dini<br />

inapaswa kutongo<strong>za</strong> serkali kwamba serkali itatumiwa vilevile kwa kanisa kutimi<strong>za</strong> vifiko<br />

vyake mwenyewe.<br />

Makanisa ya Kiprotestanti yale yaliyofuata katika hatua <strong>za</strong> Roma yameonyesha mapenzi<br />

ya namna moja kwa kuzuia uhuru wa <strong>za</strong>miri. Mfano ni mateso yaliyoendelea wakati mrefu<br />

ya wale wasiokubali mafundisho ya Kanisa la Kiingere<strong>za</strong>. Wakati wa karne <strong>za</strong> kumi na sita<br />

na kumi na saba, wachungaji na watu wasiokubali kanuni <strong>za</strong> kanisa walikuwa watu<br />

wakulipa fe<strong>za</strong> ya a<strong>za</strong>bu, kufungwa, mateso (a<strong>za</strong>bu kali), na mauti ya mfia dini.<br />

Uasi ukaongo<strong>za</strong> kanisa la mwanzoni kutafuta usaada wa serkali ya raia. Na jambo hili<br />

likatayarisha njia kwa Kanisa la Roma (Papa)--mnyama. Paulo akasema: “ila maasi yale<br />

yafike mbele, na mtu yule wa kuasi akafunuliwa.” 2 Watesalonika 2:3.<br />

Biblia inatanga<strong>za</strong>: “Siku <strong>za</strong> mwisho zitakuwa nyakati <strong>za</strong> hatari. Kwa sababu watu<br />

watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fe<strong>za</strong>, wenye kujisifu, wenye kiburi,<br />

wenye kutukana, wasiotii wa<strong>za</strong>zi wao, wasio na kushukuru, wasio safi, wasiopenda wen<strong>za</strong>o,<br />

wasiotaka kusamehe, washitaki wa uwongo, wasiojizui<strong>za</strong>, wakali, wasiopenda mema,<br />

wadanganyifu, wakaidi, wenye kujivuna, wenye kupenda anasa kuliko Mungu; wenye<br />

mfano wa kuogopa Mungu, lakini wakikana nguvu <strong>za</strong>ke.” 2 Timoteo 3:1-5. “Basi, Roho<br />

anasema waziwazi ya kwamba katika nyakati <strong>za</strong> mwisho watu wengine watajitenga na<br />

imani, wakisikili<strong>za</strong> roho <strong>za</strong> kudanganya, na mafundisho ya mashetani.” 1 Timoteo 4:1.<br />

Wote wale “hawakupokea mapendo wa kweli, kwamba wapate kuokolewa,” watakubali<br />

“nguvu ya upotevu, hata waamini uwongo.” 2 Watesalonika 2:10,11. Wakati hali hii<br />

itakapofikiwa, matokeo ya namna moja yatafuata ilivyokuwa katika karne <strong>za</strong> kwan<strong>za</strong>.<br />

Tofauti kubwa ya imani katika makanisa ya Waprotestanti ina<strong>za</strong>niwa na wengi kama<br />

utibitizo kwamba hakuna umoja uliolazimishwa unaowe<strong>za</strong> kufanywa. Lakini pale<br />

kumekuwa kwa miaka nyingi katika makanisa ya Waprotestanti nia iliyoongezeka katika<br />

upendeleo wa umoja. Kwa kulinda umoja kama huo, mazungumzo ya mambo ambayo wote<br />

hawakuyakubali yanapaswa kuachwa kudaiwa. Katika bidii ya kulinda umoja kamili,<br />

itakuwa tu ni hatua kwa kutumia nguvu.<br />

Wakati makanisa maalum ya Amerika, yanapoungana juu ya mambo kama yale ya<br />

mafundisho kama inavyoshikwa kwao katika umoja, yatavuta serkali kulazimisha amri <strong>za</strong>o<br />

na kuimarisha sheria <strong>za</strong>o, ndipo Amerika ya Kiprotestanti itakapofanya sanamu ya serkali<br />

ya Kanisa la Roma, na a<strong>za</strong>bu ya malipo ya raia juu ya wale wasiokubali mafundisho ya<br />

kanisa bila mashaka yatakuwa matokeo.<br />

Mnyama na Sanamu Yake<br />

Mnyama aliyekuwa na pembe mbili “naye anawafanya wote, wadogo na wakubwa, na<br />

matajiri na masikini na wahuru na wafungwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume,<br />

186

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!