21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 14. <strong>Ukweli</strong> Unaendelea Katika Uingere<strong>za</strong><br />

Wakati Luther alipokuwa akifungua Biblia iliyofungwa kwa watu wa Ujeremamy,<br />

Tyndale akasukumwa na Roho wa Mungu kufanya tendo lilelile katika Uingere<strong>za</strong>. Biblia ya<br />

Wycliffe ilitafsiriwa kutoka kwa Kilatini, ambamo mulikuwa makosa mengi. Bei ya kurasa<br />

zilizoandikwa ilikuwa juu sana na kwa hiyo mtawanyiko wake ulikuwa wa shida.<br />

Kwa mwaka 1516, kwa mara ya kwan<strong>za</strong> Agano Jipya likachapwa katika lugha ya asili<br />

ya Kigiriki. Makosa mengi ya tafsiri ya kwan<strong>za</strong> yakasahihishwa, na maana yakarudishwa<br />

vizuri <strong>za</strong>idi. Nakala zile zikaletea watu waliojifun<strong>za</strong> ufahamu bora kwa kweli na zikatoa<br />

mwendo mpya kwa kazi ya matengenezo. Lakini sehemu kubwa ya watu walikosa Neno la<br />

Mungu. Tyndale alipaswa kutimi<strong>za</strong> kazi ya Wycliffe katika kutoa Biblia kwa watu wa inchi<br />

yake.<br />

Akahubiri bila woga mambo ya hakika yake. Kwa tangazo la Papa kwamba ni kanisa<br />

lililotoa Biblia, na ni kanisa pekee linalowe<strong>za</strong> kuiele<strong>za</strong>, Tyndale akajibu: “Kamwe<br />

haukutupatia Maandiko, ni wewe uliyeyaficha kwetu; ni wewe uliyewachoma wale<br />

walioyafundisha, na kama ungaliwe<strong>za</strong>, ungalichoma Maandiko yenyewe.”<br />

Mahubiri ya Tyndale yakaamsha usikizi kubwa. Lakini mapadri wakajitahidi kuharibu<br />

kazi yake. “Ni kitu gani kinapaswa kufanywa?” akapa<strong>za</strong> sauti. “Siwezi kuwa po pote. Ee!<br />

kama Wakristo wangalikuwa na Maandiko matakatifu katika lugha yao wenyewe,<br />

wangaliwe<strong>za</strong> wao wenyewe kushindana na wenye kutumia maneno madanganyifu hawa.<br />

Bila Biblia haiwezekani kuimarisha watu katika kweli.”<br />

Nia mpya ikaja katika mawazo yake. “Injili haitasema lugha ya Ungere<strong>za</strong> miongoni<br />

mwetu? ... Kanisa linapaswa kuwa na nuru ndogo kwa wakati wa azuhuri kuliko wakati wa<br />

mapambazuko yake? ... Wakristo wanapashwa kusoma Agano Jipya katika lugha yao ya<br />

ku<strong>za</strong>liwa.” Ila tu kwa njia ya Biblia watu waliwe<strong>za</strong> kufikia ukweli.<br />

Mtaalamu mmoja wa Katoliki katika mabishano pamoja naye akapa<strong>za</strong> sauti ya<br />

mshangao, “Ingekuwa vema kutokuwa na sheria <strong>za</strong> Mungu kuliko kukosa zile <strong>za</strong> Papa.”<br />

Tyndale akajibu, “Nina<strong>za</strong>rau Papa na sheria <strong>za</strong>ke zote; na kama Mungu angenipatia maisha,<br />

kabla ya miaka mingi nitawezesha kijana anayeongo<strong>za</strong> jembe la kukokotwa na ngombe<br />

kufahamu Maandiko <strong>za</strong>idi kuliko ninyi.”<br />

Tyndale Anatafsiri Agano Jipya kwa Kiingere<strong>za</strong><br />

Alipofukuzwa nyumbani kwa ajili ya mateso, akaenda Londoni na huko kwa mda<br />

akatumika bila kizuizi. Lakini tena Wakatoliki wakamlazimisha kukimbia. Uingere<strong>za</strong> wote<br />

ukaonekana wenye kufungwa kwake. Katika Ujeremani akaan<strong>za</strong> uchapaji wa Agano Jipya<br />

kwa lugha ya kingere<strong>za</strong>. Alipokatazwa kuchapa katika mji moja, akaenda kwa mji<br />

mwengine. Mwishowe akasafiri kwenda Worms, ambako, miaka michache mbele, Luther<br />

99

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!