21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

ya nafsi itakuwa: “Ee ninapenda sana sheria yako! Ni mawazo yangu muchana kutwa.”<br />

Waroma 3:31; 6:2; 1 Yoane 5:3; Waroma 8:4; Zaburi 119:97.<br />

Bila sheria, watu hawakubali kweli <strong>za</strong>mbi yao na hawaone haja ya kutubu. Hawafahamu<br />

moyoni mahitaji yao ya damu ya upatanisho wa Kristo. Tumaini la wokovu limekubaliwa<br />

bila badiliko la asili ya moyo wala matengenezo ya maisha. Hivi mabadiliko ya kijuujuu<br />

inajaa, na makutano yanaungana na kanisa ambayo hawakuwa wenye kuungama na Kristo.<br />

Utakaso ni Nini?<br />

Maelezo yenye makosa juu ya utakaso pia yanaonekana kwa kutojali wala kukana kwa<br />

sheria ya Mungu. Maelezo haya, ya uwongo katika mafundisho na ya hatari katika matokeo<br />

ya maisha, kwa kawaida yanapata kibali.<br />

Paulo anatanga<strong>za</strong>, “Maana haya ni mapenzi ya Mungu, hata utakaso wenu.” Biblia<br />

inafundisha wazi wazi utakaso ni nini na namna gani unawe<strong>za</strong> kufikiwa. Mwokozi aliombea<br />

wanafunzi wake: “Uwatakase kwa kweli; neno lako ni kweli.” Na Paulo anafundisha<br />

kwamba waaminifu wanapashwa “kutakaswa na Roho Mtakatifu.’‘ 1 Watesalonika 4:3;<br />

Yoane 17:17; Waroma 15:16.<br />

Kazi ya Roho Mtakatifu ni nini? Yesu akawambia wanafunzi wake: “Lakini wakati<br />

anapokuja yule Roho wa kweli, atawaongo<strong>za</strong> ninyi katika yote yaliyo kweli.” Yoane 16:13.<br />

Na mwandishi wa Zaburi anasema: “Sheria yako ni ya kweli.” Kwa hivi sheria ya Mungu ni<br />

“takatifu na ya haki na njema,” tabia iliyofanywa kwa utii kwa sheria ile itakuwa takatifu.<br />

Kristo aliye mufano kamili wa tabia ya namna ile Anasema: “Nimeshika amri <strong>za</strong> Baba<br />

yangu.” “Ninafanya saa zote mambo yanayomupende<strong>za</strong>.” Yoane 15:10; 8:29. Wafuasi wa<br />

Kristo wanapaswa kuwa kama yeye--kwa neema ya Mungu kufanya tabia katika umoja<br />

pamoja na kanuni <strong>za</strong> sheria yake takatifu. Huu ni utakaso wa Biblia.<br />

lla tu Kwa Njia ya Imani<br />

Kazi hii inawe<strong>za</strong> kutimizwa tu kwa njia ya imani katika Kristo, kwa uwezo wa kukaa<br />

ndani ya Roho ya Mungu. Mukristo atajisikia mwenye mivuto ya <strong>za</strong>mbi, lakini atashikilia<br />

vita isiyobadilika juu yake. Hapa ndipo msaada wa Kristo unahitajiwa. U<strong>za</strong>ifu wa binadamu<br />

unaambatana na nguvu <strong>za</strong> kimungu, na imani inapa<strong>za</strong> sauti: “Asante kwa Mungu anayetupa<br />

sisi ushindi kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.” 1 Wakorinto 15:57.<br />

Kazi ya utakaso ni ya kuendelea mbele. Wakati katika toba mwenye <strong>za</strong>mbi anapopata<br />

amani pamoja na Mungu maisha ya Mukristo imean<strong>za</strong> tu. Sasa anapashwa kuendelea katika<br />

ukamilifu,” kukua “hata kufika kipimo cha kimo cha wa utimilifu wa Kristo.” “Ninaka<strong>za</strong><br />

mwendo hata nifikie mwisho wa <strong>za</strong>wabu ya mwito mukubwa wa Mungu katika Kristo<br />

Yesu.” Waebrania 6:1; Waefeso 4:13; Wafilipi 3:14.<br />

Wale wanaozoea maisha ya utakaso wa Biblia wataonyesha unyenyekevu. Wanaona<br />

kutostahili kwao wenyewe katika tofauti pamoja na ukamilifu wa Mungu. Nabii Danieli<br />

197

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!